Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Kwahyo corona imeletwa na Mungu au Shetani?Kama wakristo tutaruhusiwa kuchangia. Bible inasema Mungu analinda watu wake ila haijasema analinda watu. Watu wa Mungu ni wapi? Bible inasema ni wale wanaoshika maneno yake wakati wote. Sas Mungu watu wake naamin bado anawalinda mpaka kesho ukitaka kishuhidia acha dhambi is as simple as that. Kumbuka sodoma na gomora Loth alimuacha mke wake akageuka jiwe la chumvi kwa sababu ya ukaidi ndo iwe watu wenye dhambi leo hii.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Braza kitu cha kwanza unamtafakari Mungu kibinadamu nd tatizo lako plus umechanganya mafundisho mengi na mengine inaonekana ni potofu zaidi. Nkuulize ki2 kimoja nature ya maswali ya mitego imetoka wapi? Je mwalimu hawezi kumjua kuwa mwanafunzi fulani ni mjinga hvo akaamua kumuuliza swali la mtego kumuonesha yule mtu kiasi gani ni mjinga na anahitaji msaada. Kwann magonjwa yamewekwa kama jaribu? Kwasbabu ugonjwa unakufanya kukumbuka kumbe wewe ni binadamu ni dhaifu. Majaribu ni mtihani kwako wewe ujue position yako sio Mungu aone position yake.Esopo tu hizo [emoji16][emoji16]
Mungu kwanini awajaribu watu wake wakati nimjuzi wa kila kitu Ina maana Hana uhakika Ni Imani ya watu wake dhidi yake' maana Kama yeye Ni mjuzi wa kila kitu Ni wazi kwamba lazima atakuwa anajua kwamba fulani na fulani Imani yao Ni ya kinafiki dhdi yangu na fulani na fulani Imani yao ni thabiti dhidi yangu '' Sifa ya kumjaribu mtu au watu Ni sifa inayotoa kiashirio kwamba yule anaye mjarubu mtu Huyo au watu hao Hana uhakika asilimia Mia kwamba watu hao au mtu Huyo anaimani ya dhati kwake au anaupendo wa dhati kwake '' Je tukisema kwamba Mungu Nikisema kwamba Mungu hajielewi nitakuwa nakosea !?? Inawezekana vipi mjuzi wa yote awapime watu wake imani huo ujuzi wake wa yote uko wapi Kama huo ujuzi anao kwanini asitumie huo ujuzi ili aweze kubaini wanao. Muamini kwa dhati na wale wasiomuani ' mpaka Aue watu kwanza tena watu wengine hawana hata hatia maana katika Hilo kundi la watu Kuna wale wanaomuamini na wasiomuani pia huwa wanakufa bila kusahau watoto wadogo .... Huyo Mungu wenu ananielewa kweli [emoji16]
Hahahaha ah sasa uliambiwa nani hayo maneno mkuu? Kua haijacha kila kitu its means hata kukueleza uchukue tahadhari si ni tayari imeshakuelekeza,?!! Muimbaji amempa mwanadamu akili na kipawa tofauti na viumbe wengine. Kutafuta na kutotafuta hilo litakuwa jukumu lake, ndiyo maana mnaowaita mabeberu wao wanatafuta hio tiba.Tunataka Qur'an itoe majibu ya chanjo na dawa za kutibu Corona full stop [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwasababu huwa mnasema Qur'an haijaacha kitu mpaka mafundisho ya kisayansi endapo Qur'an itashindwa kufanya hivyo Basi kitakuwa Ni kitabu Cha uzushi tu na hakipaswi kuaminika
Nakukumbusha kuwa hiyo nchi ya Marekani unayoitaja kuna watu wa imani tofauti sasa nakushangaa wewe kuona ajabu kwa Saudia kutumia chanjo za Marekani. Waliyotengeneza hizo chanjo hawakutengeneza kwa sababu ya imani zao au kwa kutokuwa na imani,sasa kwa kuwa wewe upeo wako mdogo unataka et Saudia watumie Qur'an kutengeneza chanjo.Ndio umeongea Nini Sasa hapa upo sawa kweli wewe upstairs
Thibitisha kwamba hiyo chanjo ya kutoka marekani imefanyiwa utafiti katika Qur'an ndio maana ikafanikiwa kupatikana
Hahahaha sasa ulitaka Quran ije na majibu yatokanayo na uvuvi wa mtu kufikiri?! Mtume peace be upon him alisema"Allah hakuteremsha ugonjwa ila aliteremsha dawa yake" so kutokana na kipawa alichopewa mwanadamu ni dhahiri anaweza tafuta hio tiba.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kumbe wanatumia chanjo ya mmarekani Mimi nilidhania kwamba wanatumia chanjo ambayo waliigundua wao wenyewe kwa kutumia mashekhe wao waliogundua dawa kutoka katika Qur'an itoshe tu kusema kwamba hizi dini Ni wizi mtupu katika nyakati Kama hizi ambazo ni nyakati ngumu kwa dunia hizi dini ndio zilipaswa kuja na majibu (suluhisho ) la matatizo yaliyopo na sio kukaa kusubiri tafiti za kisayansi ziwapatie dawa wao na waumini wao hizi dini Ni scam Ni utapeli mkubwa Sana kuwahi kutokea duniani
