Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha acha kunibania fursa weweKama utashiriki, inabidi ufute hiyo "miss" kwanza. That's cheating.
basi sawaHakuna ubaya majaji tukiwathaminisha
Hao wote uliowataja ni mabibi bomba hakuna miss hapo
bora usisitizie ... sababu mabo ya kuelelezana halafu mwisho wa siku hamana pesa aisee haita faaaMiss chagga hoja yake ya mpunga(pesa)sijaona kama imejibiwa uzuri.
Hao wote uliowataja ni mabibi bomba hakuna miss hapo
Mi nadhani kigezo kikuu kiwe mchango wa mshiriki katika shughuli za kijamiii (jamii ya JF) like;
#1. Kuchangamsha/kuburudisha jukwaa
#2. Kutoa smart comments/analysis
#3. Kusaidia kimawazo watu wenye matatizo maalum (kuachwa, kutendwa, msongo wa mawazo nk)
modality; members wote wapewe fursa ya kupiga kura then panel maalum ita screen the top 10 scorers kupata miss jf
Naomba Evelyn Salt awepi ktk category tajwa
Naomba Evelyn Salt awepi ktk category tajwa
Ahaa. Basi poa.
Mi nitajitolea rep power points kwa mshindi.
Ha ha ha yasijenikuta ya sitti mtemvu nikanyang'anywa taji lol
Mkuu pazia halijafunguliwa lakini hahaaa bado tuna brainstorm but namkubali sana
Evelyn Salt nikionaga hii ID yako huwa nasisimkwa Mwili, cjui ni kwann...au umezaliwa Tanga?Ha ha ha yasijenikuta ya sitti mtemvu nikanyang'anywa taji lol
Humu kila demu ni mrembo tu
na ana miliki usafiri mkali na Iphone S6.
Hayakukuti nakuaminia Sana Mamie me ntakupigia kura hata elf kwa siku ikiidhinishwa
Evelyn Salt nikionaga hii ID yako huwa nasisimkwa Mwili, cjui ni kwann...au umezaliwa Tanga?