Misri yasema haitakubali kupoteza hata mita moja ya ujazo ya maji Mto Nile, yaukataa Mkataba wa Entebbe

Misri yasema haitakubali kupoteza hata mita moja ya ujazo ya maji Mto Nile, yaukataa Mkataba wa Entebbe

Sio Nyerere pekee, nchi za Africa zilikuwa na umoja kupinga ukoloni.

Zilikuwa ni nyakati za muamsho na vuguvugu la kupinga ukoloni.

Radio ziliandaa vipindi kuhusu ukoloni, shuleni wanafunzi waliimba nyimbo kupinga makaburu, wanafunzi walifundishwa kuchukia makaburu.

Hata watunzi wa vitavu vya miaka hio waliandika tunzi kuhusu kupambana na makaburu.

Watu walikuwa wazalendo.

Hayo mambo leo hayapo, ndio maana nasema nchi zetu hizi huku EA , muarabu atatutandika vibaya sana na hadi tutaomba msamaha.

Mi naongea ukweli.
Kwa taarifa yake Egypt ni kwamba maji tunayasambaza Mikoa yote mikame na hivi punde yataingia Dodoma.

Baadae tunakuja na miradi ya irrigation atake asitake 👇👇

View: https://x.com/AnnaSarungi/status/1846463640301408392?t=yG14RE2cJu2PvSI-xRkXXg&s=19
 
Nchi 6 kwa huyo mwarabu mbona mchumba tu......Libya alimsaidia Idi Amin na akatulizwa,,,,sema imagination zenu za vita zimeathiriwa sana na muvi za Hollywood
Nchi 6 hamna hapo, battle likianza zitabaki nchi mbili moja, ndipo hapo dhahama itakushukia hadi uombe msamaha.

Africa hamna kitu.
 
Sio Nyerere pekee, nchi za Africa zilikuwa na umoja kupinga ukoloni.

Zilikuwa ni nyakati za muamsho na vuguvugu la kupinga ukoloni.

Radio ziliandaa vipindi kuhusu ukoloni, shuleni wanafunzi waliimba nyimbo kupinga makaburu, wanafunzi walifundishwa kuchukia makaburu.

Hata watunzi wa vitabu vya miaka hio waliandika tunzi kuhusu kupambana na makaburu.

Watu walikuwa wazalendo.

Hayo mambo leo hayapo, ndio maana nasema nchi zetu hizi huku EA , muarabu atatutandika vibaya sana na hadi tutaomba msamaha.

Mi naongea ukweli.
Huyo Misri aje tu ashambulie hizo nchi 6 zilizokubaliana ndo atajua kama kuna ushirikiano ama ni zilipendwa.....kwanza kuna vifaa gani ambavyo anamiliki ambavyo kwa Ethiopia ni vipya na vya ajabu,,,,na kumbuka Ethiopia ukishalianzisha anapiga kama Netanyahu hachagui pakupiga,,,kama raia wake tu mule ndani wakizingua anawapelekea moto kama ni wageni ,,hao wa nje wakija shida inaweza kua zaidi
 
Nchi 6 hamna hapo, battle likianza zitabaki nchi mbili moja, ndipo hapo dhahama itakushukia hadi uombe msamaha.

Africa hamna kitu.
Hata basi wabaki 1 to 1 unadhani Misri anaweza kufurukuta mbele ya Ethiopia ??? Hana hio historia vizazi na vizazi
 
Sio Nyerere pekee, nchi za Africa zilikuwa na umoja kupinga ukoloni.

Zilikuwa ni nyakati za muamsho na vuguvugu la kupinga ukoloni.

Radio ziliandaa vipindi kuhusu ukoloni, shuleni wanafunzi waliimba nyimbo kupinga makaburu, wanafunzi walifundishwa kuchukia makaburu.

Hata watunzi wa vitabu vya miaka hio waliandika tunzi kuhusu kupambana na makaburu.

Watu walikuwa wazalendo.

Hayo mambo leo hayapo, ndio maana nasema nchi zetu hizi huku EA , muarabu atatutandika vibaya sana na hadi tutaomba msamaha.

Mi naongea ukweli.
Hawezi kutupiga Inategemea who's our on side , al Anaweza jikuta anapigika yeye
 
Mkuu umenena vyema, wadau humu wanategemea umoja wa nchi za Africa, hali ya kuwa Sudan imewashinda, Congo imewashinda.
Hapo hakuna umoja wa nchi za Afrika kila Taifa litasimama na watu wake.....hao wamisri kama watapewa sapot na waarabu wenzao sawa,,,na pia Ethiopia kuna ambao watampa support hata ya tunguli tu kama makombora hamna
 
Huyo Misri aje tu ashambulie hizo nchi 6 zilizokubaliana ndo atajua kama kuna ushirikiano ama ni zilipendwa.....kwanza kuna vifaa gani ambavyo anamiliki ambavyo kwa Ethiopia ni vipya na vya ajabu,,,,na kumbuka Ethiopia ukishalianzisha anapiga kama Netanyahu hachagui pakupiga,,,kama raia wake tu mule ndani wakizingua anawapelekea moto kama ni wageni ,,hao wa nje wakija shida inaweza kua zaidi
Acha ujinga misri ina jeshi kubwa sana la anga mkijitia kiherehere mtachakaa. Vibaya mno.
 
