Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Nimekuambia hivi, hiyo sheria yako ime-expire, au haipo kabisa, kwa sababu Mkapa anasafiri na kundi la watu 15 wakiwemo maofisa toka Foreign, ambao nusu yao walishatangulia tayari, msimamo wangu ni kuwa hiyo sheria ni either batili, au haitumiki kabisa, au ilishabadilishwa, lakini haitumiki kabisaa na wala sio muongozo wa misafara yake, au ya Mwinyi hiyo sheria yako ilisha-expire!

Umetaka sheria. Umewekewa. Sasa unasema ime'expire' maana inapingana na alichokiona the omniscient FMeS. Ndiyo maana bado tunashindaniana kitu ambacho wengi wanashangaa. Sasa unakuwa ubishi wa kitoto.

Sheria hai'expire' maana haina 'sell by' date. Sheria inafutwa, inaongezewa au inarekebishwa lakini hai'expire'. Maneno kama haya ndiyo yanaonyesha kutokufahamu kwako.

Mafao yanayozungumziwa ni yake binafsi na si ya ujumbe anaoweza kujumuika nao. Kama anasafari kwa niaba ya serikali bila shaka kuna watu wengine ambao bado wameajiriwa na serikali watakao ongozana nao. Hawa ni wale ambao wanahusika na jambo ambalo Rais Mstaafu anaenda kutuwakilisha. Kama anaenda kutuwakilisha kwenye mikutano ya Umoja wa Mataifa basi ataongozana na watu wa Foreign. Kama ataenda kutuwakilisha katika kongamano la ugonjwa wa ukimwi basi ataongozana na watu wa wizara ya afya, Tacaids na wengine. Hawa wanaongozana nae kutokana na umuhimu wao na si kwamba ni stahili yake. Vile vile pamoja na hawa ambao analipiwa na serikali hazuiwi kuongozana na watu ziada ambao either anawalipia binafsi au wanalipiwa na taasisi nyingine. KUMUONA Mkapa anaongozana na watu lukuki si ushahidi kuwa wote hao wanaenda kama stahili yake. Ndiyo maana sisi wengine tunaangalia sheria inayoongoza la si maneno ya mtu hata akiwa Rais Mstaafu mwenyewe. Kama maneno hayo yanapingana na sheria ina maana msemaji pengine hajui analolisemaea, ni muongo au anapindisha sheria kwa manufaa yake!

Hakuna mtu aliyekupinga kuhusu kusafiri kwa wastaafu First Class. Tulichopinga ni hao ambao ulidai ni stahili yake kuongozana nao. Watu kama wapishi ambao hawatajwi kwenye sheria. Conveniently, hukuona hilo! Lakini tutegemee nini kwa mtu ambae anaamini kuwa katiba ndiyo inayoelezea mafao ya viongozi, anayeamini binadamu wana specifications, anayeamini sheria ina'expire' n.k.

Ungekuwa na objectivity, then ungeona mwanzoni na mapema nimesema kuwa Dodoma, kuna nyumba za mawaziri viongozi wa Zanzibar, ikiwa ni ile part ya wao kuwa na nyumba Zanzibar na Dodoma, kama vile hawa wengine walivyo na nyumba Dar na Dodoma.


Stahili za viongozi wa serikali ya mapinduzi zinatawaliwa na sheria ya kwao na kulipiwa na serikali yao na si ya Muungano. Ndiyo maana waliweza kumkatia Maalim mafao yake kumshikisha adabu. Hii mada inazungumzia viongozi wa serikali ya Muungano.

Mwenzetu umekalia ubishi na si kuelimishana.
 
1.
Umetaka sheria. Umewekewa. Sasa unasema ime'expire' maana inapingana na alichokiona the omniscient FMeS. Ndiyo maana bado tunashindaniana kitu ambacho wengi wanashangaa. Sasa unakuwa ubishi wa kitoto.
Sheria hai'expire' maana haina 'sell by' date. Sheria inafutwa, inaongezewa au inarekebishwa lakini hai'expire'. Maneno kama haya ndiyo yanaonyesha kutokufahamu kwako.

