Nimesema hapa kwamba Marekani ni nchi ambayo ina watu wenye imani tofauti na hizo chanjo hazijatengenezwa kwa kutumia imani zao au kwa kutokuwa na imani,hivyo hakuhusiani na masuala ya imani sasa hayo ya chanjo za makafiri sijui wewe umeyapata wapi na yanahusika vp hapa.Kwahyo saudia itatumia chanjo za makafiri... kwann saudia km mji mtakatifu wa Allah itumie vtu vya taifa lisilomtambua Allah.[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanini tiba hiyo inayotafutwa isitoke ndani ya Qur'an ambayo ndani yake' Kuna sayansi hiyo ndio hoja yangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hahahaha ah sasa uliambiwa nani hayo maneno mkuu? Kua haijacha kila kitu its means hata kukueleza uchukue tahadhari si ni tayari imeshakuelekeza,?!! Muimbaji amempa mwanadamu akili na kipawa tofauti na viumbe wengine. Kutafuta na kutotafuta hilo litakuwa jukumu lake, ndiyo maana mnaowaita mabeberu wao wanatafuta hio tiba.
Kwahyo hapo ndio umethibitisha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitaanza na ushahidi wa akili najua maandiko hutayakubali, kwanza logical kukirudisha kitu upya ni rahisi kuliko kukiunda wakati hakikua kina exist, pili, uwepo wa mbingu, ardhi na umbaji wa viumbe ni logical lazima atakuwa yupo alieviumba na ndio yeye atakuwa na uwezo wa kuvirudisha baada ya kuvifisha.
Akili iliyo salama haiwezi kukanusha kuwa uwepo wa Mungu, kwakuwa hii nidham ya kimaumbile haiwezi kuwa imekuja from no where. So lazma atakuwepo aliumba na ndie atake mrudisha mtu badala ya kufa.
Sasa niletee ushahidi kuwa tukifa ndio mwisho wa kila kitu.
Dini Ni maisha nasio kitu kinacho husu miujiza ujiza unauhakika na unacho kiongea wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nakukumbusha kuwa hiyo nchi ya Marekani unayoitaja kuna watu wa imani tofauti sasa nakushangaa wewe kuona ajabu kwa Saudia kutumia chanjo za Marekani. Waliyotengeneza hizo chanjo hawakutengeneza kwa sababu ya imani zao au kwa kutokuwa na imani,sasa kwa kuwa wewe upeo wako mdogo unataka et Saudia watumie Qur'an kutengeneza chanjo.
Nilishakwambia kuwa dini ni maisha si kitu fulani cha kuhusu miujizaujiza .
Hio wizara ya saudia ikipiga kambi Tanzania wiki moja tu, inafunga yoote!Wizara ya mambo ya kiislamu nchini Saudi Arabia,leo imeifunga misikiti mitano kwa muda kutoka mikoa mitatu tofauti baada ya kesi saba za virusi vya Corona kupatikana katika baadhi ya waumini, idadi ambayo inafikisha jumla ya misikiti iliyofungwa ndani ya siku 11 kufikia 92 ambapo 79 imeshafunguliwa baada ya kupulizwa madawa na kukamilika kwa hatua za kuhakikisha utayari wa za kiafya zipo katika hali inayotakiwa.
Chanzo: Wizara ya mambo ya kiislamu S. Arabia.
Eti nmeyapata wap [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan n nn tafsir ya mtu asiye mislam? Kwa misingi ya dini ya kiislamNimesema hapa kwamba Marekani ni nchi ambayo ina watu wenye imani tofauti na hizo chanjo hazijatengenezwa kwa kutumia imani zao au kwa kutokuwa na imani,hivyo hakuhusiani na masuala ya imani sasa hayo ya chanjo za makafiri sijui wewe umeyapata wapi na yanahusika vp hapa.
