Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Chunga sana ndugu ulaji wa mishikaji,huku kwetu kuna mzee alikuwa anauza mishikaji kwa 50/= amefungwa,kumbe alikuwa anachinja mmbwwaa!!
Chunga sana ndugu ulaji wa mishikaji,huku kwetu kuna mzee alikuwa anauza mishikaji kwa 50/= amefungwa,kumbe alikuwa anachinja mmbwwaa!!
Chunga sana ndugu ulaji wa mishikaji,huku kwetu kuna mzee alikuwa anauza mishikaji kwa 50/= amefungwa,kumbe alikuwa anachinja mmbwwaa!!
Wakuu,huwa najiuliza kila siku,hii mishkaki [ya ng'ombe] inayo uzwa sh.100 maeneo mbalimbali ya dsm,wauzaji wanapata faida gani?
Maana ni vipande 5 vya nyama,tena vitam tu,
sasa kama kilo ya nyama ni sh.5000 hadi 6000,hawa wandugu wanafanya biashara ya aina gani?
mkuu kiukweli ile huwa tunatengeneza kwa ajili ya Wahehe tu, sasa siku hizi kila mtu anaipenda. ila saiv itakuwa Tsh 150 kwa sababu mbwa wanaadimika.
mkuu kiukweli ile huwa
tunatengeneza kwa ajili ya Wahehe tu, sasa siku hizi kila mtu anaipenda.
ila saiv itakuwa Tsh 150 kwa sababu mbwa wanaadimika.
Unamaanisha kuwa wateja wakubwa wa mishikaki n wahehe!