Fundi maneno yangu yako very clear, kuwa katika sheria zote mlizoleta, nimeiona kipengele kimoja tu cha tiketi first class, otherwise mengine yote sijayaona, kwa mfano nimeona waziri mkuu mstaafu mmoja aliyeajiri mtoto wake kama dakitari wake under hiyo package, pia nimeona waziri mkuu mstaafu mwingine ameajiri mpwa wake kama dakiatri wake, under hiyo hiyo package, na nimeona wakisaifiri nao, sasa wewe ni uamuzi wako na hao watu wengi unaowazungumzia hapa ambao hawawezi kusema wenyewe,

Hivi ninapoadnika kuna mambo mengi sana ya aibu yametokea within the last two days kuhusiana na hii ishu huko NY, ila siwezi kusema lakini ninasisitiza kuwa ninaamini kuwa either hakuna sheria, au ime-expire, au huenda haitumiki kabisaa, na sababu ni moja tu nayo ni kwamba nina marafiki wengi sana kwenye hiyo misafara kwamba hata sielewi unasema nini?


2.
Mafao yanayozungumziwa ni yake binafsi na si ya ujumbe anaoweza kujumuika nao. Kama anasafari kwa niaba ya serikali bila shaka kuna watu wengine ambao bado wameajiriwa na serikali watakao ongozana nao. Hawa ni wale ambao wanahusika na jambo ambalo Rais Mstaafu anaenda kutuwakilisha. Kama anaenda kutuwakilisha kwenye mikutano ya Umoja wa Mataifa basi ataongozana na watu wa Foreign. Kama ataenda kutuwakilisha katika kongamano la ugonjwa wa ukimwi basi ataongozana na watu wa wizara ya afya, Tacaids na wengine. Hawa wanaongozana nae kutokana na umuhimu wao na si kwamba ni stahili yake. Vile vile pamoja na hawa ambao analipiwa na serikali hazuiwi kuongozana na watu ziada ambao either anawalipia binafsi au wanalipiwa na taasisi nyingine. KUMUONA Mkapa anaongozana na watu lukuki si ushahidi kuwa wote hao wanaenda kama stahili yake. Ndiyo maana sisi wengine tunaangalia sheria inayoongoza la si maneno ya mtu hata akiwa Rais Mstaafu mwenyewe. Kama maneno hayo yanapingana na sheria ina maana msemaji pengine hajui analolisemaea, ni muongo au anapindisha sheria kwa manufaa yake!

Hapo ndipo unapoharibu kabisaa, kwa sababu wapishi hawana anything to do na anaenda kuwakilisha what, halafu ni lini basi hao wastaafu walienda bila kuwakilisha serikali? Maana kila wanapokwenda timu huwa ni ile ile, sasa naomba unifahamishe ni lini walienda bila kuwakilisha serikali? Hapo muongo anakuwa yule asiyeelewa anachosema na kulilia sheria ambayo haitumiki au haipo kabisaa, kama haiku-exipire.

3.
Hakuna mtu aliyekupinga kuhusu kusafiri kwa wastaafu First Class. Tulichopinga ni hao ambao ulidai ni stahili yake kuongozana nao. Watu kama wapishi ambao hawatajwi kwenye sheria. Conveniently, hukuona hilo! Lakini tutegemee nini kwa mtu ambae anaamini kuwa katiba ndiyo inayoelezea mafao ya viongozi, anayeamini binadamu wana specifications, anayeamini sheria ina'expire' n.k. Mwenzetu umekalia ubishi na si kuelimishana.

ninarudia tena, nilichokiona kwenye sheria zako, na ambacho nimekiona kwenye hiyo misafara ya wastaafu, ni tiketi tu za first class, mengine yote sikuyaona, ndio maana ninasema kwangu binafsi na sio lazima na wewe unikubalie, ni kwamba hiyo sheria yako either ni batili, ime-expire, haipo, au haitumiki kabisa ipo kama mapambo,

Mimi sio mwenzako na wala I have nothing to do na wewe zaidi tu ya kujadili taifa, hayo maneno ya kiswahili swahili usiya-apply kwangu maana hayana nafasi kabisa kwangu, wastaafu wana mafao makubwa sana kuliko sheria zako bro, not even close! Ila sina tatizo kuendelea kuelimishana ila forget maneno ya kuni-convince na hiyo sheria kwa sababu haitumiki period!

Ahsante Mkuu.
 
