Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ngoja nikuache maana ulichoandika ni tatzo zaidAliyeleta corona ni shetani ila ni kwa kibali cha Mungu ili "kukinyoosha kiburi cha mwanadamu"
Pia ni unabii unatimia.
JESUS IS LORD!
Elezea kwann unakufa? Kwasayansi na ukifa unaenda wapi? Leta uchunguzi wa kisayansi na fact zako. Na kwann uzaliwe uishi? Kwann kuna tajiri na masikini(usilete majibu ya mamotivation speaker sijui uvivu sijui vitu gani)? lete factNi upumbavu tu wa watu wasiojilewa unakuta jitu Zima limekaa eti linaamini muhamadi alipaa akaenda mbinguni kukabidhiwa swala 5 ... Ukimuambia thibitisha anabaki anatoa toa macho tu
Ok lete fact za kisayansi kwanini ndege anapaa kwasababu ana mabawa na binadamu hana hayo mabawa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kumbe wanatumia chanjo ya mmarekani Mimi nilidhania kwamba wanatumia chanjo ambayo waliigundua wao wenyewe kwa kutumia mashekhe wao waliogundua dawa kutoka katika Qur'an itoshe tu kusema kwamba hizi dini Ni wizi mtupu katika nyakati Kama hizi ambazo ni nyakati ngumu kwa dunia hizi dini ndio zilipaswa kuja na majibu (suluhisho ) la matatizo yaliyopo na sio kukaa kusubiri tafiti za kisayansi ziwapatie dawa wao na waumini wao hizi dini Ni scam Ni utapeli mkubwa Sana kuwahi kutokea duniani
Ko unataka kunambia kati ya mababu zenu waganga na kizazi cha sahivi chenye dini kipi kimepata maendeleo? Na hili si la kidini jibu hvo hvo kwa fact? Au hao walioanzisha hizo dini na nyie ambao bado uganga na civilisation mbovu nani kaendelea? Lete chanzo cha binadamu kwa fact kamili sio zile sijui ana mkia sijui vidudu gani.Poor you 'unapotumia majina ya asili ya jamii ya watu wengine unauwa utamaduni wako Unapoteza historia ya taifa lako na kizazi Chako kizazi kijacho kikija kitakosa history Bora kuhusu taifa lenu na kitashindwa kujivunia Jambo lolote lile toka ktk taifa husika ... Unapoilinda history ya nchi yako na utamaduni wako unakuwa umefanikiwa kuulinda uchumi wa nchi yako na Rasilimali zake pia au haya hauyafahamu unataka tuanze kukupa darasa [emoji16][emoji16][emoji16]
Sawa lete fact kuua mtu ni vibaya au sio vibaya? Maan nd hayo hayo yapo kwenye dini.Mimi natumia fact situmii imani
Imani Ni kitu Ambacho kinataka uamini pasipo uwepo wa mantiki so ktik maisha yangu Mimi natumia mantiki situmii imani ukisha niambia kuwa na amini Basi inakuwa umenipachika sifa ya kupelekwa tu Kama ng'ombe wakati hiyo sio sifa yangu
Uliingia JF? Nn kilikusukuma ukaamin utakuta watu wa kuwaambia hakuna imani na wakati unatumia imani? What If huwasiliani na watu kweli? Kipi kinakusukuma uamini ni watu? Katika maisha imani huwezi kwepa n kiwango 2 nd utofauti upo.Na hapa ndio shida inapoanzia...Sasa hapo mtu anawezaje kuthibitisha kitu kisicho na ushahidi?
Ukishasema bila ushahidi...huwezi tena kuthibitisha
We nd uthibitishe kwamba marekani hawajatumia bible au quran au imani kupata chanjo.Ndio umeongea Nini Sasa hapa upo sawa kweli wewe upstairs
Thibitisha kwamba hiyo chanjo ya kutoka marekani imefanyiwa utafiti katika Qur'an ndio maana ikafanikiwa kupatikana
Unaposema kuswali bila utaratibu maana yake nini?Sas una uhakika gani hawajazuia mambo kama hayo mbon unamuonea mtoa maada. Labda wamezuia watu kuswali bila utaratibu.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Hivyo vyengine havina chanzo kwa sababu umevikuta? Eleza kwanini havina chanzo.Vitu ambavyo ni human made ambavyo ni artificial vina chanzo
Lakini hivi tulivyo vikuta havina chanzo
Kama havina chanzo vinadhihirisha kwamba Mungu hayupo
Kama vinachanzo vinathibisha kwamba Mungu na yeye ana chanzo chake yaani ana Mungu wake
So kwa upande wangu Mimi msimamo wangu Ni kwamba havina chanzo na Mungu hayupo ...
