Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mkuu ishus zote za wastaafu huanzia Utumishi, wao hawawezi hata chembe kutoa mafao ambayo hayamo kwenye sheria, never, ninasema never, kupinga kwako hakuzuii anything na kwamba wastaafu sasa hivi akribu 10 wako NY na kila nilivchosema, tena nimekuongoezea kua nilimsikia mtoto wa Mwalimu akiwa kwenye massanga akisema kwua baada ya kifo cha Mwalimu walilipwa, hiyo sheria uliyonayo ina walakini sana kama unayo kweli, bwa! ha! ha! ha! ah!

Si kila kitu kinachofanywa na viongozi na watendaji wa serikali ( utumishi ikiwemo)kinatokana na sheria. Au tumeishasahau Richmond? Au tuseme na kule kwa vile viongozi ( akiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali) walishiriki na walionekana wakitoa baraka kwa mradi mzima basi sheria haikupindwa? Kumwona Lowassa au Mkapa ana wasaidizi lukuki (wapishi, dobi, walinzi wa kumfungulia mlango, walinzi wa kubaki chumbani n.k.) hakumaanishi kuwa hiyo ni stahili yao. Ndiyo maana kwangu mimi Kuhani na Yo Yo hizo si data(z) ni hearsay.

Hiyo sheria niliyoi'quote' humo si yangu, bali ndiyo inayoongoza stahili za viongozi. Sheria inasema ( niliishasema hilo) kuwa anakuwa na Personal Assistants wawili. Hawa si walinzi. Sikutaja idadi ya walinzi maana siikumbuki na siwezi kusema kitu ambacho sina kumbukumbu nacho.Stahili haitokani na maneno ya FMeS au Fundi Mchundo. Stahili inaongozwa na sheria.

Naona ishu ya specifications umeikacha!
 
ISSUE 1: "DATAZ" ZA "WAPISHI, WALINZI, WASAIDIZI..." WANAOSAFIRI NA ex-PRES:

Briefly, ni 80% ya mishahara yao walipokuwa job, magari mawili SUV mapya kila mwaka, nyumba mbili za serikali Dar na Dodoma, Wafanyakazi wa ndani ya nyumba na nje wasiozidi watano, both Dar na dodoma, Askari wa kulinda nyumba zote mbili, safari za matibabu ulaya mara mbili kwa mwaka wao na wake zao na walinzi wakifuatana na mpishi mmoja na msaidizi wa karibu, free msosi wa government, walinzi wawili personal na mengineyo!

All this ni mpaka watakapoitwa kwenye haki.

Mstaafu anaposafiri nje, kwanza anaenda na walinzi wawili, halafu mke na wasaidizi wawili, ni lazima awe na walinzi wawili kwa sababu anapokwenda nje ya alipofikia ni lazima mlinzi mmoja abaki kulinda chumba chake, anaposhuka Airport ni lazima malinzi mmoja apnde gari lake, mwingine apande gari la mizigo,...

… mimi ninaendelea kuweka ukweli, majuzi nimewaona wakienda NY, wote wana kila kitu nilichosema, ... kukubali kuwa hujui unachosema!
BTW, Mheshimiwa Rais mstaafu akisafiri nje analipiwa yeye, mke wake na wasidizi wawili! Hamna mahali panaposema MPISHI! Hii ni kutokana na Political Service Retirement Benefits Act, 1999 (No. 3 of 1999).
Official Gazette, 1999-04-16, No. 3, pp. 259-444
!

Haya tuambie, Mkuu FMeS hizo dataz zako za magari mapya, misosi na wapishi umezitoa wapi?

Muogope Mungu!


Weka sheria inasema nini, ... maana mimi so far naleta dataz tu, vipi umezikubali au? maana ahadi yangu bado ile i;le kuweka dataz hapa JF mpaka mwisho ...Maana toka topic ianze naleta dataz Vipi hakuna sheria huko ili tukate mzizi wa fitina... By the way unajua kua viongozi wetu wengi wastaafu, sasa hivi wako NY na wapishi wao? Na Mkapa anaingia kesho na timu ya watu kama 15 hivi, wako wasataafu kama 10 hivi sasa hivi NY, sasa nipigie hesabu ya kuwa-accomodate wote huko! na wapishi wao walinzi wao na wasaidizi wengine!

Ndio vile tunaendelea kumwaga dataz kama kawaida, I love JF!

Hiyo sheria niliyoi'quote' humo si yangu, bali ndiyo inayoongoza stahili za viongozi. Sheria inasema ( niliishasema hilo) kuwa anakuwa na Personal Assistants wawili. Hawa si walinzi...

THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT, 1999 No. 3
Grant of Benefits to former President, Part III (i) 9 (3)

If the former President is requested by the Government to travel outside the United Republic, the appropriate authority shall meet all First C1ass traveling which expenses shall also cover expenses for the spouse and two Assistants


Hakuna habari za wapishi wala walinzi wa kulinda chumba. Kuna wasaidizi wawili tu.

__________________________________________

ISSUE 2 : "DATAZ" ZA MAKONGORO NA "MILLIONI ANAZOPEWA" NA SERIKALI


... nasikia wastaafu wanapofariki, watoto wao wanatakiwa kupewa hela na serikali kwa muda flani, nasikia watoto wa Mwalimu wamelegua on this, nasikia angalau shillingi millioni moja kwa muda flani, haya maneno Makongoro ameyasema sana kwenye massanga...

Hebu tuwekeni sawa wanaojua sheria on this!


...tena nimekuongoezea kua nilimsikia mtoto wa Mwalimu akiwa kwenye massanga akisema kwua baada ya kifo cha Mwalimu walilipwa, hiyo sheria uliyonayo ina walakini sana kama unayo kweli, bwa! ha! ha! ha! ah! .....More nonesense!


Unayoyasikia kutoka kwa Makongoro (asiyechagua mahali pa kunywa) kwenye masanga na chenyewe unaita dataz? Au kila siku sisi hatukukuelewa kuwa kwako wewe gossip/hearsay ni sawa na dataz.

THE POLITICAL LEADERS' PENSIONS ACT, 1981 No. 14

GRANTING OF PENSION, GRATUITY, Part II, sect. 21 (1) and Part I (2) c
Survivor's benefits for dependents


Preliminary, Part 1 (2) c

Intepretation:

''dependent'' in relation to a deceased political leader means:

every child of the deceased political leader under the apparent age of eighteen years, but does not include any married daughter living with her husband immediately, Preceding the death of the deceased political leader;

Where a political leader who has completed not less than ten years of qualifying service dies whilst in the service as a political leader, his dependants may be granted, with effect from the date following that of the death of the political leader, a survivor's benefit under this section...


Ili Makongoro apate "millioni" ilibidi a) Makongoro awe chini ya miaka 18, na b) Nyerere afe akiwa kazini.

Makongoro hapati na hakupata mamillioni.
 
Maana toka topic ianze naleta dataz vipi hakuna sheria huko ili tukate mzizi wa fitina, au niliyoyasikia kutoka kwa Makongoro ni ya kweli? By the way unajua kua viongozi wetu wengi wastaafu, sasa hivi wako NY na wapishi wao? Na Mkapa anaingia kesho na timu ya watu kama 15 hivi, wako wasataafu kama 10 hivi sasa hivi NY, sasa nipigie hesabu ya kuwa-accomodate wote huko! na wapishi wao walinzi wao na wasaidizi wengine!

Ndio vile tunaendelea kumwaga dataz kama kawaida, I love JF!

Shukurani, Kuhani kwa kuweka data hapa! Lakini bado FMeS atapinga maana yeye ameoa/ana undugu katika hizo familia na amewaona hao wapishi kwa macho yake! Na atadai Makongoro ameoa nyumba moja na shemeji yake kwa hiyo anajua thika kuwa hajatimiza miaka 18 maana walikuwa kwenye basdei yake ya miaka 16 hivi karibuni! Na kukutashi tamaa kabisa atasema kuwa Makongoro amewahi kuishi nyumbani kwake! Huyu jamaa ni mwongo na mpenda sifa. Period. Kwenye hili anakuwa kama a woman scorned ( Hell hath no fury etc. etc.)


FMeS,
Hizi za wastaafu kuingia New York nazo ni data? Na zenyewe zinahitaji mtu kuwa jikoni kuzijua? Tuna marais wa JMT wastaafu wawili. Tuna mawaziri wakuu wastaafu 5 ( Kawawa, Warioba, Salim, Sumaye na Lowassa), spika mstaafu 1 ( Msekwa), Jaji Mkuu mstaafu 1 (Samatta). Hawa ndio viongozi wa juu wa serikali ya JMT (maana ishu hapa ni Tanzania) na hawafiki 10. Kutokana na dataz za FMeS wote hawa wako New York! Anaongeza kuwa Mkapa anaingia na watu 15 bila kueleza kwa sababu gani. Mkapa yumo kwenye foundations kibao na inawezekana kuwa hao ni watu wake kutoka kwenye hizo foundation. Inawezekana ameenda kutembea na familia yake na anajilipia. Inawezekana anaongozana na ujumbe wa tanzania kwenye UNGA kwa hiyo wengi wa hao ni watendaji kutoka wizara mbali mabali! Kuileta humu bila kutoa hizi clarifications ni kuendeleza majungu. Ndiyo maana mwingine ameita dataz zako ni outlandish na bizzare. Nakubaliana naye
 