Kuna mahusiano gani kati ya Qur'an kuwa na Sayansi na tiba kutoka kwenye Qur'an? au ni kwamba kila kitu chenye sayansi ndani yake kuna tiba za magonjwa?Kwanini tiba hiyo inayotafutwa isitoke ndani ya Qur'an ambayo ndani yake' Kuna sayansi hiyo ndio hoja yangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Saudia ndio wanapaswa kutumia Qur'an kutengeneza chanjo kwa sababu ndio taifa ambalo chimbiko la mtume limetokea huko na ndio taifa ambalo Qur'an ilishushwa huko kwa mujibu wenu ... Na Qur'an inajinasibu kwamba Inazungumzia mpaka sayansi Sasa ili kutu prove wrong sisi tunaopinga kwamba Qur'an haina inachokijua kuhusu sayansi saudia walipaswa kuja na tiba au chanjo inayotokana na Qur'an hii ingesaidia Sana kutuprove wrong sisi ambao tunaoiona Qur'an na dini ya kiislam Ni uongo uongo tu lakini imekuwa kinyume chake yaani taifa linalo jinasibu kuwa Lina ardhi takatifu linasubiri chanjo toka kwa taifa ambalo limejaa kila Aina ya laana na ubabe na balaa ya kila Aina [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nakukumbusha kuwa hiyo nchi ya Marekani unayoitaja kuna watu wa imani tofauti sasa nakushangaa wewe kuona ajabu kwa Saudia kutumia chanjo za Marekani. Waliyotengeneza hizo chanjo hawakutengeneza kwa sababu ya imani zao au kwa kutokuwa na imani,sasa kwa kuwa wewe upeo wako mdogo unataka et Saudia watumie Qur'an kutengeneza chanjo.
Nilishakwambia kuwa dini ni maisha si kitu fulani cha kuhusu miujizaujiza .
Ndio nikakwambia hayo ya wasio waislamu au waliyowaislamu hayahusiani na chanjo kwa sababu waliyotengeneza hizo chanjo hawakutumia imani zao wala ukafiri wao.Eti nmeyapata wap [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan n nn tafsi ya mtu asiye mislam? Kwa misingi ya dini ya kiislam
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwahiyo huko Saudi Arabia mashekhe wenu wote Ni wavivu wa kufikiri yaani wameshindwa kabisa kutenga muda wao na kuichambua vyema Qur'an ili wapate dawa za kuiponya dunia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaha sasa ulitaka Quran ije na majibu yatokanayo na uvuvi wa mtu kufikiri?! Mtume peace be upon him alisema"Allah hakuteremsha ugonjwa ila aliteremsha dawa yake" so kutokana na kipawa alichopewa mwanadamu ni dhahiri anaweza tafuta hio tiba.
Hapo Sasa [emoji16][emoji16][emoji16]Hadithi zenu ni zle zile tumezchoka... kwa maelezo yko Mungu wenu ni muuaji na hana huruma...full stop!!! Yy anajua kbisa huu ugonjwa alafu anauleta ili awauwe watu kwsbb tu anataka watu wa mkumbuke... yy si mjuzi wa yote mwenye mamlaka kwnn asitumie njia nyngne ya kuwakumbusha hadi afanye mauaji.
Nkirejea hoja ya jamaa huko juu kwamba quran imeshindwa kutoa chanjoNdio nikakwambia hayo ya wasio waislamu au waliyowaislamu hayahusiani na chanjo kwa sababu waliyotengeneza hizo chanjo hawakutumia imani zao wala ukafiri wao.
