covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Eeh..hiyo hapanaMakubaliano ya Kikoloni yaliwapa Egypt Haki na maamuzi ya matumizi ya maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh..hiyo hapanaMakubaliano ya Kikoloni yaliwapa Egypt Haki na maamuzi ya matumizi ya maji
Thubutuu!! Hana huo uwezo.Ndipo tutambue tunadharaulika mno, Egypt inaweza kutwanga hii EA yote.
Hana huo uwezo Wala jeuriEgypt inaona hizi nchi za ukanda huu wa EA kama pimbi tu.
Ndipo tutambue tunadharaulika mno, Egypt inaweza kutwanga hii EA yote.
Hao wahuni, na nchi zetu Afrika mashariki ni waoga.Wanataka wapitie Somalia
Mkuu wanatutwanga wale jamaa.Thubutuu!! Hana huo uwezo.
Nyie jidanganyeni.Hana huo uwezo Wala jeuri
Hana Cha kutufanyaNyie jidanganyeni.
Makubaliano ya kikoloni hayana nafasi baada ya uhuru wa Nchi zetuKisheria Egypt anawashinda maana ndio alipewa umiliki pamoja na sudan
Sio kuwashinda tu, wakikaza vichwa wanatandikwa wanaufyata..Kisheria Egypt anawashinda maana ndio alipewa umiliki pamoja na sudan
Wasitutishe, wewe maji yako kwako ndio chanzo cha maji harafu yeye apige mkwara!Mkuu wanatutwanga wale jamaa.
Egypt ni taifa kubwa kijeshi, kiuchumi hata kiteknolojia.
Hadi wamerusha satellite si mara moja, walishaingia kwenye migogoro ya kidunia huko mashariki ya kati utalinganisha na sisi.
Mafarao walikuwa wanatumia maji ya mto NileWaache ushamba, hadi leo zama za technolojia mnategemea vimaji vya mto tena unaotoka maelfu ya Kilometer.
Wanatakiwa wawe wabunifu kutafuta vyanzo vya ziada. Mbona mafarao walikuwa na akili nyingi sana
Mtapigwa muanze kuomba msaada...Wasitutishe, wewe maji yako kwako ndio chanzo cha maji harafu yeye apige mkwara!
Tutayavuruga maji hayohayo ili hasara yao iwe kubwa kuliko sisi.
Miaka zaidi ya 5000 imepita wajukuu wao hawana ubunifu mpya mzee wanalilia maji hayohayoMafarao walikuwa wanatumia maji ya mto Nile
Mbona mipaka ya nchi zetu ilichorwa na wakoloni na hatuibadilishi mpaka leo??Makubaliano ya kikoloni hayana nafasi baada ya uhuru wa Nchi zetu
Tunaibadilisha mbona? Malawi anadai Ziwa Nyasa/Malawi ni lake lakini tumekataa nk nkMbona mipaka ya nchi zetu ilichorwa na wakoloni na hatuibadilishi mpaka leo??
Na sisi tunajivunia RussiaEgypt inajivunia US!