Mkuu Yo-Yo,

Nimekuambia hivi hawa watu wawili niachie, kwa sababu haya maneno quote ya juu huyajui maana yake, mimi ninayajua ndio personal hiyo iliyonifanya kuwajibu personal, na si kweli kuwa jamaa alifanikiwa kwenda na huyo H/g cinema maana huyu msiachana was terrified akakataaa kabisa, na si kweli kwamba walikimbia hapana baada ya ajali sister alikimbia kuna sababu, ambapo ajamaa kaitaka more personal nitaziweka hilko sina noma wala siogopi, hawezi kuugeuza utani wakati ni ukweli not with me!

wewe hawa huwajui mimi ninawajua na maana ya maneno hapo ninayajua sana ndio maana nimewapa vidonge, na nimewahakikishia kua anytime wakitaka nitawapa zaidi,

Ahsante Mkuu!
Wewe mdingi unaboa sana na dataz zako.....unataka tukuione mtu wa title fulani,tukuogope? ongea vitu vya maana hizo dataz zako za kuongea na Makongoro sijui Malecela hata binti yangu wa chekechea humdanyangi.....

umeambiwa sheria inavyosema hiyo sheria sio ya Kuhani wa Fundi Mchundo ni sheria ya Tanzania.....
Field Marshall ES;290434]1

Mstaafu anaposafiri nje, kwanza anaenda na walinzi wawili, halafu mke na wasaidizi wawili, ni lazima awe na walinzi wawili kwa sababu anapokwenda nje ya alipofikia ni lazima mlinzi mmoja abaki kulinda chumba chake, anaposhuka Airport ni lazima malinzi mmoja apnde gari lake, mwingine apande gari la mizigo,Hiyo sheria yako ni mufilisi bro,

Lazima awe na wasaidizi wawili, mmoja wake mmoja wa mkewe, hiyo sheria yako ni mufilisi mkuu!

Act hii hapa chini bishana nayo sasa......

THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT, 1999 No. 3
Grant of Benefits to former President, Part III (i) 9 (3)
If the former President is requested by the Government to travel outside the United Republic, the appropriate authority shall meet all First C1ass traveling which expenses shall also cover expenses for the spouse and two Assistants

Wewe bado unabishana nayo na dataz zako za kwenye bar na Makongoro....hizo ndio dataz za kwenye vijiwe vya kahawa hazina clarification hata chembe.....badala yake umeanza personal zako mara house girl sijui ajali yaani mkuu unajiabisha hivi kwa mtu mwenye akili ya kawaida atashindwa kujua pumba zako kwenye hili......mtu atapataje ajali alafu akimbie...after all inatuhusu nini sisi

Dataz zako ni za kusikia sikia vijiweni

Field Marshall ES;290434]1
nilimsikia mtoto wa Mwalimu akiwa kwenye massanga akisema kwua baada ya kifo cha Mwalimu walilipwa, hiyo sheria uliyonayo ina walakini sana kama unayo kweli, bwa! ha! ha! ha! ah!

Bado mzee wa dataz unabishana na hii chini?
THE POLITICAL LEADERS' PENSIONS ACT, 1981 No. 14

GRANTING OF PENSION, GRATUITY, Part II, sect. 21 (1) and Part I (2) c
Survivor's benefits for dependents

Preliminary, Part 1 (2) c

Intepretation:

''dependent'' in relation to a deceased political leader means:

every child of the deceased political leader under the apparent age of eighteen years, but does not include any married daughter living with her husband immediately, Preceding the death of the deceased political leader;

Where a political leader who has completed not less than ten years of qualifying service dies whilst in the service as a political leader, his dependants may be granted, with effect from the date following that of the death of the political leader, a survivor's benefit under this section..
 
If the former President is requested by the Government to travel outside the United Republic, the appropriate authority shall meet all First C1ass traveling which expenses shall also cover expenses for the spouse and two Assistants[/U]


Sasa this is good, kwa sababu sasa tutaona the abuse na ukweli ulipo wa sheria, ninashukuru kwamba finally mmeleta sheria, sasa ni lini Mkapa au Mwinyi, wamesafiri na watu wanne tu?

