Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mbona sasa Dar es Salaam na kwenu Mbeya maji safi bado ni shida??Tutumie maji ya mvua Kwa gharama kubwa wakati mito na maziwa yapo bwerere?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sasa Dar es Salaam na kwenu Mbeya maji safi bado ni shida??Tutumie maji ya mvua Kwa gharama kubwa wakati mito na maziwa yapo bwerere?
Mzungu alimshindwa siyo,zama za kuporomosha mawe milimani hizi!?Keshaanza kumtumia Somalia kumchokonoa Ethiopia........wakumbuke tu Ethiopia hata mzungu mwenyewe alimshindwa sembuse mwarabu, watachakazwa washangae
Kote huko Kwa Sasa Kuna miradi ya maji mikubwa inaendelea,so ni suala la mda shida itakomaMbona sasa Dar es Salaam na kwenu Mbeya maji safi bado ni shida??
brah brah tu, story za miradi ziko tangu tunapata uhuruKote huko Kwa Sasa Kuna miradi ya maji mikubwa inaendelea,so ni suala la mda shida itakoma
Ila akatawala waarabu hadi hao wamisri na wengine kwenye hilo bara la waarabu katika zama hizohizo za kuporomosha mawe.Mzungu alimshindwa siyo,zama za kuporomosha mawe milimani hizi!?
Nyakati hizi maneno machache vitendo vinasema zaidi,,,,wakija kistaarabu wataeleweka ila wakiingia kibabe basi kwa sasa kila mtu mbabeSasa baada ya hao wababe kuingia hana tena hiyo jeuri.
Yeye akomae na Djibouti,Lamu,Asmara na Somalia ila Kwa utaratibu unaokubalika Duniani sio eti kutambua Somaliland kama Nchi huru.
brah brah tu, story za miradi ziko tangu tunapata uhuru
Ndiyo nakuuliza mzungu akienda kupiga a vita Ethiopia Leo atahitaji kupanda milima na WA Ethiopia wawaporomoshee mawe toka milimani na mzungu atashindwa!?Ila akatawala waarabu hadi hao wamisri na wengine kwenye hilo bara la waarabu katika zama hizohizo za kuporomosha mawe.
.hata utawala wa Ottoman uliporomoshwa zama hizohizo za kuporomosha mawe...... ila akamshindwa Ethiopia
Egypt akitushambulia atatuunganisha hata kwa nguvu Ethiopia tu amvayo bado iko kwenye machafuko ya wenyewe kwa wenyewe Egypt haiwezi hata kidogo.Umoja wetu huwa ni wa kutia mashaka, umoja wa kinafiki.
Congo hio hapo imetushinda kila mmoja na yake, hatuna kauli moja.
Mwarabu ni mzungu??? Tuanze hapoNdiyo nakuuliza mzungu akienda kupiga a vita Ethiopia Leo atahitaji kupanda milima na WA Ethiopia wawaporomoshee mawe toka milimani na mzungu atashindwa!?
We ni kajingajinga tu, sijui umejaza nini kichwani?!Mwarabu ni mzungu??? Tuanze hapo
Madogo wengi muvi za wazungu zinawapotosha.....wakitaka walianzishe tu na huku wataona watu walikua wanashindaje vita tokea enziEgypt akitushambulia atatuunganisha hata kwa nguvu Ethiopia tu amvayo bado iko kwenye machafuko ya wenyewe kwa wenyewe Egypt haiwezi hata kidogo.
Na Nchi za EAC tutaisaidia Ethiopia SADC wataisaidia Ethiopia.
Na Egypt haijawahi kuishinda KUSH ila KUSH imeitawala Egypt kwa miongo mingi.
Hehe karudi tena kwa mwalimu wako akufanyie programming vizuri sawaWe ni kajingajinga tu, sijui umejaza nini kichwani?!
Hapa unazungumza EAC kwani huyo Sudan mwingine aliegomea kusaini akajiunga na Misri ni Sudan yupi yule wa vurugu anaewakandamiza Sudani wa Kusini?Ethiopia, Rwanda, South Sudan, Uganda, Tanzania, and the Democratic Republic of Congo.
Come again say what?Aache ujinga, tutamtumia JEIWII akili imkae sawa!
Yule ambae wanapigana wao Kwa wao yaani Sudan jirani na EgyptHapa unazungumza EAC kwani huyo Sudan mwingine aliegomea kusaini akajiunga na Misri ni Sudan yupi yule wa vurugu anaewakandamiza Sudani wa Kusini?
Sio Nyerere pekee, nchi za Africa zilikuwa na umoja kupinga ukoloni.Kaburu enzi zile alikua kaendelea kijeshi kama nchi za Ulaya ila alitulizwa na Nyerere Taifa changa kabisa,,,,......na akili hamna wenyewe na wazee wenu sio kila mtu yupo kwenye hilo kundi lenu