Hadithi zenu ni zle zile tumezchoka... kwa maelezo yko Mungu wenu ni muuaji na hana huruma...full stop!!! Yy anajua kbisa huu ugonjwa alafu anauleta ili awauwe watu kwsbb tu anataka watu wa mkumbuke... yy si mjuzi wa yote mwenye mamlaka kwnn asitumie njia nyngne ya kuwakumbusha hadi afanye mauaji.Braza kitu cha kwanza unamtafakari Mungu kibinadamu nd tatizo lako plus umechanganya mafundisho mengi na mengine inaonekana ni potofu zaidi. Nkuulize ki2 kimoja nature ya maswali ya mitego imetoka wapi? Je mwalimu hawezi kumjua kuwa mwanafunzi fulani ni mjinga hvo akaamua kumuuliza swali la mtego kumuonesha yule mtu kiasi gani ni mjinga na anahitaji msaada. Kwann magonjwa yamewekwa kama jaribu? Kwasbabu ugonjwa unakufanya kukumbuka kumbe wewe ni binadamu ni dhaifu. Majaribu ni mtihani kwako wewe ujue position yako sio Mungu aone position yake.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Kwahyo saudia itatumia chanjo za makafiri... kwann saudia km mji mtakatifu wa Allah itumie vtu vya taifa lisilomtambua Allah.[emoji3][emoji3][emoji3]Nakukumbusha kuwa hiyo nchi ya Marekani unayoitaja kuna watu wa imani tofauti sasa nakushangaa wewe kuona ajabu kwa Saudia kutumia chanjo za Marekani. Waliyotengeneza hizo chanjo hawakutengeneza kwa sababu ya imani zao au kwa kutokuwa na imani,sasa kwa kuwa wewe upeo wako mdogo unataka et Saudia watumie Qur'an kutengeneza chanjo.
Nilishakwambia kuwa dini ni maisha si kitu fulani cha kuhusu miujizaujiza .
Mkuu mitihani tunayopewa ambayo nayo sio kwamba Mungu analeta maana yale ni matokeo ya dhambi n kwamba Mungu hayazuii tena kutokana na ukaidi wetu. Nd maan mtu anaemtegemea yeye atapona na hata akifa ana nafasi yake katika maisha makuu zaidi ya ulimwengu mpya. Whats important in life than knowing your future is exactly in safe place(heaven). Mungu hajaruhusu majaribu ili aangalie nani anafaa maan tayari anatujua tangu tumboni mwa mama zetu. La! Ila niwewe mwanadamu uprove point kwa kutenda anayotaka na utakapohukumiwa usije laumu. Sas kuhusu vifo vinavotokea tunajua wazi kuwa ni matokeo ya dhambi na sio Mungu kama unavodai wewe. Sasa wewe umkane Mungu afu mtoto wako afe umlaumu Mungu wakati kauagiza umuombe umegoma ko we unajiona kama Mungu nd anakutaka sana hadi akupe usichomuomba wakati uhai wenyewe tu amekufanya uokote jalalani. Mtoto mdg akifa anakufa mara nyingi kama matokeo ya familia yenye dhambi na ile pia ni moja ya hukumu utakayokutana nayo wa kushindwa kuikabidhi familia yako kwa Mungu.Esopo tu hizo [emoji16][emoji16]
Mungu kwanini awajaribu watu wake wakati nimjuzi wa kila kitu Ina maana Hana uhakika Ni Imani ya watu wake dhidi yake' maana Kama yeye Ni mjuzi wa kila kitu Ni wazi kwamba lazima atakuwa anajua kwamba fulani na fulani Imani yao Ni ya kinafiki dhdi yangu na fulani na fulani Imani yao ni thabiti dhidi yangu '' Sifa ya kumjaribu mtu au watu Ni sifa inayotoa kiashirio kwamba yule anaye mjarubu mtu Huyo au watu hao Hana uhakika asilimia Mia kwamba watu hao au mtu Huyo anaimani ya dhati kwake au anaupendo wa dhati kwake '' Je tukisema kwamba Mungu Nikisema kwamba Mungu hajielewi nitakuwa nakosea !?? Inawezekana vipi mjuzi wa yote awapime watu wake imani huo ujuzi wake wa yote uko wapi Kama huo ujuzi anao kwanini asitumie huo ujuzi ili aweze kubaini wanao. Muamini kwa dhati na wale wasiomuani ' mpaka Aue watu kwanza tena watu wengine hawana hata hatia maana katika Hilo kundi la watu Kuna wale wanaomuamini na wasiomuani pia huwa wanakufa bila kusahau watoto wadogo .... Huyo Mungu wenu ananielewa kweli [emoji16]