Mbona wanasafiri na maofisa kibao toka foreign na hapa kwenye sheria hakuna? Mbona wanasafiri na wapishi na hapa kwenye sheria inasema wasaidizi wawili tu? Pole pole tuiangalie hii sheria ni afadhali mmeileta, ishu bado kabisa tunakula elimu?
 
Sasa this is good, kwa sababu sasa tutaona the abuse na ukweli ulipo wa sheria, ninashukuru kwamba finally mmeleta sheria, sasa ni lini Mkapa au Mwinyi, wamesafiri na watu wanne tu?

Mbona wanasafiri na maofisa kibao toka foreign na hapa kwenye sheria hakuna? Mbona wanasafiri na wapishi na hapa kwenye sheria inasema wasaidizi wawili tu? Pole pole tuiangalie hii sheria ni afadhali mmeileta, ishu bado kabisa tunakula elimu?

Hao wapishi ni wa nini? Wakifikia kwenye ma presidential suites mahotelini huko ughaibuni..hao wapishi huwa wanahitajika kufanya nini au huko hoteli wanapika wenyewe?
NAOMBENI WAJUZI MTUJUZE TUSIOJUA!
 
1.
Originally Posted by Field Marshall ES

... now backo to the real ishu,

Wenye sheria hebu watuweke sawa, nasikia wastaafu wanapofariki, watoto wao wanatakiwa kupewa hela na serikali kwa muda flani, nasikia watoto wa Mwalimu wamelegua on this, nasikia angalau shillingi millioni moja kwa muda flani, haya maneno Makongoro ameyasema sana kwenye massanga, ila sina uhakika na ukweli wake,
Hebu tuwekeni sawa wanaojua sheria on this!

2.
Mkuu,

Heshima mbele.

Tremendous job there!

3.
every child of the deceased political leader under the apparent age of eighteen years, but does not include any married daughter living with her husband immediately, Preceding the death of the deceased political leader;

Where a political leader who has completed not less than ten years of qualifying service dies whilst in the service as a political leader, his dependants may be granted, with effect from the date following that of the death of the political leader, a survivor's benefit under this section..


4.
Ili Makongoro apate "millioni" ilibidi a) Makongoro awe chini ya miaka 18, na b) Nyerere afe akiwa kazini.

Makongoro hapati na hakupata mamillioni.

Hapa Makongoro, hakusema ukweli ndio maana nilisema hivi nasikia na sina uhakika na hili, ahsante mkuu kwa kuweka sheria na ukweli uko wazi kwenye hili kuwa ni lazima watoto wawe chini ya umri wa miaka 18, hili sina ubishi kwa sababu fact ya sheria iko wazi. na ndicho nilichokuwa ninameomba kwamba tuchambue sheria inasema nini as opposed na maneno ya Makongoro!
 
FMeS,
Hizi za wastaafu kuingia New York nazo ni data? Na zenyewe zinahitaji mtu kuwa jikoni kuzijua? Tuna marais wa JMT wastaafu wawili. Tuna mawaziri wakuu wastaafu 5 ( Kawawa, Warioba, Salim, Sumaye na Lowassa), spika mstaafu 1 ( Msekwa), Jaji Mkuu mstaafu 1 (Samatta). Hawa ndio viongozi wa juu wa serikali ya JMT (maana ishu hapa ni Tanzania) na hawafiki 10. Kutokana na dataz za FMeS wote hawa wako New York! Anaongeza kuwa Mkapa anaingia na watu 15 bila kueleza kwa sababu gani. Mkapa yumo kwenye foundations kibao na inawezekana kuwa hao ni watu wake kutoka kwenye hizo foundation. Inawezekana ameenda kutembea na familia yake na anajilipia. Inawezekana anaongozana na ujumbe wa tanzania kwenye UNGA kwa hiyo wengi wa hao ni watendaji kutoka wizara mbali mabali! Kuileta humu bila kutoa hizi clarifications ni kuendeleza majungu. Ndiyo maana mwingine ameita dataz zako ni outlandish na bizzare. Nakubaliana naye

1. Mwinyi,
2.Mkapa,
3.Warioba,
4.Malecela,
5.Salim,
6. Seif Hamadi,
7. Salmin,
8. Msuya,
9. Lowassa,
10. Sumaye
11. Dr. Bilali


Outlandish and bizzare, sawa sawa nimesikia lakini ukweli huo hapo juu kuhusu namba ya wastaafu bongo, wanaokula mafao ya urais na uwaziri mkuu, ni zaidi ya 10.

