Akili fupi... kwahiyo ikiwa tar 30 hiyo wiki moja huipati hapo?Japo 23/23 ni sawa na 30/30 lakini kulipwa 23/23 ni afadhali kwa kuwa ile wiki moja i. e. 23-30 hatuihesabu kwa kuwa ukiwa na mshiko inapita haraka sana. Kwa hiyo mahesabu yetu yanaanza tarehe 1 - 23 wiki tatu kitu kinasoma
Nimependa id yako nimecheka balaaAkili fupi... kwahiyo ikiwa tar 30 hiyo wiki moja huipati hapo?
Si kawaida mshahara kupitiliza tarehe, ilikuwa tar 23 ikiangukia weekend mnapewa siku ya kazi ya mwisho wa weekend, mfano tar 23 itakuwa Juma pili mshahara ulikuwa unatoka tar 21 ya Ijumaa. Huenda mpaka ijumaa mfuko ulikuwa haujatuna. Tumpe muda tuone.
Utaipataje boss wangu? Fanya survey hapa JF uliza watu wangependa kulipwa 23 au 30 uone mtiti wakeAkili fupi... kwahiyo ikiwa tar 30 hiyo wiki moja huipati hapo?
Pole mkuuHapa sina hata mia...
Sio rahisi ila ushauri mzuriKopa! Anzisha biashara/mradi wowote ule wa kukufanya usiwe mtumwa wa mshahara. Hayo maisha unayopitia sasa nayakumbuka sana hata mimi nilipitia! Ila baada ya kuingia JPM, ilinilazimu kujiongeza.
Kwa sasa hata wasiponilipa mwaka mzima, kudadeki! hata sishtuki.
Jiwe yupo juu ya jiwe! 🥵Nimependa id yako nimecheka balaa
Hata mimi nimeshangaa, watu walipwe wkend wafanye matumizi jumatatu kazi ziendelee......au wanafikiri kuna muda wa kupoteza, hata biashara huku kwenye minada wkend hii naona zimedoda..Lkn Watumishi mnapaswa Mumshukuru sana Hayati JPM ambaye alihakikisha mnapata mishahara yenu kila ifikapo trh 22 mpaka trh 23 ya kila mwezi hili halijawahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru.
tatizo lipo kwa watendaji/watekelezaji, endapo ukikuta watendaji/watekelezaji wana roho mbaya lazima mtaumizwa sana tena sana.
Ombeni sana kwa Mungu watu wenye roho mbaya amabo wamekabidhiwa majukumu ya kutekeleza haki zenu wabadilike kwa kuingiwa na roho mtakatifu au wapotee kabisa duniani.
mfano; ninge kuwa mimi nipo kwenye sekta ya malipo huko hazina, nigejiongeza kulipa mishahara ya watumishi wote leo trh 22 kwa kuwa kesho sio siku ya kazi, lkn wapi bwana....mijitu haibadiliki....roho za ajabu kabisa.
Mwisho wa mwezi bado.Si kawaida mshahara kupitiliza tarehe, ilikuwa tar 23 ikiangukia weekend mnapewa siku ya kazi ya mwisho wa weekend, mfano tar 23 itakuwa Juma pili mshahara ulikuwa unatoka tar 21 ya Ijumaa. Huenda mpaka ijumaa mfuko ulikuwa haujatuna.
Tumpe muda tuone.
Kwamba atoe 10% amepe gwajima au sio??Toa sadaka na zaka wasaidie wasiojiweza..then thank me later!
Nyie akina nani CHADEMA? 😂😂Sie hatuna habareeee🤸♂️🤸♂️🤸♀️🤸♀️!
Yes..machadema mengi mafanyabiashara .tunawaangalia tu mataga tunasema nhiiiiNyie akina nani CHADEMA? 😂😂
Awape wahitaji mkuu..hao wachungaji🚮🚮🚮Kwamba atoe 10% amepe gwajima au sio??
Hahahahhahahaa kivuruge wetu wewe...naona hii tsht ilikua mpya..dah sijui huko anahali gani..na vilr alivyokua anapenda revenge🥵 sasa hv malaika wanamgeuza wapendavyo..mbele nyuma achomeke vyemaJiwe yupo juu ya jiwe! 🥵
Mamy naomba nije pmAcheni uongo lini wakati wa jpm mshahara uliingia tarehe 21?