1.
Stahili za viongozi wa serikali ya mapinduzi zinatawaliwa na sheria ya kwao na kulipiwa na serikali yao na si ya Muungano. Ndiyo maana waliweza kumkatia Maalim mafao yake kumshikisha adabu. Hii mada inazungumzia viongozi wa serikali ya Muungano. Mwenzetu umekalia ubishi na si kuelimishana.

1. Maalim alikataliwa mafao na serikali ya jamhuri baada ya kujiunga na CUF, lakini wakati wa muafaka alirudishiwa mafao hayo na aliyekuwa katibu mkuu wa CCM, Mang'ula kwa niaba ya seriakli ya jamhuri, na anapewa mpaka sasa.

2. Mimi nijuavyo utumishi Dar ndio wanahusika na mafao ya viongozi wote, wa bara na visiwani, wasaidizi wakuu wa wastaafu wote huripoti pale, hayo mengine ni yako mkuu, otherwsie elimu safi sana, tuendelee kukata ishu.

Ahsante Tena.
 
1.

1. Maalim alikataliwa mafao na serikali ya jamhuri baada ya kujiunga na CUF, lakini wakati wa muafaka alirudishiwa mafao hayo na aliyekuwa katibu mkuu wa CCM, Mang'ula kwa niaba ya seriakli ya jamhuri, na anapewa mpaka sasa.

2. Mimi nijuavyo utumishi Dar ndio wanahusika na mafao ya viongozi wote, wa bara na visiwani, wasaidizi wakuu wa wastaafu wote huripoti pale, hayo mengine ni yako mkuu, otherwsie elimu safi sana, tuendelee kukata ishu.

Ahsante Tena.

Maalim alikataliwa na serikali ya mapinduzi na si ya Muungano. Kwa mtazamo wako basi hata mishahara ya viongozi wa serikali ya mapinduzi inalipwa na JMT? Utumishi has nothing to do with mafao na mishahara ya viongozi wa Zanzibar.
 
Hivi hiki kitu Government Salary Scale ni kitu ambacho kiko public ?

I bet the answer is no.

Kama hiki nacho ni siri ya Serikali, Watanzania tuna panya vichwani. I'm pissed!
 
Hapo ndipo unapoharibu kabisaa, kwa sababu wapishi hawana anything to do na anaenda kuwakilisha what, halafu ni lini basi hao wastaafu walienda bila kuwakilisha serikali? Maana kila wanapokwenda timu huwa ni ile ile, sasa naomba unifahamishe ni lini walienda bila kuwakilisha serikali? Hapo muongo anakuwa yule asiyeelewa anachosema na kulilia sheria ambayo haitumiki au haipo kabisaa, kama haiku-exipire.

Si safari zote wanazosafiri kuwakilisha serikali. Wao kama wastaafu ni raia huru kama wengine. Mkapa anaenda Geneva mara nyingi kwenye masuala ya South South Commission. Anaenda kama raia na si kama mwakilishi wa serikali. Kwa maneno mengine nafasi yake huko ameipata kama Mkapa na si kama mtumishi wa serikali. Anawakilisha serikali anapoombwa kusuluhisha migogoro kama ile iliyotokea jirani kwetu, Kenya. Rais anaweza kumuomba amuwakilisha katika kongamano, mikutano kwa jinsi anavyoona inafaa. Yeye kama raia mwingine anaweza kusafiri kokote anakotaka bila kuwakilisha serikali. Anaweza kwenda Jordan kumwangalia rafiki yake, anaweza kwenda Marekani kutembelea rafiki zake na kwingineko. Yeye ni raia na hafungwi na chochote. Kwa kifupi, si kila ukimwona Mkapa yuko kwenye safari za serikali. Vile vile kwa wastaafu wengine.

Kutotumika au kukiukwa kwa sheria hakuifanyi kuwa ni batili. Uwezekano unabakia pale pale kuwa akija mwenye nia anaweza kutumia sheria hiyo kuwafanya wanaoitumia vibaya au kuikiuka accountable. Pasingekuwa na sheria ya procurement hamna ambalo lingeweza kufanyika juu ya Richmond. Kukiukwa kwake hakukuifanya iwe batili. Vile vile kwa sheria nyingine za nchi zikijumuisha na hii ya mafao na maslahi ya viongozi.

Wewe ni mwenzangu kama walivyo binadamu wengine. Unless kama umejitoa katika jamii ya ubinadamu!
 
Hivi hiki kitu Government Salary Scale ni kitu ambacho kiko public ?

