Miss JamiiForums: Shindano lirudi! Ustaarabu utawale

Miss JamiiForums: Shindano lirudi! Ustaarabu utawale

Miss chagga nakushauri usishiriki shindano hili dada yangu naona figisufigisu zimeanza kabla hata hujachukua fomu.
 
katika ya wanahudhuria ni wanateuliwa au?
 
Mie siwezi kushiriki sina vigezo vya kuwa miss tunalea sasa mtoto wa watu huo umiss sitautendea haki
Cc Rogie
 
Last edited by a moderator:
Mie siwezi kushiriki sina vigezo vya kuwa miss tunalea sasa mtoto wa watu huo umiss sitautendea haki
Cc Rogie

hapana!! we shiriki, regardless una umri mkubwa au bonge...
kigezo cha kwanza ni uwe mwanamke!!
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu mimi sio miss bana mie ni bibi, labda mkifanya shindano la kutafuta bibi bomba ntashiriki.
Hata huo ushiriki wa miss JF uliofanyika kwanza sikuusikia wala kumfahamu, nashangaa hapa natajwa niliyeshiriki......
Jambo zuri big up.
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu mimi sio miss bana mie ni bibi, labda mkifanya shindano la kutafuta bibi bomba ntashiriki.
Hata huo ushiriki wa miss JF uliofanyika kwanza sikuusikia wala kumfahamu, nashangaa hapa natajwa niliyeshiriki......
Jambo zuri big up.

Huu umiss wa hapa niwatofauti kidogo, ni kimtandao zaidi.
Kama wewe ni Ke, unawezashiriki.
 
Last edited by a moderator:
Kwa heshima kubwa!

Ninaomba shindano la kumsaka miss Jamiiforums lirejee katika mtiririko wake!Sheria ziwekwe wazi, mambo yawe wazi! Wadhamini wawe wazi na mwisho wa siku washindi wapewe zawadi zao stahiki.

Vigezo na Masharti vikizingatiwa naamini hakuna kitakachoharibika na kama ni utaratibu wa wadhamini, wasubmit sehemu ya udhamini wao kwa Moderator kabla ya shindano kuanza utaratibu wa Poll uweke kwa wale watakaopata mapendekezo mengi zaidi.

Hili shindano lina ladha yake! Let bring it back.

CC: Arushaone,

Waliowahi kushiriki wasishiriki tena!

CC; Khantwe, Honey Faith, atoto, 'Valentina' miss chagga, cute b, Kasinde, janeth1....

Nawategemea kwenye huu mchakato.

Na wadada wengine wote!

My wife janeth1 hajawahi kushiriki labda unamaanisha Lady doctor
 
Last edited by a moderator:
Vigezo vya kuwa miss ni vipi? Hadi sisi wabibi tunashiriki? Mie takuwa muhasibu😉
 
Back
Top Bottom