Point yangu ni kwamba watu huwa hawawahoji madaktari kwa sababu wanawaamini kuwa wamesoma hivyo wanajua kila kitu na hiyo ni duniani kote si afrika hata huko kwa wazungu,hivyo ni kama waumini wa dini.Hv mkuu unasoma kwa makini nnachokiandika.. nimesema ndio ni haki yangu kuhoji!!! Sasa km ww hauoji shauri yko
Hahahaha sio mauaji kwakua at first hakumuumba mwanadamu kuwa mkaazi wa milele hapa duniani. Hapa ni mapito tu. Kifo ni njia ambayo kaiweka ili mwanadamu akaishi pale atakapo jiandalia hapa duniani. Duniani ni sehemu ya majaribio tu. Shida msio amini huwa hamna raha kwakua mkifa hamjui khatma yenuHadithi zenu ni zle zile tumezchoka... kwa maelezo yko Mungu wenu ni muuaji na hana huruma...full stop!!! Yy anajua kbisa huu ugonjwa alafu anauleta ili awauwe watu kwsbb tu anataka watu wa mkumbuke... yy si mjuzi wa yote mwenye mamlaka kwnn asitumie njia nyngne ya kuwakumbusha hadi afanye mauaji.
Ww una ushahid wakuthibitisha kwamba death is not the end?Death is not the end.
ThibithishaYeah, I have it, nawe una ushahidi kuwa kifo ndio mwisho?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mungu anataka wamuambudu... Watu wa mungu wanakutana kwenye nyumba za ibada kumubudu Mungu lkn Mungu huyo huyu tena analeta gonjwa la corona ambalo linawafanya watu wasikusanyike kwa ajili ya kumuabudu.
1. Sasa swali hv Mungu anataka abudiwe au asiabudie? Hv ijumaa nayo itaswaliwa majumbani
2. Km Mungu ameleta corona kama mtihani wa kipimo je anapima nn? Na huku anajua madhara ya alichokileta?
3. Watu wakikusanyika misikitini watapata corona watakufa. Je Mungu ni muuaji?
Yani huyu Mungu kwa kweli mambo yke yanachanganya
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sasa mbona Vatican kule Napo wanatumia chanjo Imekuaje mpaka watumie chanjo wakati Kuna ulinzi wa Mungu anayewalinda Kama ulinzi wanoa chanjo wao ya Nini tena !?Kama wakristo tutaruhusiwa kuchangia. Bible inasema Mungu analinda watu wake ila haijasema analinda watu. Watu wa Mungu ni wapi? Bible inasema ni wale wanaoshika maneno yake wakati wote. Sas Mungu watu wake naamin bado anawalinda mpaka kesho ukitaka kishuhidia acha dhambi is as simple as that. Kumbuka sodoma na gomora Loth alimuacha mke wake akageuka jiwe la chumvi kwa sababu ya ukaidi ndo iwe watu wenye dhambi leo hii.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Nitaanza na ushahidi wa akili najua maandiko hutayakubali, kwanza logical kukirudisha kitu upya ni rahisi kuliko kukiunda wakati hakikua kina exist, pili, uwepo wa mbingu, ardhi na umbaji wa viumbe ni logical lazima atakuwa yupo alieviumba na ndio yeye atakuwa na uwezo wa kuvirudisha baada ya kuvifisha.Thibithisha
Huyu hajielewi kabisa [emoji16][emoji16]Mkuu kuwa kondoo ni hasara kuliko kitu chochote hapa dunia nimesoma maelezo ya jamaa yanasikitisha kwa kweli. Anajutukana hadharani kabisa eti majina yetu ya asili yanafaida gani... sasa naanza kuelewa kwann Magufuli anataka kuanzishwe somo la historia ya tanzania.. Daah inasikitisha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwalimu Ni human being Hana uwezo wa yote nikuulize swaliBraza kitu cha kwanza unamtafakari Mungu kibinadamu nd tatizo lako plus umechanganya mafundisho mengi na mengine inaonekana ni potofu zaidi. Nkuulize ki2 kimoja nature ya maswali ya mitego imetoka wapi? Je mwalimu hawezi kumjua kuwa mwanafunzi fulani ni mjinga hvo akaamua kumuuliza swali la mtego kumuonesha yule mtu kiasi gani ni mjinga na anahitaji msaada. Kwann magonjwa yamewekwa kama jaribu? Kwasbabu ugonjwa unakufanya kukumbuka kumbe wewe ni binadamu ni dhaifu. Majaribu ni mtihani kwako wewe ujue position yako sio Mungu aone position yake.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app