Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,979
Wakuu,huwa najiuliza kila siku, hii mishkaki [ya ng'ombe] inayouzwa sh.100 maeneo mbalimbali ya dsm, wauzaji wanapata faida gani?
Maana ni vipande 5 vya nyama, tena vitam tu, sasa kama kilo ya nyama ni Tsh. 5000 hadi 6000, hawa wandugu wanafanya biashara ya aina gani?
Maana ni vipande 5 vya nyama, tena vitam tu, sasa kama kilo ya nyama ni Tsh. 5000 hadi 6000, hawa wandugu wanafanya biashara ya aina gani?