Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kwa hiyo wewe unawaza mapaja tu! Wewe kijana inaonekana kwa chini ni moto sana!
Wapi wanacheza mpira? Kila mmisri au muarabu ni muislamu?
Jamaa mshamba wa wapi wewe?[emoji23][emoji23]anyefuata amri za uislamu ndio muislamu ..
Kaangalie hata africa yupo anavaa hijabu yule ni muislamu.
Uislamu ni majina😂😂anayefuata uislamu ndio muislamu...Kwani yale majina wanaayotumia wakicheza mpira hatuyaoni ni waislamu? Acha kujificha kwenye kichaka, toka hadharani mshamba wewe!
Uislamu ni majina[emoji23][emoji23]anayefuata uislamu ndio muislamu...
Uislamu ni majina[emoji23][emoji23]anayefuata uislamu ndio muislamu...
Ilo swali ungeuliza basi mapema upewa majibu sasa nikuonyesha kwamba sisi tumeruhusiwa au ?Hujajobu swali! Na ulisikia wapi dini inasema mwanaume aoe rundo la wanawake kama siyo umalaya huo?
Sasa kwa fuvu lako hilo umeona hii qoura ni ya kuaminiAcha Uongo Abdel Fattah el-Sisi, siyo Myahudi. Kwanini nyinyi watu mnapendaga kuzusha Uongo, ndivyo dini yenu imewafunza?
Ona hili bandiko
View attachment 2749460
And the truth shall set you freeAcha Uongo Abdel Fattah el-Sisi, siyo Myahudi. Kwanini nyinyi watu mnapendaga kuzusha Uongo, ndivyo dini yenu imewafunza?
Ona hili bandiko
View attachment 2749460
Nasubili wale Muslim hardliners, Islamist waje hapa! Wale waliomshinikiza Mkapa watoto wa kike wavae hijab mashuleni,na wakataka hata askari wa kike wavae hijab!#HABARI Uamuzi wa Wizara ya Elimu nchini Misri kutangaza marufuku ya kuvaa vazi la uso (Niqab) katika shule za serikali na binafsi umezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii na kushutumiwa vikali huku uamuzi huo ukitajwa kuingilia masuala binafsi.
Wengi ambao hawakubaliani na marufuku hiyo wanadai serikali haikutoa uhalali wowote na kwamba ni wachache tu wenye itikadi kali ambao wataathirika na uamuzi huo.
Uamuzi huo ulitangazwa katika gazeti la serikali la Akhbar al-Youm na unajumuisha Niqab ambalo ni vazi jeusi la kiisalmu ambalo huacha tu sehemu ya macho kuonekana na huvaliwa na wanawake wachache nchini Misri.
=====
Egypt's Ministry of Education has banned the wearing of full-face veils in public and public schools, a decision that sparked debate on Tuesday on social networks in the country's most populous Arab country.
On Monday, the government newspaper Akhbar al-Youm published the new decree on school uniforms, which bans primary and secondary school pupils from "covering their faces".
The decree states that the headscarf is "optional", depending on "the wishes of the pupil, without pressure or coercion from anyone other than the legal guardian, who must be informed of this choice".
While the majority of Egyptian women wear the headscarf, the niqab remains in the minority in this overwhelmingly Muslim country.
"People are angry because the government has given no justification, it's a tyrannical decision that invades privacy", Mohammed reacted on X (ex-Twitter).
"No one is angry except supporters of the Taliban and the Islamic State (EI)," retorted al-Masri on the same network.
Ahmed Moussa, a talk-show host and fervent supporter of Abdel Fattah al-Sissi's regime, hailed "an important first step towards destroying extremism and correcting the situation in education, which has become a hideout for Muslim Brotherhood terrorist groups".
Since Mr Sissi deposed President Mohamed Morsi - a member of the Muslim Brotherhood - in 2013, the Brotherhood, which has been declared a "terrorist" organisation, has been banned and its members and leaders have been killed in their hundreds and imprisoned in their thousands.
For Internet users, however, the problem of education in a country of 105 million inhabitants crushed by inflation and public debt lies elsewhere."Is the niqab responsible for overcrowded classrooms, dilapidated equipment and teachers' difficulties?" asked another user ironically.
At the end of 2015, Cairo University, one of Egypt's oldest and most prestigious universities, banned its female lecturers from wearing the niqab, a decision upheld in 2020 by a Cairo administrative court.
The strictest form of the Islamic veil, the niqab is generally black, revealing only the eyes through a slit.
Aiseee Ali Sisi leo kawa Muyahudi?What's the reason behind this?
Kama ni usalama labda maana Egypt matukio yao sio ya kawaida
Anwar Sadat mwaka 1981 aliuwawa na mjeda
Lakini kama ni sababu zingine za kisiasa basi ni kosa kuingilia
Al Sisi ni myahudi sasa sijui kutatokea nini
Mama yake sio.yeye lakini ukizaliwa na mama myahudi unajulikana kama myahudi a jew by birth must be born by Jewish mother
= nasubiri.Nasubiliwale Muslim hardliners, Islamist waje hapa! Wale waliomshinikiza Mkapa watoto wa kike wavae hijab mashuleni,na wakataka hata askari wa kike wavae hijab!
Kelele za Islamaphobia mbona sizisikii hapa kwa Misri?= nasubiri.
Hapa haiongelewi hijab inaongelewa niqab.
Kama huelewi niqab ni nini, ni ile uliyovaa bila kupenda wakatiwa corona. Unaikumbuka au hujaikumbuka?
Niqab unaifahamu? Au mradi uchokoze Waislam tu?Kelele za Islamaphobia mbona sizisikii hapa kwa Misri?
Niqab ni ile uliyokuwa unaivaa wakati wa corona, ukipenda usipende.Hiyo niqab ndio nini kwa tusiojua kiarabu, ila Misri ni watu wenye akili sana sijui waliingiaje kwenye uzombi wa dini, wao na Iran wako vizuri sana sema dini imewalemaza.
Hawa watu ni wanafki kwa kiwango cha kokoto.Kelele za Islamaphobia mbona sizisikii hapa kwa Misri?
Watu wepi na unafik wao ni upi?Hawa watu ni wanafki kwa kiwango cha kokoto.
Bila utapeli hiyo Dini itakufa.
Kuna siku walivunja majumba yetu kisa hijabu inataka kukatazwa, hijabu ambayo ni Sunna pia.Watu wepi na unafik wao ni upi?