I bet the answer is no.

Kama hiki nacho ni siri ya Serikali, Watanzania tuna panya vichwani. I'm pissed!


Kuhani,

Goverment salary scale ziko wazi. Mishahara ya watumishi wa serikali (civil servants) iko wazi. Lakina ujue hii mishahara si lazima iendane na wadhfa ambao mtu anaoshika kwa wakati huo. Mishahara inaongozwa na cheo. Mimi kama Fundi Mchundo ninaweza kuwa na cheo cha Fundi Mchundo daraja la 3 lakini wakati huo nikawa na wadhfa wa Mhandisi wa Mkoa! Cheo changu cha FM daraja la 3 ndicho kitaainisha mishahara na vitu kama allowance kama nikisafiri na si wadhfa wangu kama Mhandisi wa Mkoa. Hivi ndivyo ilivyokuwa enzi zile. Sijui hali ya sasa hivi ikoje.

Mishahara na stahili ya viongozi wa kisiasa, mawaziri, wakuu wa mikoa, mpaka mheshimiwa Rais ndiyo haiko wazi.
 
Maalim alikataliwa mafao na serikali ya jamhuri baada ya kujiunga na CUF, lakini wakati wa muafaka alirudishiwa mafao hayo na aliyekuwa katibu mkuu wa CCM, Mang'ula kwa niaba ya seriakli ya jamhuri, na anapewa mpaka sasa.

Mang'ula kama makatibu wakuu wa vyama vingine vya siasa, hatambuliki kama mlolongo wa viongozi wa serikali. haiwezekani yeye akamrudishia aliyekuwa mtendaji wa serikali mafao. Hana uwezo wa kuandika barua kutumia nembo ya serikali. Sasa aliwezaje kutoa taarifa ya uamuzi wake? Huu ni uongo mwengine.
 

Kuhani,

Goverment salary scale ziko wazi. Mishahara ya watumishi wa serikali (civil servants) iko wazi. Lakina ujue hii mishahara si lazima iendane na wadhfa ambao mtu anaoshika kwa wakati huo. Mishahara inaongozwa na cheo. Mimi kama Fundi Mchundo ninaweza kuwa na cheo cha Fundi Mchundo daraja la 3 lakini wakati huo nikawa na wadhfa wa Mhandisi wa Mkoa! Cheo changu cha FM daraja la 3 ndicho kitaainisha mishahara na vitu kama allowance kama nikisafiri na si wadhfa wangu kama Mhandisi wa Mkoa. Hivi ndivyo ilivyokuwa enzi zile. Sijui hali ya sasa hivi ikoje.

Mishahara na stahili ya viongozi wa kisiasa, mawaziri, wakuu wa mikoa, mpaka mheshimiwa Rais ndiyo haiko wazi.

Ahsante, Mkuu.

Kama naweza kuuliza lingine:

Tanzania, katika ajira za Serikali, kuna kitu kinaitwa "Performance Review" ?

Ahsante.
 
Ahsante, Mkuu.

Kama naweza kuuliza lingine:

Tanzania, katika ajira za Serikali, kuna kitu kinaitwa "Performance Review" ?

Ahsante.

Zamani palikuwa na kitu kinaitwa 'fomu za siri za serikali' ambazo mafanyakazii alitakiwa kuzijaza kila mwaka na kumpa bosi wake kwa comments zake. Hizi ni zilikuwa mostly a farce. Mfanyakazi alikuwa hana namna ya kuangalia hizo comments hivyo kutoa loop hole ya ukandamizaji au upendelewaji.

Nasikia katika Civil Service ( nadhani siku hizi wanaita Public Service) Reforms wameanzisha perfomance reviews ambapo viongozi wanatakiwa ku'set targets' na walio chini yao na mwisho wa mwaka kukaa na kila mmoja kuangalia utekelezaji wake wa majukumu yake.
 
Tanzania, katika ajira za Serikali, kuna kitu kinaitwa "Performance Review" ?

Perfomance review zipo, labda tu itokee hiyo ofisi watendaji wawe hawazifuatilii na kuzitekeleza. Kwa mfano kati ya mwaka 2005 hadi 2007 mi nilifanya ofisi moja ya shirika la uma tulikuwa tunajaza form za perfomance review na boss wako wa idara alikuwa ana kaa na wewe na kukueleza comments zake na kwa nini ameweka hivyo kabla haja submit mbele (administration) kwa ajili ya bonus au nyongeza ya mshahara.
 