Kwa taarifa yake Egypt ni kwamba maji tunayasambaza Mikoa yote mikame na hivi punde yataingia Dodoma.

Baadae tunakuja na miradi ya irrigation atake asitake 👇👇
Yeye Misri maji haya haya anafanyia Irrigation nasisi ttufanyie Irrigation yeye ana export Ngano kwanini sisi tuagize Ngano?
 
Sio Nyerere pekee, nchi za Africa zilikuwa na umoja kupinga ukoloni.

Zilikuwa ni nyakati za muamsho na vuguvugu la kupinga ukoloni.

Radio ziliandaa vipindi kuhusu ukoloni, shuleni wanafunzi waliimba nyimbo kupinga makaburu, wanafunzi walifundishwa kuchukia makaburu.

Hata watunzi wa vitabu vya miaka hio waliandika tunzi kuhusu kupambana na makaburu.

Watu walikuwa wazalendo.

Hayo mambo leo hayapo, ndio maana nasema nchi zetu hizi huku EA , muarabu atatutandika vibaya sana na hadi tutaomba msamaha.

Mi naongea ukweli.
Na kumbuka nyuma ya Ethiopia kuna harufu ya myahudi na mchina pia yupo
Screenshot_20241016-123448_Chrome.jpg
Screenshot_20241016-123420_Chrome.jpg
Screenshot_20241016-123356_Chrome.jpg
 
Acha ujinga misri ina jeshi kubwa sana la anga mkijitia kiherehere mtachakaa. Vibaya mno.
Vifaa kenya anavyo vingi kuliko nchi yeyote ukanda wa afrika mashariki ila akiingia mzigoni hata na wanamgambo tu anatolewa kamasi,,,,,,,,vita ni vifaa na discipline we jaza mavifaa kama jeshi lako mbinu linazidiwa utatoka patupu,,,,,Italy alivamia Ethiopia akiwa na vifaa na wanajeshi wa kisasa kuliko Ethiopia na akachezea kichapo
 
Huyo Misri aje tu ashambulie hizo nchi 6 zilizokubaliana ndo atajua kama kuna ushirikiano ama ni zilipendwa.....kwanza kuna vifaa gani ambavyo anamiliki ambavyo kwa Ethiopia ni vipya na vya ajabu,,,,na kumbuka Ethiopia ukishalianzisha anapiga kama Netanyahu hachagui pakupiga,,,kama raia wake tu mule ndani wakizingua anawapelekea moto kama ni wageni ,,hao wa nje wakija shida inaweza kua zaidi
Achana na Ethiopia kwanza, kwanza kabla ya kuzungumzia washirika wako kijeshi jiangalie wewe.

Huo uwezo mnao, au ndio bado siasa za matundu ya choo na maji safi.

Ethiopia haina uwezo kupambana na Egypt..

Egypt hao wana complex air defense command and control system.

Wana kiwanda kama Fakr kinazalisha silaha na missiles za masafa, anti tank n.k...

Wana developed missiles program, nyie Tanzania hata bomu la mafuta ya petrol mnatengeneza?



Wana ndege vita za kutosha kama rafale na F 16, nyie mtapeleka mikangafu yenu ya kichina ya 1960s ile inapita siku za maadhimisho😂😂

Mtapigwa mchakae...
Egypt kijeshi haina tofauti sana na nchi iliyopo nazo kikanda kama Israel, sasa jidanganye.
 
Misri hana Resources za kuleta Wanajeshi na Vifaru kwenye Pwani yetu juzi juzi amewasaidia silaha Somalia na karibia zote zimetekwa na Magaidi ya Alshababu ikiwemo Helicopter.
 
Misri hana Resources za kuleta Wanajeshi na Vifaru kwenye Pwani yetu juzi juzi amewasaidia silaha Somalia na karibia zote zimetekwa na Magaidi ya Alshababu ikiwemo Helicopter.
Anatuma missiles tu , wana program ya kutengeneza missiles za aina nyingi.
 
watajuana mimi sipo huko. nitarudi uzeeni. atakayeshinda yoyote nipo upande wake.
 
Back
Top Bottom