Miss JamiiForums: Shindano lirudi! Ustaarabu utawale

kiwatengu mimi sio miss bana mie ni bibi, labda mkifanya shindano la kutafuta bibi bomba ntashiriki.
Hata huo ushiriki wa miss JF uliofanyika kwanza sikuusikia wala kumfahamu, nashangaa hapa natajwa niliyeshiriki......
Jambo zuri big up.

Mmmmmmmmh.....
Akat kura yangu ipo kwakoo....
Kigezo ni kuwa ke.....he he age sioo....

Wengine tunapenda wazeeee.....
 
Last edited by a moderator:
Tatizo vigezo na Masharti lazima vizingatiwe

Hata yeye ni mume wa mtu mwee

Kwani kigezo ni kuwaje? Kama ni kuvaa wigh wamekukosaaa...

Kigezo ni kuwa mke, ke......


Mimi kura yangu ipo hivi..

I'm indifference kati ya Heaven Sent na Kasinde bibikipenzi...my sugar mummy


Sasa mkuu kiwatengu nitaruhusiwa kupiga kura mbili?
 
Last edited by a moderator:
Kwani kigezo ni kuwaje? Kama ni kuvaa wigh wamekukosaaa...

Kigezo ni kuwa mke, ke......


Mimi kura yangu ipo hivi..

I'm indifference kati ya Heaven Sent na Kasinde bibikipenzi...my sugar mummy


Sasa mkuu kiwatengu nitaruhusiwa kupiga kura mbili?
Teh hamnaga kura 2, utadataje sasa
 
Last edited by a moderator:
Licheki ha haaa linawaza pesa.......


Miss u,

Shem darling upo? Unapotea sana bwana hadi nakumiss weeeeh hadi najikuta sikumiss tena!!
Yaani 99% ya huu ubongo unawaza hicho kitu aisee.
 
kiwatengu hivi mimi niliwah kushiriki kweli?
 
Last edited by a moderator:
Najitolea kuwa campaign manager wa mshirik mmojawapo pind shindano litakapoanza
 
Shem darling upo? Unapotea sana bwana hadi nakumiss weeeeh hadi najikuta sikumiss tena!!
Yaani 99% ya huu ubongo unawaza hicho kitu aisee.


Shem mwaka 2016... usiwaze pesa...


Shem ni hizi shughuli za mwisho wa mwaka.....daah si unajua sisi wauza viwaro ndio muda wa kazi huu...
 
Shem mwaka 2016... usiwaze pesa...


Shem ni hizi shughuli za mwisho wa mwaka.....daah si unajua sisi wauza viwaro ndio muda wa kazi huu...

Kaka mtumishi naomba kiwalo kimoja cha thikukuu
 
Wewe kaka mtumishi hiyo bei ndo unayouziaga golini? Ni nguo ya aina gani hiyo?

Vipi kwni kubwa saana?
Ujue mtumishi nauza zile za kumwaga chini....nzuri saana utazipenda.

Tena nimefungua bello jipyaa kutoka huko uturuki.

Karibu.
 
Vipi kwni kubwa saana?
Ujue mtumishi nauza zile za kumwaga chini....nzuri saana utazipenda.

Tena nimefungua bello jipyaa kutoka huko uturuki.

Karibu.
Aah kumbe unamwaga chini, basi ngoja tutakuja na atoto
 
Last edited by a moderator:
Kwani kigezo ni kuwaje? Kama ni kuvaa wigh wamekukosaaa...

Kigezo ni kuwa mke, ke......


Mimi kura yangu ipo hivi..

I'm indifference kati ya Heaven Sent na Kasinde bibikipenzi...my sugar mummy


Sasa mkuu kiwatengu nitaruhusiwa kupiga kura mbili?

Wewee Yerooo weewee............ Subhaiii............. upooooo

Hujamsoma kiwatengu hapo juu? Mie sitakiwi kushiriki ..........

Waliowahi kushiriki wasishiriki tena!

CC; Khantwe, Honey Faith, atoto, 'Valentina' miss chagga, cute b, Kasinde, janeth1....

Hivyo kura yako mpe Heaven Sent 100%

Halafu shindano ni la ma miss........... Kasie ni bibi bin ajuza sasa wewe ukinipigia kura halafu kura yako ikawa moja tuu halafu nikashinda nikitokea pale jukwaani na kupewa zawadi si ntatupiwa chupa na mashabiki.......!!! maana ni kizee kweli kweli japo babo nakomaa kuukeea uzee looh
 
Last edited by a moderator:
Teh kumbe wazee hatutakiwi kushiriki kasie? Basi me na wewe tujitolee tu kuburudisha live na ekotite siku ya fainali
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…