YAANI kaka hivi unasema unatania. Mtu anachukua milioni mia mbili na robaini kwa mwaka? Yaani milioni 24 za Bongo kila mwezi. Au ndio sababu tripu za Ulaya zimezidi.

Mohammed Ibrahim wa Sudan kama ndio hivyo basi usiweke Tanzania kwenye mahesabu yako maana hawa jamaa mpaka wamalize miaka 10 yao [nina hakika sisi wote wajinga sana na tutawachagua tu mwaka 2010] watakuwa matajiri wa kutuna na kutisha.
 
Maalim alikataliwa na serikali ya mapinduzi na si ya Muungano. Kwa mtazamo wako basi hata mishahara ya viongozi wa serikali ya mapinduzi inalipwa na JMT? Utumishi has nothing to do with mafao na mishahara ya viongozi wa Zanzibar.


Maalim Seif alifukuzwa kazi na CCM kwenye kikako cha kamati kuu, hakufukuzwa kazi na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar,

Na hakupewa anything as mafao is concerned kutokana na maagizo ya CCM Dodoma, na sio Serikali ya mapinduzi,

Ni CCM ndio walioamua arudishiwe mafao kama chambo cha kufanikisha muafaka, na aliambiwa rasmi na katibu wa CCM, Mang'ula kwenye moja ya vikao vya muafaka na akakubali kuyapokea, hata kupelekea wananchi wengi kuanza kumshitukia kuwa amei-sell out CUF, alipoanza hata kukubali kusafiri kwenye ndege ya rais,

Kuna idara moja ya utumishi inayo-deal na mafao ya viongozi wote wa Tanzania, nayo ipo Dar ikiongozwa na katibu mkuu wa ofisi ya rais, ambaye ni wajibu wake kuhakikisha kuwa inafuata miongozo ya serikali ya jamhuri, wasaidizi wakuu wa wastaafu wote, huripoti hapo kwa miongozo yao.
 
1.
Si safari zote wanazosafiri kuwakilisha serikali. Wao kama wastaafu ni raia huru kama wengine. Mkapa anaenda Geneva mara nyingi kwenye masuala ya South South Commission. Anaenda kama raia na si kama mwakilishi wa serikali. Kwa maneno mengine nafasi yake huko ameipata kama Mkapa na si kama mtumishi wa serikali. Anawakilisha serikali anapoombwa kusuluhisha migogoro kama ile iliyotokea jirani kwetu, Kenya. Rais anaweza kumuomba amuwakilisha katika kongamano, mikutano kwa jinsi anavyoona inafaa. Yeye kama raia mwingine anaweza kusafiri kokote anakotaka bila kuwakilisha serikali. Anaweza kwenda Jordan kumwangalia rafiki yake, anaweza kwenda Marekani kutembelea rafiki zake na kwingineko. Yeye ni raia na hafungwi na chochote. Kwa kifupi, si kila ukimwona Mkapa yuko kwenye safari za serikali. Vile vile kwa wastaafu wengine.

Haya yote uliyoyasema hapo juu hayana uhusiano wowote na the ishu, ya kwamba kwa nini kila anaposaifiri anakuwa na kundi la watu zaidi ya 10? wakati wewe umesema kwua anakuwa na hilo kundi wakati tu anaenda kuwakilisha serikali? Mimi ninakwamba toka nimeanza kuwaona Mkapa na Miwnyi wakisafiri, siku zote wanakuwa na kundi la watu zaidi ya 10,

Wewe unasema sheria inasema anatakiwa kusaifir na watu wawili tu, sasa naomba jibu kwa nini huwa anakwenda na watu zaidi ya 10?


2.
Kutotumika au kukiukwa kwa sheria hakuifanyi kuwa ni batili. Uwezekano unabakia pale pale kuwa akija mwenye nia anaweza kutumia sheria hiyo kuwafanya wanaoitumia vibaya au kuikiuka accountable. Pasingekuwa na sheria ya procurement hamna ambalo lingeweza kufanyika juu ya Richmond. Kukiukwa kwake hakukuifanya iwe batili. Vile vile kwa sheria nyingine za nchi zikijumuisha na hii ya mafao na maslahi ya viongozi.