Haya leta hoja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nikusahishe hapo kidogo. Inasadikika kirusi cha corona kimetengenezwa na binadamu. Turudi kwenye hoja yako. Ikitokea mtoto anakanywa na baba akagoma kabisa kumfuata hutokea nn? Ngoj tuzungumzie scenerio moja ambayo baba humsusa mtoto na kumfukuza nyumbani. Kumbuka wakati huo mtoto akikosa hifadhi anaeza kutana na binadamu wabaya au wanayama wakali wakamdhuru. Je kosa litakuwa la nani hapo? Wakati huo huyo baba watoto ndani ya nyumba waliobaki anawalinda anawapa mahitaji yote muhimu na kawahidi misingi mizuri ya maisha watakavokua. Je tumuite huyu baba ana roho mbaya? Wakati huo huyo mtoto akikiri anaweza samehewa na kuhesabiwa kama wale wengine.Mungu anataka wamuambudu... Watu wa mungu wanakutana kwenye nyumba za ibada kumubudu Mungu lkn Mungu huyo huyu tena analeta gonjwa la corona ambalo linawafanya watu wasikusanyike kwa ajili ya kumuabudu.
1. Sasa swali hv Mungu anataka abudiwe au asiabudie? Hv ijumaa nayo itaswaliwa majumbani
2. Km Mungu ameleta corona kama mtihani wa kipimo je anapima nn? Na huku anajua madhara ya alichokileta?
3. Watu wakikusanyika misikitini watapata corona watakufa. Je Mungu ni muuaji?
Yani huyu Mungu kwa kweli mambo yke yanachanganya
sorry but kwenye suala la chanjo ni pure science. sidhan kama kuna religious line thats helps with lab test.We nd uthibitishe kwamba marekani hawajatumia bible au quran au imani kupata chanjo.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Historia zenu nd zimetufikisha hapa tulipo? Maan haya yenyewe tumeyapata kutokana na kuachan na historia zetu. Lakini bado tunakaa chini mashuleni. Halafu mi sitaki maisha yenu yale ya kukaa maporini. Nafurahia maflyover simu janja madawa mazuri yanayonyweka hakuna mauchawi ya ajabu ajabu maendelea chanya elimu raha 2pu yani.Mkuu kuwa kondoo ni hasara kuliko kitu chochote hapa dunia nimesoma maelezo ya jamaa yanasikitisha kwa kweli. Anajutukana hadharani kabisa eti majina yetu ya asili yanafaida gani... sasa naanza kuelewa kwann Magufuli anataka kuanzishwe somo la historia ya tanzania.. Daah inasikitisha
Katengeneza binadamu ila Mungu anakinga watu wake. Ko nyny wengine subirieni muendelee kuwa gombania goli la shetani na madhambi yote hamna haki ya kumlaumu Mungu kwa chochote kwasababu ni wakaidi. Mnataka msaidiwaje hamtaki kufuata matakwa ya wakubwa wenu na huku mnawategemea.Kwahyo corona imeletwa na Mungu au Shetani?
Kwamujibu wa hyo bible yko
Umerudi nyumbani kwako na kukuta jiwe chumbani kwako hali ya kuwa wakati unatoka halikuwepo,je inawezekana kuwa limejiweka tu lenyewe humo chumbani kwako?Simmesema kila kitu lazima kiwe na chanzo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
So inamaana huyo Mungu alizuka tu pasipo uwepo wa chanzo kilicho mfanya awepo !?? Kama kwake yeye iliwezekana hivyo yaani akawepo bila uwepo wa chanzo chake kwanini ishindwe kuwezekana hivyo katika vitu vilivyopo duniani ambavyo mnadai kwamba uwepo wake ume sababishwa na Mungu ''
Yaani Kama mkitaka teuelwane hapa kwamba kanuni ya uwepo wa vitu au kitu fulani ili kiwepo Ni lazima kiwe na chanzo Cha aliye kiweka Basi yatupasa tukubaliane hapa kwamba Mungu nayeye ana Mungu wake aliye pelekea uwepo wa Huyo Mungu wenu kuepo ... Kama Mungu Hana aliye sababisha uwepo wake na Hilo linawezekana yeye kuwepo Basi simply tu hata hivi vilivyopo duniani vinawezekana kuwepo bila kuhitaji kuwekwa na yeyote yule full stop [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yeye amewaacha mjisumbukie maan mmesema mna uwezo wa kujisumbukia. Sio kwamba anawasumbua yeye binafsi. Em jua kitu kimoja kwamba binadamu wote tungekuwa na imani corona leo hii isingekuwepo maan tunaambiwa imetengenezwa maabara. Nini tafsiri ya haya ni kuwa neno la Mungu linaishi maan vitu alivokataza duniani vinaodhihirisha. Binadamu mkaidi kaaambiwa asiue katengeneza corona inayoua sas unataka Mungu afanyeje hapo? Na wewe hutatofautiana na huyo alietengeneza kirusi maan umeambiwa nifuate ntakulinda unagoma unataka kitonga eti. Hivi Mungu aliubma uwe na ubongo ili iweje kama we unapenda kudeka hivo hutaki kujishughulisha. Ko unataka Mungu akusaidiaje sas?Hadithi zenu ni zle zile tumezchoka... kwa maelezo yko Mungu wenu ni muuaji na hana huruma...full stop!!! Yy anajua kbisa huu ugonjwa alafu anauleta ili awauwe watu kwsbb tu anataka watu wa mkumbuke... yy si mjuzi wa yote mwenye mamlaka kwnn asitumie njia nyngne ya kuwakumbusha hadi afanye mauaji.
