sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
kiwatengu mimi sio miss bana mie ni bibi, labda mkifanya shindano la kutafuta bibi bomba ntashiriki.
Hata huo ushiriki wa miss JF uliofanyika kwanza sikuusikia wala kumfahamu, nashangaa hapa natajwa niliyeshiriki......
Jambo zuri big up.
Mmmmmmmmh.....
Akat kura yangu ipo kwakoo....
Kigezo ni kuwa ke.....he he age sioo....
Wengine tunapenda wazeeee.....
Last edited by a moderator: