Misri yasema haitakubali kupoteza hata mita moja ya ujazo ya maji Mto Nile, yaukataa Mkataba wa Entebbe

Misri yasema haitakubali kupoteza hata mita moja ya ujazo ya maji Mto Nile, yaukataa Mkataba wa Entebbe

Mkuu wanatutwanga wale jamaa.
Egypt ni taifa kubwa kijeshi, kiuchumi hata kiteknolojia.
Hadi wamerusha satellite si mara moja, walishaingia kwenye migogoro ya kidunia huko mashariki ya kati utalinganisha na sisi.
Acha kushoboka, hawawezi kupigana na Ethiopia Sudan Kenya Tanzania Rwanda na Uganda NEVER! Na sasa South Sudan inataka kujenga HydroDams mbili kwenye Mto Nile.

Na akisema atengeneze Proxy kwenye Nchi zetu sio kwamba Abdelfatah Sisi anapendwa na Wananchi wa Misri kwa sababu ni Dikteta na sisi tutawapiga tafu wale aliowapindua kutoka Madarakani.
 
Acha kushoboka hawawezi kupigana na Ethiopia Sudan Kenya Tanzania Rwanda na Uganda NEVER! Na sasa South Sudan inataka kujenga HydroDams mbili kwenye Mto Nile.

Na akisema atengeneze Proxy kwenye Nchi zetu sio kwamba Abdelfatah Sisi anapendwa na Wananchi wa Misri kwa sababu ni Dikteta na sisi tutawapiga tafu wale aliowapindua kutoka Madarakani.
Keshaanza kumtumia Somalia kumchokonoa Ethiopia........wakumbuke tu Ethiopia hata mzungu mwenyewe alimshindwa sembuse mwarabu, watachakazwa washangae
 
Mbona nyie hamna ubunifu wa kutumia maji ya mvua na mito iliyojaa kila kona?
Kwa nini Dar es Salaam ina shida ya maji na imezungukwa na vyanzo maji pamoja na mvua??
Tutumie maji ya mvua Kwa gharama kubwa wakati mito na maziwa yapo bwerere?
 
Acha kushoboka hawawezi kupigana na Ethiopia Sudan Kenya Tanzania Rwanda na Uganda NEVER! Na sasa South Sudan inataka kujenga HydroDams mbili kwenye Mto Nile.

Na akisema atengeneze Proxy kwenye Nchi zetu sio kwamba Abdelfatah Sisi anapendwa na Wananchi wa Misri kwa sababu ni Dikteta na sisi tutawapiga tafu wale aliowapindua kutoka Madarakani.
Umoja wetu huwa ni wa kutia mashaka, umoja wa kinafiki.
Congo hio hapo imetushinda kila mmoja na yake, hatuna kauli moja.

Sote tumeshuhudia US alivyokuwa na umoja na nchi zote za NATO na kwa pamoja kumsaidia Ukraine.

Hivyo huku hatuwezi.

Ndio maana nakuambia tutaoigwa tuchakae, siasa zetu huku ni kila mmoja kujali tumbo lake.

Gaddafi kapigwa na EU nani kaingilia ?

Hii Africa ndio maana Morocco wakitukana tunaona kubaguliwa lakini ni kweli akili hatuna.

Ndio maana Egypt inaongea kwa jeuri na kujiamini, hawajaongea kwa kauli ya kistaarabu na kukaa mezani, wametoa kauli ya dharau na kitisho...

Cause wanatufahamu.
 
Mbona nyie hamna ubunifu wa kutumia maji ya mvua na mito iliyojaa kila kona?
Kwa nini Dar es Salaam ina shida ya maji na imezungukwa na vyanzo maji pamoja na mvua??
Sisi tunashida ya kuwa na rqsilimali nyingi kuliko uwezo wa kuzifanya zitusaidie. Sisi sio mfano bora wa kuigwa.
Mfano kiongozi anasema tunamaji mengi kuliko uhitaji wa maji ya dsm. Lakini hayo maji hakuna akili ya kutufikishia. Mimi ninawalaumu wale kwa sababu naona wao ni advanced kuliko akili zetu za kisiasa huku.
 