Finally, sasa unakubali point yangu lakini bila kukubali wazi, kwamba sheria yako kama ipo haitumiki, ambayo ni moja ya argument yangu au? ungekubali hili mapema tusingefika kote huku, nimekuambia na ninarudia tena kuwa kwenye sheria zote mlizozileta kuhusiana na mafao ya viongozi wakuu, binafsi nimeiona sheria ikiwa na kipengele kimoja tu cha tiketi First Class, basi mengine yote sikuyaona, na imenifanya kuamini kuwa either hakuna sheria, kama ipo haitumiki, au ilisha- expire, au ilifanyiwa marekebisho.
 
Mang'ula kama makatibu wakuu wa vyama vingine vya siasa, hatambuliki kama mlolongo wa viongozi wa serikali. haiwezekani yeye akamrudishia aliyekuwa mtendaji wa serikali mafao. Hana uwezo wa kuandika barua kutumia nembo ya serikali. Sasa aliwezaje kutoa taarifa ya uamuzi wake? Huu ni uongo mwengine.

So far hujathibitisha anything kuhusiana na neno uongo, ingawa unajaribu sana kuliingiza hili neno, lakini umeshidnwa vibaya sana maana najua kwua unajaribu kila njia kuliweka hili neno ili nionekane muongo kama bosi wako lakini unahangaika tu, unajaribu kulilia sheria wakati kila mtu hapa anajua wazi kuwa kwenye hii ishu ya mafao ya wakuu hakuna sheria,

Seif alifukuzwa kazi uwaziri wake kiongozi Zanzibar na nani? kama sio CCM sasa tuambie CCM ilimfikuzaje waziri kiongozi wa serikali kama Tanzania tunafuata sheria zako kama unavyosema sana!

Ninarudia tena, Seif alifukuzwa kazi na CCM, na ni CCM katika mazungumzo ya muafaka ndio waliomshaiwshi Seif kuanza kupewa mafao, kwa ujumbe waliomtumia kupitia Katibu mkuu wa CCM then Mang'ula, na akakubali na kuanza kupewa,

Hayo ya nembo ni yako mimi siyajui, ya kuandika barua ya serikali kusainiwa na Mang'ula ni yako pia mimi sikuyasema wala siyajui, ila ninajua as a fact, kwamba viongozi wengi wakuu wa serikali mara nyingi wameondolewa nyazifa zao serikalini na CCM, kwa mfano Aboud Jumbe, Seif Bakari, Maaalim Seif, Prof. Mbilinyi, Idd Simba, hawa ni baadhi tu ya wakuu wa serikali yetu ya jamhuri waliowahi kuondolewa kwenye power na CCM, sasa labda wewe utuelimishe kwa nini CCM na sio sheria za jamhuri kama unavyozidai?

Hapa wewe either ni muongo, hujui, au unafanya makusudi kujifanya hujui kuwa CCM imewahi kufanya hayo niliyoyasema.
 
1.

Haya yote uliyoyasema hapo juu hayana uhusiano wowote na the ishu, ya kwamba kwa nini kila anaposaifiri anakuwa na kundi la watu zaidi ya 10? wakati wewe umesema kwua anakuwa na hilo kundi wakati tu anaenda kuwakilisha serikali? Mimi ninakwamba toka nimeanza kuwaona Mkapa na Miwnyi wakisafiri, siku zote wanakuwa na kundi la watu zaidi ya 10,

Wewe unasema sheria inasema anatakiwa kusaifir na watu wawili tu, sasa naomba jibu kwa nini huwa anakwenda na watu zaidi ya 10?


2.

Finally, sasa unakubali point yangu lakini bila kukubali wazi, kwamba sheria yako kama ipo haitumiki, ambayo ni moja ya argument yangu au? ungekubali hili mapema tusingefika kote huku, nimekuambia na ninarudia tena kuwa kwenye sheria zote mlizozileta kuhusiana na mafao ya viongozi wakuu, binafsi nimeiona sheria ikiwa na kipengele kimoja tu cha tiketi First Class, basi mengine yote sikuyaona, na imenifanya kuamini kuwa either hakuna sheria, kama ipo haitumiki, au ilisha- expire, au ilifanyiwa marekebisho.

Hauna point sasa nitakubali nini. Toka mwanzo uliambiwa kunasheria inayoongoza stahili za wastaafu. Wewe ndiye ulikuwa unapinga kuwepo kwa sheria kwa sababu unaona mengine. Hauwezi kusema kuwa hakuna amri kumi katika biblia zinazoongoza miendendo ya wakristu kwa vile wakristu wengi hawazifuati. vile vile kwa sheria. Ndiyo maana sisi tunakupinga wewe kutuletea unayoyaona kama facts mbadala wa sheria.

vile vile kwa Mkapa kuongozana na watu hata hamsini hakumaanishi kuwa hiyo ndiyo stahili yake. Kigezo ni sheria inasema nini. Zaidi ya hapo ni kuwa anakiuka sheria.

Haujui taratibu za serikali. Kiongozi wa chama chochote cha siasa asiye katika utawala wa serikali hawezi kufanya lolote. Anaweza kuamrisha lakini hawezi hata kuandika. Kwa taratibu za serikali yule aliyeandika barua ya kutoa agizo ndiye anayewajibika na si yule aliyetoa maagizo kwa mdomo tu! Of course, idara ya utumishi inaongozwa na katibu mkuu. Sasa unataka kudai kuwa na hiyo ni dataz!

Unanipotezea muda. Hautakuja kuelewa.
 
1.
Hauna point sasa nitakubali nini. Toka mwanzo uliambiwa kunasheria inayoongoza stahili za wastaafu. Wewe ndiye ulikuwa unapinga kuwepo kwa sheria kwa sababu unaona mengine. Hauwezi kusema kuwa hakuna amri kumi katika biblia zinazoongoza miendendo ya wakristu kwa vile wakristu wengi hawazifuati. vile vile kwa sheria. Ndiyo maana sisi tunakupinga wewe kutuletea unayoyaona kama facts mbadala wa sheria.vile vile kwa Mkapa kuongozana na watu hata hamsini hakumaanishi kuwa hiyo ndiyo stahili yake. Kigezo ni sheria inasema nini. Zaidi ya hapo ni kuwa anakiuka sheria.

Niliposema kuhusu ninayoyafamu na wastaafu, wewe uliesema ni uongo kwa sababu sheria haisemi hivyo, ukaileta sheria ambayo ni clear kuwa wastaafu hawaitumii kulingana na ninayoyaona in wastaafu, sasa nikasema kuwa either hiyo sheria haipo, haifanyi kazi, ime-expire, au haitumiki kabisa,

Badala ya kukubali point yangu, ukaamua kubisha kuwa ninayosema kuhusu wastaafu sio kweli ni uongo, nikasimama kidete na ksuema wazi ninayoyaona, then sasa unasema kuwa sheria ipo lakini haitumiki, sasa ndipo ninapokuuliza kosa langu lipo wapi? Mimi nimesema kuwa nijuavyo wastaafu wana mafao makubwa sana tena kuliko hata hii sheria mliyoileta,

Toka Mwinyi na Mkapa, waache urais sijawahi kuwaona wakisaifri na watu less ya 10, wewe ukasema hizo ni safari za kiseriakli, nikakuuuliza ni lini waliwahi kusaifri safari zao binafsi, maana mimi nijuavyo siku zote husaifiri na idadi ile ile kwa hiyo kwangu ni vigumu kujua lni wanasafiri kwa kiserikali na lini wanasafiri binafsi, infact watu wengi wanaosafiri nao huwa ni wale wale, WHY? na wewe unasema sheria inatalkiwa kuwa na wasaidizi wawili tu?

Hayo ya dini nafikiri yanafaa kwenda kwenye section ya dini, sio hapa kwenye siasa kwa hiyo sitayagusa, mimi bado ninasimama kwenye point yangu ya msingi kuwa ninayoana kwenye wastaafu as far as mafao is concerned hayapo kwenye sheria mlizozileta hapa, sasa either sheria haipo kabisa, ipo haitumiki, ilisha-expire, au ipo wanai-abuse.


2.
Haujui taratibu za serikali. Kiongozi wa chama chochote cha siasa asiye katika utawala wa serikali hawezi kufanya lolote. Anaweza kuamrisha lakini hawezi hata kuandika. Kwa taratibu za serikali yule aliyeandika barua ya kutoa agizo ndiye anayewajibika na si yule aliyetoa maagizo kwa mdomo tu! Of course, idara ya utumishi inaongozwa na katibu mkuu. Sasa unataka kudai kuwa na hiyo ni dataz!

