BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
kwahiyo hakuna mwenye data kamili za mshahara wa mkulu wetu waungwana? kwanini iwe siri kwa tanzania tu?
Kwa sababu kuna wizi wa hali ya juu ndani ya huo mshahara na marupurupu ndio maana wanafanya siri.