Ahsante mkuu!
 
Hao wapishi ni wa nini? Wakifikia kwenye ma presidential suites mahotelini huko ughaibuni..hao wapishi huwa wanahitajika kufanya nini au huko hoteli wanapika wenyewe?
NAOMBENI WAJUZI MTUJUZE TUSIOJUA!

Mkuu ni kwamba kwa mfano London huwa wanakodiwa apartments, NY kuna Hotel ambazo zina apartments ndani yake wanakodi kama apartment ingawa ni Hotel, kuna wakati wanakaa hoteli kabisa as hotel, lakini wapishi wao hupikia nyumbani kwa balozi na kuepeleka chakula vyumbani mwao hotelini,

Kwa mfano, sasa hivi wakulu wengi wamefunga ramadan, kwahiyo wote wana wapishi, wanawapikia na kuwaletea hotelini.

Ahsante Mkuu.
 
Wewe mdingi unaboa sana na dataz zako.....unataka tukuione mtu wa title fulani,tukuogope? ongea vitu vya maana hizo dataz zako za kuongea na Makongoro sijui Malecela hata binti yangu wa chekechea humdanyangi.....

Uncalled for hapa tunaelimishana na kuhabarishana, what I konw huwezi kunitisha nisiseme kwa faida ya wengine, wewe ni wewe na mimi ni mimi, no matter what huwezi kuwa mimi na siwezi kuwa wewe, my experience na viongozi hata siku moja siwezi kuogopa kusema hapa, sasa uamuzi ni wako kufunga channel au kufungua, ila huwezi niambia what to say and what not to say!

Siwezi kukusaidia kwa sababu eti una inferior za kufikiri mimi nina title or what hayo ni yako mimi ni kukata ishus kama kawa!
 
Mkuu ni kwamba kwa mfano London huwa wanakodiwa apartments, NY kuna Hotel ambazo zina apartments ndani yake wanakodi kama apartment ingawa ni Hotel, kuna wakati wanakaa hoteli kabisa as hotel, lakini wapishi wao hupikia nyumbani kwa balozi na kuepeleka chakula vyumbani mwao hotelini,

Kwa mfano, sasa hivi wakulu wengi wamefunga ramadan, kwahiyo wote wana wapishi, wanawapikia na kuwaletea hotelini.

Ahsante Mkuu.

1.Asante Mkuu kwa taarifa.
Kweli duniani kuna mambo! Why all this husstle? si wajikalie tu hapa nyumbani kuliko kuhangaika hivi kwenye nchi za watu?

2.Safari kama hizi zina tija yeyote kwa taifa au manufaa kwa mwananchi wa kawaida?
Kama sasa wako UNGA NY, kwani isingetosha tu kwa balozi kuwakilisha na Foreign service officers wachache unless kama marais wanatakiwa kutoa statement in which case hata waziri wa Mambo ya nje angetosha kuliko kujibebesha wapishi na watu wengine! Hii ni adhabu kwa kweli.
 
1.Asante Mkuu kwa taarifa.
Kweli duniani kuna mambo! Why all this husstle? si wajikalie tu hapa nyumbani kuliko kuhangaika hivi kwenye nchi za watu?

2.Safari kama hizi zina tija yeyote kwa taifa au manufaa kwa mwananchi wa kawaida?
Kama sasa wako UNGA NY, kwani isingetosha tu kwa balozi kuwakilisha na Foreign service officers wachache unless kama marais wanatakiwa kutoa statement in which case hata waziri wa Mambo ya nje angetosha kuliko kujibebesha wapishi na watu wengine! Hii ni adhabu kwa kweli.

Ahsante mkuu, kwamba finally umeanza kuelewa ukweli ninaousema kuwa it has nothing to what sheria says, mkuu ninaweza kukuwekea mambo ya kutisha wanayofanya hawa wastaafu, ambayo unaweza kulia hata machozi hayo juu ni madogo sana!

Kwanza ukijua sasa hivi NY kuna watu wangapi utalia machozi ya damu, kila bosi aliyeko huko sasa hivi ana secertary wake hata awe assistant bosi, niye acheni tu!

Anyways, saaa ya mabox sasa later!
 
1. Mwinyi,
2.Mkapa,
3.Warioba,
4.Malecela,
5.Salim,
6. Seif Hamadi,
7. Salmin,
8. Msuya,
9. Lowassa,
10. Sumaye
11. Dr. Bilali


Outlandish and bizzare, sawa sawa nimesikia lakini ukweli huo hapo juu kuhusu namba ya wastaafu bongo, wanaokula mafao ya urais na uwaziri mkuu, ni zaidi ya 10.