1. Sawa sawa, sizijui taratibu za serikali, lakini wewe unayezijua kwa nini unashindwa kunieleimisha, badala yake unakimbilia kuniiita muongo bila kuonyesha uongo wangu?

2. Ninasema hivi CCM ndio waliomfukuza kazi ya serikali Maalim Seif, na ndio waliaoamua asipewe mafao, na baadaye ndio walioamua apewe mafao, na akapewa na serikali, sasa uongo wangu hapa upo wapi? Ni wapi hapa nisipoelewa? Kama serikali yako ndiyo yenye uamuzi na sheria zako kama unavyodai, ilikuwaje Maalim Seif waziri kiongozi wa serikali tena ya ya Zanzibar akafukuzwa kazi na CCM? Halafu kwa nini baada ya kufukuzwa kazi na CCM serikali yako na sheria zake hawakumpa mafao mpaka walipokuja kushinikizwa na CCM? Sasa hapa mimi na wewe ni nani hasa asiyejua wajibu wa serikali na wajibu wa CCM katika taifa letu?

3. Sasa unataka kusema nini kwamba CCM iliagiza serikali kwa mdomo kwamba wasimpe Maalim Seif mafao yake ya uwaziri kiongozi? Na kwamba majuzi walipoamua kumrudishia mafao yake CCM waliiambia serikali kwa mdomo is that what you are saying? Mbona unazidi kujichanganya?


3.
Unanipotezea muda. Hautakuja kuelewa.

Bwa! ha! ha! ha! ha! ha! ah! nafikiri hoja zako na zangu ziko very clear kuwa ni nani kati yetu anyepoteza muda wa mwingine!
 
Niliposema kuhusu ninayoyafamu na wastaafu, wewe uliesema ni uongo kwa sababu sheria haisemi hivyo, ukaileta sheria ambayo ni clear kuwa wastaafu hawaitumii kulingana na ninayoyaona in wastaafu, sasa nikasema kuwa either hiyo sheria haipo, haifanyi kazi, ime-expire, au haitumiki kabisa,

Badala ya kukubali point yangu, ukaamua kubisha kuwa ninayosema kuhusu wastaafu sio kweli ni uongo, nikasimama kidete na ksuema wazi ninayoyaona, then sasa unasema kuwa sheria ipo lakini haitumiki, sasa ndipo ninapokuuliza kosa langu lipo wapi? Mimi nimesema kuwa nijuavyo wastaafu wana mafao makubwa sana tena kuliko hata hii sheria mliyoileta,

Nitajaribu tena kukuelimisha. Hii mada inazungumzia stahili za wastaafu na sivyo wanavyotumia. Wewe ulileta hoja yako kana vile ile ndiyo stahili yao. Na ulipofahamishwa kuwa sheria inasema tofauti na unachokisema ukasema wewe haujali sheria inasema nini, unajua unachokiona. Si unachoambiwa, si unachosikia, unachokiona. Kwa kuweka na kukazania kuwa unayoyaona ndiyo stahili ndiyo nikakuita muongo. Mbona ulipokuja kwa gia nyingine juu ya dataz ulizodai ulizipata kutoka kwa makongora kwenye ulabu, hakuna aliyekuita muongo. ukawekewa sheria, ukakiri kuwa pengine mheshimiwa alikudanganya. Mtu yeyote aliyefanya kazi serikalini anajua kuwa viongozi wa juu wana kawaida ya kukiuka sheria na taratibu. Hii haimaanishi kuwa sheria hizo ni batili au zime'expire'. Mfano wa wakristu ulikuwa ni kukuonyesha kuwa haupimi sheria kwa kuangalia vitendo vya wanaotakiwa kuongozwa nazo. lakini kama kawaida yako, unataka ku'misinterpret'.

Kosa lako ni kudai kuwa hayo unayodai unayoyaona ndiyo stahili ya viongozi. mimi sikujui, nitakuitaje muongo kwa kusema kuwa ulimuona Mkapa anaongozana na watu lukuki? Kudai kuwa Mkapa stahili yake ni kuongozana na mpishi kila akisafiri nje, nikakuita muongo.

Kwa upande wangu sina la kuongeza kwenye huu mjadala. mwenye kuelewa na aelewe.
 
Back
Top Bottom