Chinese blade JF-Expert Member Joined May 15, 2023 Posts 337 Reaction score 366 Jun 2, 2024 #81 Imeloa said: Kuamini Mungu sio lazima uwe na dini, mumekaririshwa vibaya. Dini ni biashara tu na zililetwa na wanadamu. Click to expand... Ko Mungu huyo utamuamini kupitia nini,,,,,,!!!! Kwa msaada tu, dini ni mfumo wa maisha ya mwanadamu ambao anaufuata kila siku, yawezekana akawa amepewa au amejiamria mwenyewe.
Imeloa said: Kuamini Mungu sio lazima uwe na dini, mumekaririshwa vibaya. Dini ni biashara tu na zililetwa na wanadamu. Click to expand... Ko Mungu huyo utamuamini kupitia nini,,,,,,!!!! Kwa msaada tu, dini ni mfumo wa maisha ya mwanadamu ambao anaufuata kila siku, yawezekana akawa amepewa au amejiamria mwenyewe.