Nimeuliza hivyo pia nimeshangaa Sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahyo saudia itatumia chanjo za makafiri... kwann saudia km mji mtakatifu wa Allah itumie vtu vya taifa lisilomtambua Allah.[emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu in short haueleweki unaongea NiniMkuu mitihani tunayopewa ambayo nayo sio kwamba Mungu analeta maana yale ni matokeo ya dhambi n kwamba Mungu hayazuii tena kutokana na ukaidi wetu. Nd maan mtu anaemtegemea yeye atapona na hata akifa ana nafasi yake katika maisha makuu zaidi ya ulimwengu mpya. Whats important in life than knowing your future is exactly in safe place(heaven). Mungu hajaruhusu majaribu ili aangalie nani anafaa maan tayari anatujua tangu tumboni mwa mama zetu. La! Ila niwewe mwanadamu uprove point kwa kutenda anayotaka na utakapohukumiwa usije laumu. Sas kuhusu vifo vinavotokea tunajua wazi kuwa ni matokeo ya dhambi na sio Mungu kama unavodai wewe. Sasa wewe umkane Mungu afu mtoto wako afe umlaumu Mungu wakati kauagiza umuombe umegoma ko we unajiona kama Mungu nd anakutaka sana hadi akupe usichomuomba wakati uhai wenyewe tu amekufanya uokote jalalani. Mtoto mdg akifa anakufa mara nyingi kama matokeo ya familia yenye dhambi na ile pia ni moja ya hukumu utakayokutana nayo wa kushindwa kuikabidhi familia yako kwa Mungu.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Quran haikuteremshwa kwa lengo hilo mkuu, Quran ni muongozo wa namna ya kuishi. Suala la kuvumbua hilo limewachwa kwa kila mtu. Ni sawa na vile mtu katengeneza kitu halafu akaandika maelezo ya namna ya kukitumia.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwahiyo huko Saudi Arabia mashekhe wenu wote Ni wavivu wa kufikiri yaani wameshindwa kabisa kutenga muda wao na kuichambua vyema Qur'an ili wapate dawa za kuiponya dunia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huwa mnakubali vipi kuongozwa na watu ambao Ni wavivu wa kufikiri
Kwanini mjuzi wa yote akujaribu ilhali anaweza kutumia huo ujuzi wake wa yote kutambua kila kitu ... Wewe hauoni hapo kuwa Huyo Mungu itakuwa hajitambuiHahahaha sio mauaji kwakua at first hakumuumba mwanadamu kuwa mkaazi wa milele hapa duniani. Hapa ni mapito tu. Kifo ni njia ambayo kaiweka ili mwanadamu akaishi pale atakapo jiandalia hapa duniani. Duniani ni sehemu ya majaribio tu. Shida msio amini huwa hamna raha kwakua mkifa hamjui khatma yenu
Then Saudia sio kuliko na masheikh pekee, nakusahihisha hilo.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwahiyo huko Saudi Arabia mashekhe wenu wote Ni wavivu wa kufikiri yaani wameshindwa kabisa kutenga muda wao na kuichambua vyema Qur'an ili wapate dawa za kuiponya dunia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huwa mnakubali vipi kuongozwa na watu ambao Ni wavivu wa kufikiri
Haujathibitisha mjomba umehubiri tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nitaanza na ushahidi wa akili najua maandiko hutayakubali, kwanza logical kukirudisha kitu upya ni rahisi kuliko kukiunda wakati hakikua kina exist, pili, uwepo wa mbingu, ardhi na umbaji wa viumbe ni logical lazima atakuwa yupo alieviumba na ndio yeye atakuwa na uwezo wa kuvirudisha baada ya kuvifisha.
Akili iliyo salama haiwezi kukanusha kuwa uwepo wa Mungu, kwakuwa hii nidham ya kimaumbile haiwezi kuwa imekuja from no where. So lazma atakuwepo aliumba na ndie atake mrudisha mtu badala ya kufa.
Sasa niletee ushahidi kuwa tukifa ndio mwisho wa kila kitu.
Huyu jamaa bwege kweli [emoji16][emoji16][emoji16]Kwahyo hapo ndio umethibitisha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm kuthitisha... nataka ww ndio ukafanye kwa vtendo hebu chukua kuku mchinge alafu mfukie kaa baada ya wiki ukamfukue alafu uone km bdo kuna maisha baada ya kufa au lah