Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Si uende ikulu ukaulize,acha ushabiki!!!
Kikatiba rais harusiwi kukaguliwa(auditing) ina maana kiundani,ila ukitaka kujua A au B utajuzwa,so better go yourself bro!
 
Hiyo nayo ni siri kubwa Watanzania hatistajili kuijua!!! Tunajua mshahara wa Rais wa Marekani lakini hatujui mshahara wa Rais wetu!!!! Bill clinton ndiye alikwa Rais wa mwisho wa Marekani kupokea mshahara wa $200,000 kwa mwaka alipomaliza awamu yake ya miaka minane mwaka 2000. Kuanzia 2001 mshahara wa Rais wa marekani uliongezwa na kufikia $400,000 kwa mwaka. Kama kumbu kumbu zangi ni nzuri walidai wameoungeza maradufu kwa sababu ni miaka mingi imepita tangu nyongeza ya mwisho na pia gharama za maisha zimepanda sana. Lakini tukirudi kwa Rais wetu hatuujui mshahara wake!!! Mwe hii ni sirikali!!!

kweli sirikali, economics views za mishahara ya individuals wachache ni Income(saraly)=Consumption + Saving, individuals wengi Income=Consumption + Madeni, ila ya wakuu nadhani ni Income=Saving, means hawatumii yani wanasave mwanzo mwisho
 
Kwani mpaka sasa mwezi July 2015 mshagara wa kima cha chini ni shilingi ngapi wadau??
 
Muulizeni ZZK anajua yote na alishataja, mi nimesahau tu...
 
Kuna thread imesema mshahara wa Rais ni milioni 32
umeiona?

Thread kusema mshahara wa rais ni milioni 32 si hoja wala nongwa kwani yeyote yule anaweza akasema kiasi chochote kile.

Ninachotaka mimi ni source ya uhakika. Kwa mfano, ukitaka kujua kiasi cha mshahara cha rais wa Kenya au Marekani wala hutahangaika kwani hizo taarifa zina vyanzo vya uhakika na kwenye hizo nchi hilo suala si la siri.

Sasa mimi nachotaka kujua ni wapi naweza kupata hizo taarifa?

Hiyo ya milioni 32 nishaisikia siku nyingi lakini kila nikiuliza source yake sipati.

Wewe unaweza ukanipa hiyo source?
 
Thread kusema mshahara wa rais ni milioni 32 si hoja wala nongwa kwani yeyote yule anaweza akasema kiasi chochote kile.

Ninachotaka mimi ni source ya uhakika. Kwa mfano, ukitaka kujua kiasi cha mshahara cha rais wa Kenya au Marekani wala hutahangaika kwani hizo taarifa zina vyanzo vya uhakika na kwenye hizo nchi hilo suala si la siri.

Sasa mimi nachotaka kujua ni wapi naweza kupata hizo taarifa?

Hiyo ya milioni 32 nishaisikia siku nyingi lakini kila nikiuliza source yake sipati.

Wewe unaweza ukanipa hiyo source?


Labda huyu ndugu Kwamhuzi ataleta source

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mkwasa-unaleta-picha-gani-kwa-watanzania.html
 
Last edited by a moderator:

Hiyo thread nimeshaiona na nimeshatoa mchango wangu kwa njia ya swali.

Yeye kusema/ kuandika kuwa mshahara wa rais ni shilingi milioni 32 bila kuweka source ya uhakika na ya kuaminika haifanyi mshahara wa rais kuwa shilingi milioni 32.

Hata mimi hapa sasa hivi naweza kusema kuwa 'mshahara wa rais Kikwete ni shilingi milioni 128 kwa mwezi'.

Je, watu wakiona nimeandika hivyo ndo wachukulie hiyo kauli yangu kuwa neno la injili bila kuhoji nilipoitoa hiyo taarifa?

Saying it so doesn't make it so.

Hebu hapo ulipo jaribu ku Google mshahara wa rais wa Marekani, Kenya, Afrika Kusini, au ule wa waziri mkuu wa Uingereza uone hits utakazopata.
 
Unaweza kuta anakula hata Bilioni kwa mwezi ndo maana imefichwa fichwa
 
rais wa JMT anapata posho na marupurupu na si mshahara ,, hata pale anapostaafu yeye ataendelee kupata posho kama kawaida na si mshahara!
 
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?

kwani si ugombee ukifika huko utajua ni kiasi gani....?Daaaah.....!aiseeee unaonaje nuda unao tumia kuwaza mshahara wa Rais ni kiasi gani ungetumia kwa kupanga namna ya kuboresha kazi yako si na wewe unge sifiwa kwa ufanisi na mshahara wako ungepanda
 
Yuko sahihi unapotaka kufanya uchunguz lazma ufatilie mjumbe yuko sawa mwenye uelewa aseme tu
 
Nchi hii tuna wachumi lakini hawatumiki ipasavyo katika kupanga mipango inayoleta tija. Wanasiasa ndiyo wapepora kila kitu, hii inasababisha uchumi wetu kuyumba sana.

Nikitoa mfano mdogo tu huwezi ukawa na gap kubwa sana la mshahara kati ya kima cha juu na cha chini.


Ukizingatia wote hawa ni watanzania, wana mahitaji sawa, soko lao moja etc, Nashauri hawa wakuu watumie wataalam wetu jamani..
 
Back
Top Bottom