Miss JamiiForums: Shindano lirudi! Ustaarabu utawale

Miss JamiiForums: Shindano lirudi! Ustaarabu utawale

Naomba kuwa mwalimu wa washiriki. Hii sehemu niko fiti. Niwafundishe jinsi ya kutembea, kuvaa, kuongea, kukaa, kutabasamu. Etc.

Upande wa wadhamini nimejitokeza sitoshindwa kumsmartisha mshindi.

Mkuu mbona hayo mambo hatutaweza kuyafanya? cha muhimu ni watu wajitokeze wajipigie kampeni.
mambo yaende.
 
Mi nadhani kigezo kikuu kiwe mchango wa mshiriki katika shughuli za kijamiii (jamii ya JF) like;
#1. Kuchangamsha/kuburudisha jukwaa

#2. Kutoa smart comments/analysis

#3. Kusaidia kimawazo watu wenye matatizo maalum (kuachwa, kutendwa, msongo wa mawazo nk)

modality; members wote wapewe fursa ya kupiga kura then panel maalum ita screen the top 10 scorers kupata miss jf

Good sana!! utaisaidia sana kamati.
 
Kwa hiyo hakuna phy appearance tutaangalia mwandiko au
 
Ujue mambo mengine bwana magumu sana....ukiangalia vigezo ambavyo huwa vinatumika kwenye hili zoezi then ukajiangalia na ulivyo mwenyewe,licha ya kwamba hawakuoni na vigezo husika haviangaliwi.....unajikuta unaona aibu kidogo kushiriki

Hahahahaaaaa mumy uko vizurii
 
Back
Top Bottom