Ahsante mkuu!

Don't move the goal posts! Huu mjadala hauwahusu Dr. Bilal, Maalim na Salmin! Tangu lini Maalim na Dr. Bilali wamekuwa mawaziri wakuu? Hata ukiwaweka Malecela na Msuya ambao niliwasahau, namba bado haijafika kumi! Na unataka kutuambia kuwa wote hawa wako New York? Basi lowassa mkali, maana ulisema alikuwa Las Vegas pia wakati huo huo.

Bado bizzare na outlandish!
 
Hapa Makongoro, hakusema ukweli ndio maana nilisema hivi nasikia na sina uhakika na hili, ahsante mkuu kwa kuweka sheria na ukweli uko wazi kwenye hili kuwa ni lazima watoto wawe chini ya umri wa miaka 18, hili sina ubishi kwa sababu fact ya sheria iko wazi. na ndicho nilichokuwa ninameomba kwamba tuchambue sheria inasema nini as opposed na maneno ya Makongoro!

Ok, sawa Field Marshall,

Kwa hili ulisema kabisa "huna uhakika" na "umesikia." Na nikakwambia umeiandika kwa kuacha nafasi ya uwezekano wa kuwa na makosa, again tremendous job. Vinginevyo tungeanza kuitana waongo bure maana kwa Makongoro, mtu mzima kama yule kusema ana pokea millioni ya mafao wakati nakumbuka alioa mimi nikiwa kitoto kidogo long damn time ago kwa kweli ingekuwa ni bizzare and outlandish. Hapo sina matatizo.

Kwa hili la wapishi, pia hakika umeli handle plausibly kwa kusema tujiulize kwa nini sasa kuna wapishi lakini hubishii sheria.

Naamini kwamba wewe unaamini kwa dhati kabisa kwamba uliowaona ni wapishi kweli. Haya.

Tatizo ni kwamba mara ya kwanza ulipoambiwa kwamba kuna sheria na hai mention wapishi, FMES, ukasema ni sheria feki, na ni "nonsense," upuuzi, and all that jazz. Hapo ndio kuna tatizo, Mkuu. Mtu aki challenge unawaka for no reason. Sasa, it turns out Fundi Mchundo was right, na kwamba zile explanation za kwamba kuna walinzi wawili, "mmoja lazima akalinde chumba, mmoja akae kwenye gari la mizigo," utaona kabisa ni outlandish and bizarre. Na ni uongo. Lakini, japo umekosea vibaya vibaya, I bet you a nickel hutaona Fundi au Yo Yo anakuita Gigolo au Juha au Mbinjukia ma Housegirl, au Low Class, kwa sababu tu mmekosoana au mmetofautiana kwenye majadiliano kwenye jukwaa la siasa. I don't think so, never!

Anyway, kama unavyojua "leo nasafiri," ngoja niwahi.

(Usiwake sasa, umeileta mwenyewe hii habari kwamba mimi leo nasafiri. Nakupelekesha tu, una maindi maindi ka sio baharia bwana. Hizi politics tu hapa, mwanangu!)
 
Don't move the goal posts! Huu mjadala hauwahusu Dr. Bilal, Maalim na Salmin! Tangu lini Maalim na Dr. Bilali wamekuwa mawaziri wakuu? Hata ukiwaweka Malecela na Msuya ambao niliwasahau, namba bado haijafika kumi! Na unataka kutuambia kuwa wote hawa wako New York? Basi lowassa mkali, maana ulisema alikuwa Las Vegas pia wakati huo huo.

Bado bizzare na outlandish!


Ungekuwa na objectivity, then ungeona mwanzoni na mapema nimesema kuwa Dodoma, kuna nyumba za mawaziri viongozi wa Zanzibar, ikiwa ni ile part ya wao kuwa na nyumba Zanzibar na Dodoma, kama vile hawa wengine walivyo na nyumba Dar na Dodoma.

Kama ulikuwa hujui, na wao pia wana mafao yale yale, wanayopata mawaziri wakuu wa Jamhuri, Salmin na Aboud Jumbe wanapata mafao sawa kabisa na marais wastaafu wa jamhuri,

Bizzare na outlandish, ni matatizo yako wewe kwa sababu unaruka ruka bila kuangalia ukweli, wastaafu wako zaidi ya 10, infact sikumuweka Aboud Jumbe. Seif sasa hivi ana mafao yote kama ya mawaziri wakuu wa Jamhuri na wenzake wote, sina hata sababu ya kubishana na wewe on hili kwa sababu nitakuwa mjinga and I am not!
 