Twende maabara zilizotengeneza chanjo kama hakuna waislamu?Kwahyo saudia itatumia chanjo za makafiri... kwann saudia km mji mtakatifu wa Allah itumie vtu vya taifa lisilomtambua Allah.[emoji3][emoji3][emoji3]
Nani ambae akiomba samaki kwa babake atapewa nyoka?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mungu hajielewi Yuko very contradict
Imani sio collective thing ni individual mzee. Yesu alipokuja duniani akaja kudhihirishia dunia wachngaji wao wakipindi hicho wananuka dhambi? Hakuna uthibitisho kuwa mchungaji ni Mtu wa Mungu. Halafu sio kila gonjwa ni spiritual eti ukadhani binadamu hatakiwi kupata tiba. Ukisoma bible vizuri utagundua kuwa mambo ya tiba yalikuwepo kama kawa. Ila Mungu alijua kuna vitu tunaeza jengana wenyewe kwa wenyewe ila imani haiwezi kujengwa na mwanadamu. Ni rahisi kumfundisha mtu kirusi kinavyofanya kazi kuliko kumuambia Mungu yuko wapi. Ko nd bible imejikita huko ambako wewe huwezi kuja kuelewa miaka 800m kwa uelewa wako kama wako.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sasa mbona Vatican kule Napo wanatumia chanjo Imekuaje mpaka watumie chanjo wakati Kuna ulinzi wa Mungu anayewalinda Kama ulinzi wanoa chanjo wao ya Nini tena !?
Ule ulikuwa mfano mdogo 2 ww . Unataka kufananisha what is element na mtihani wa magonjwa 2 kwa mfano. Yani kama mwalimu anaweza jua kabisa wewe ni kilaza akaamua kukuuliza swali makusudi akijua exactly utakuwa hujui. Pale anataka akuoneshe kuwa hujui sio unajua nn. Kuna mitihani ya aina mbili mzee kujua unaelewa nn au kukuonesha huelewi ili uombe ufundishwe. Sas kwa case yetu binadamu tumepewa mtihani wa pili utuoneshe hatujui kiasi gani ili tufundishwe ila tumekaidi ko tumeachwa na ujinga. Sasa unataka kumlaumu nan hapo?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwalimu Ni human being Hana uwezo wa yote nikuulize swali
Umeshawahi kusikia mwalimu akujinadi kuwa yeye anauwezo wa yote na nimjuzi wa yote Kama haujawahi it means kwamba mwalimu akitoa text kwaajili ya mwanafunzi/wanafunzi wake Yupo sahihi kabisa kwa sababu Hana uwezo wa yote Wala sio mjuzi wa yote ndio ili aweze kuwa na uhakika na mafundisho anayo wapatia wanafunzi wake Kama wanafunzi hao wanaelewa au la Ni lazima awapatie text
Sasa inakuwaje Tena Mungu wako mwenye ujuzi wa yote na uwezo wa yote awapime watu kwanini asitumie ujuzi wake wa yote alionao kujua tu Imani zao zilivyo
Oyaaaa mbona huyu Mungu haeleweki
Kwani we ndo uliemuumba kuku? Kwani huwezi fufua simu au pc ikifa au gari ikifa?Kwahyo hapo ndio umethibitisha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm kuthitisha... nataka ww ndio ukafanye kwa vtendo hebu chukua kuku mchinge alafu mfukie kaa baada ya wiki ukamfukue alafu uone km bdo kuna maisha baada ya kufa au lah