Keshaanza kumtumia Somalia kumchokonoa Ethiopia........wakumbuke tu Ethiopia hata mzungu mwenyewe alimshindwa sembuse mwarabu, watachakazwa washangae
Amepata huo upenyo baada ya Ethiopia kununua Bandari ya Jimbo hasimu linalotaka kujitenga kutoka Somalia yaani Somaliland.

Egypt na Turkiye ndio wanampa kiburi Somalia.

So Ethiopia anaweza acha hiyo ishu akajikita kujihami na Egypt
 
Mtapigwa muanze kuomba msaada...
Egypt ni super power kikanda kwa huku Africa...

Lazima tumsikilize mkubwa, we si unaona wenzako Ukraine wanapata dhahama..
Yeye si katangaza kifo Mkuu.
Nasi tunapiga mkwara kwamba siku akiingia tu huku basi hayo maji yatakuwa na kemikali yenye kua watu na mimea kwa mwaka mzima.
Aje kwa adabu tukae mezani.
 
Umoja wetu huwa ni wa kutia mashaka, umoja wa kinafiki.
Congo hio hapo imetushinda kila mmoja na yake, hatuna kauli moja.

Sote tumeshuhudia US alivyokuwa na umoja na nchi zote za NATO na kwa pamoja kumsaidia Ukraine.

Hivyo huku hatuwezi.

Ndio maana nakuambia tutaoigwa tuchakae, siasa zetu huku ni kila mmoja kujali tumbo lake.

Gaddafi kapigwa na EU nani kaingilia ?

Hii Africa ndio maana Morocco wakitukana tunaona kubaguliwa lakini ni kweli akili hatuna.

Ndio maana Egypt inaongea kwa jeuri na kujiamini, hawajaongea kwa kauli ya kistaarabu na kukaa mezani, wametoa kauli ya dharau na kitisho...

Cause wanatufahamu.
Kaburu enzi zile alikua kaendelea kijeshi kama nchi za Ulaya ila alitulizwa na Nyerere Taifa changa kabisa,,,,......na akili hamna wenyewe na wazee wenu sio kila mtu yupo kwenye hilo kundi lenu
 
Amepata huo upenyo baada ya Ethiopia kununua Bandari ya Jimbo hasimu linalotaka kujitenga kutoka Somalia yaani Somaliland.

Egypt na Turkiye ndio wanampa kiburi Somalia.

So Ethiopia anaweza acha hiyo ishu akajikita kujihami na Egypt
Ethiopia alishasema atapata bandari kwa njia yeyote ile iwe kwa amani au kufosi ...kwahio alishajiandaa mapema
 
Hatuna huo uwezo kukabiliana na Egypt, wana missiles za masafa, Egypt yupo kwenye migogoro ya kikanda na nchi kama Israel, Syria n.k hatuwezi battle..

Tuendelee kula ugali na sukuma wiki pembeni pilipili.
Nchi 6 kwa huyo mwarabu mbona mchumba tu......Libya alimsaidia Idi Amin na akatulizwa,,,,sema imagination zenu za vita zimeathiriwa sana na muvi za Hollywood
 
Yeye si katangaza kifo Mkuu.
Nasi tunapiga mkwara kwamba siku akiingia tu huku basi hayo maji yatakuwa na kemikali yenye kua watu na mimea kwa mwaka mzima.
Aje kwa adabu tukae mezani.
Mwanza hadi Misri ni zaidi ya km 4,000, mtaanza kufa nyie mliosaini huo mkataba.
 
Ethiopia alishasema atapata bandari kwa njia yeyote ile iwe kwa amani au kufosi ...kwahio alishajiandaa mapema
Sasa baada ya hao wababe kuingia hana tena hiyo jeuri.

Yeye akomae na Djibouti,Lamu,Asmara na Somalia ila Kwa utaratibu unaokubalika Duniani sio eti kutambua Somaliland kama Nchi huru.
 
Hatuna huo uwezo kukabiliana na Egypt, wana missiles za masafa, Egypt yupo kwenye migogoro ya kikanda na nchi kama Israel, Syria n.k hatuwezi battle..

Tuendelee kula ugali na sukuma wiki pembeni pilipili.
Wewe ndio huna,maji tutatumia, Ethiopia imetumia na hakuma kitu amefanya licha ya mikwara ya kulipua bwawa.
 
Back
Top Bottom