1.
Naamini kwamba wewe unaamini kwa dhati kabisa kwamba uliowaona ni wapishi kweli. Haya. Tatizo ni kwamba mara ya kwanza ulipoambiwa kwamba kuna sheria na hai mention wapishi, FMES, ukasema ni sheria feki, na ni "nonsense," upuuzi, and all that jazz. Hapo ndio kuna tatizo, Mkuu.

Kama sheria mlizoziweka hapo juu ndizo pekee zinazoongoza mafao ya wastaafu ninaowaongelea, yaani kuanzia Marais na Mawaziri Wakuu, then something is wrong, na not only that kwangu ina maana hata sheria haipo kabisa kwa sababu mliyoileta haina hata robo of what I have seen,

Kwa hiyo msimamo wangu bado ni ule ule, kuwa either ni feki, zimepitwa na wakati, zilisha-expire, au hazipo kabisa, unless kuna zingine hamjazileta hapa.


2.
Mtu aki challenge unawaka for no reason. Sasa, it turns out Fundi Mchundo was right, na kwamba zile explanation za kwamba kuna walinzi wawili, "mmoja lazima akalinde chumba, mmoja akae kwenye gari la mizigo," utaona kabisa ni outlandish and bizarre. Na ni uongo. Lakini, japo umekosea vibaya vibaya, I bet you a nickel hutaona Fundi au Yo Yo anakuita Gigolo au Juha au Mbinjukia ma Housegirl, au Low Class, kwa sababu tu mmekosoana au mmetofautiana kwenye majadiliano kwenye jukwaa la siasa. I don't think so, never!

Challenge za kitoto na ujinga ndio huwa ninazipinga, kama this one ninasema hivi marais wastaafu husafiri kwanza na walinzi zaidi ya wawili, pia husafiri na wasaidizi, meaning wapishi na mpaka maofisa kutoka Foreign, sasa kwenye hiyo sheria yenu inasema anatakiwa asafiri na wasaidizi wawili tu, that is insanity kwamba a former president atasafiri na wasaidizi wawili tu! ninarudia tena kua that is insane thinking, na ni ujuha pia, kwa sababu hata waziri mkuu mstaafu hawezi kusafiri na wasaidizi wawili tu, that is what I call nonesense!

Wewe na wenzako, uamuzi ni wenu mkitaka tukate ishus kistaarabu hakuna tatizo, ila mkitaka whatever, I am alyways ready tena anytime 24/7 you know that!


4.
Anyway, kama unavyojua "leo nasafiri," ngoja niwahi.
(Usiwake sasa, umeileta mwenyewe hii habari kwamba mimi leo nasafiri. Nakupelekesha tu, una maindi maindi ka sio baharia bwana. Hizi politics tu hapa, mwanangu!)

Bwa! ha! ha! ha! ah! ah! ah! anaye-mind kati yangu na wewe ni nani? Si maneno yanajisema yenyewe, usafiri usiasafiri I could care less, nilikuwepo hapa kabla hujaja, na utaniacha hapa hapa ila ku-mind a low class as you hapana bro, never! ila one thing heshima kidogo kwa kupunguza majina mengi hilo nimeliona kwamba this time umesimama mpaka mwisho na one name, heshima kwa hilo!

Wasalimie
!
 
Kama sheria mlizoziweka hapo juu ndizo pekee zinazoongoza mafao ya wastaafu ninaowaongelea, yaani kuanzia Marais na Mawaziri Wakuu, then something is wrong, na not only that kwangu ina maana hata sheria haipo kabisa kwa sababu mliyoileta haina hata robo of what I have seen,

Kwa hiyo msimamo wangu bado ni ule ule, kuwa either ni feki, zimepitwa na wakati, zilisha-expire, au hazipo kabisa, unless kuna zingine hamjazileta hapa.


...ninasema hivi marais wastaafu husafiri kwanza na walinzi zaidi ya wawili, pia husafiri na wasaidizi, meaning wapishi na mpaka maofisa kutoka Foreign, sasa kwenye hiyo sheria yenu inasema anatakiwa asafiri na wasaidizi wawili tu, that is insanity kwamba a former president atasafiri na wasaidizi wawili tu! ninarudia tena kua that is insane thinking, na ni ujuha pia, kwa sababu hata waziri mkuu mstaafu hawezi kusafiri na wasaidizi wawili tu, that is what I call nonesense!!


THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT, 1999 No. 3
Grant of Benefits to former President, Part III (i) 9 (3)

If the former President is requested by the Government to travel outside the United Republic, the appropriate authority shall meet all First C1ass traveling which expenses shall also cover expenses for the spouse and two Assistants


Umeelewa? Hiki ni kipengele cha Rais. We si umesema Mkapa anakuja na trupu la wapishi na wapambe 15? Mkapa waziri?

Sasa, ni sheria ndio juha, au sisi, au wewe?

Umeshaharibu FMES, tulia. Midata yako utawapeleka peleka wakuja wengine wengine, sio mimi. Eti Rais mstaafu anahitaji mlinzi mmoja ambae lazima akalinde chumba, na mwingine aende kwenye gari la mizigo! How preposterous is that!
 
1.
THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT, 1999 No. 3
Grant of Benefits to former President, Part III (i) 9 (3)

If the former President is requested by the Government to travel outside the United Republic, the appropriate authority shall meet all First C1ass traveling which expenses shall also cover expenses for the spouse and two Assistants

Umeelewa? Hiki ni kipengele cha Rais. We si umesema Mkapa anakuja na trupu la wapishi na wapambe 15? Mkapa waziri?

Sasa, ni sheria ndio juha, au sisi, au wewe?

Nimekuambia hivi, hiyo sheria yako ime-expire, au haipo kabisa, kwa sababu Mkapa anasafiri na kundi la watu 15 wakiwemo maofisa toka Foreign, ambao nusu yao walishatangulia tayari, msimamo wangu ni kuwa hiyo sheria ni either batili, au haitumiki kabisa, au ilishabadilishwa, lakini haitumiki kabisaa na wala sio muongozo wa misafara yake, au ya Mwinyi hiyo sheria yako ilisha-expire!

2.
Umeshaharibu FMES, tulia. Midata yako utawapeleka peleka wakuja wengine wengine, sio mimi. Eti Rais mstaafu anahitaji mlinzi mmoja ambae lazima akalinde chumba, na mwingine aende kwenye gari la mizigo! How preposterous is that!

Hata siku moja siwezi kuwa na tatizo la kukuelimisha, hata ujaribu kupindisha nilichokisema nitakusaidia tu, nimesema hivi personal rais mstaafu anakuwa na walinzi wawili, kuna wengine wanaotangulia anakokwenda, anapofika mmoja huingia kwenye gari lake na yeye rais mstaafu, na mwingine huingia kwenye gari na mizigo yake, rais mstaafu hasafiri gari moja na mizigo yake, kama ulikuwa hujui! hata siku moja!

Na anapotoka mahali popote alipofikia ni lazima walinzi na wasaidizi wengine wabaki pale mahali, sasa hata ukitumia common sense, bila ya kuona haiwezekani akasaifiri na wasaidizi wawili tu kama sheria inavyosema, ndio maana ninasema kuwa hiyo sheria ni kioo tu, au haipo kabisa, kama haiku-expire!

Anakuwa na wapishi, na wasaidizi tena wengine kutoka foreign ministry, sasa ninarudia hivi hiyo sheria yako ni mufilisi au haipo kabisa ilisha ex-pire kwa sababu ni lazima, ninarudia tena kua ni lazima awepo ofisa wa Protocol kutoka foreign, rais mstaafu hawezi kwenda mwenyewe ni lazima apangiwe,

Hizo sheria, ninarudia kwua either hazitumiki, au zime-exipire siku nyingi, au hazipo kabisaa! Hayo maneno yako mengine ni ya kawaida tumeyazoea, ila mimi nina-stick na hoja tu!
 
Kwenye sheria nimekiona only one thing, nacho ni maneno ya tiketi tu, mengine yote hamna?

Wanapokwenda nje wanalipiwa kila kitu na posho ikiwa ni pamoja na First Class ticket ya anything kuanzia ndege mpaka treni, walinzi wawili, mke, mpishi na msaidizi mmoja wa ndani,

If the former President is requested by the Government to travel outside the United Republic, the appropriate authority shall meet all First C1ass traveling which expenses

So far kwenye sheria zote mlizozileta, nimeona kipengele kimoja tu nacho ni hiki hapo juu, nimekiona na kukisema kule nyuma na hapa kwenye sheria kipo, lakini mengine yote sijayaona kwenye hizi sheria, nina wasi wasi kuwa hizi sheria hzaitumiki au hazipo, au zilisha expire.
 
Back
Top Bottom