DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Usiwasikilize Hawa hat hamna jipya mm ukianzisha kupiga kura za kupika nitaandamna usiponiweka ila mamiss mm sipo kaka robert
😀😀Usiwasikilize Hawa hat hamna jipya mm ukianzisha kupiga kura za kupika nitaandamna usiponiweka ila mamiss mm sipo kaka robert
Bila tupicha picha hamna atakaye okota kura yangu.Mpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Kuna Pisi inajiita Ms R na BICHWA KOMWE umewasahauMpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Na Mimi sija cast kabisa 🤣🤣🤣😀😀Usiwasikilize Hawa hat hamna jipya mm ukianzisha kupiga kura za kupika nitaandamna usiponiweka ila mamiss mm sipo kaka robert
🤣🤣🤣Hajui huyo🤭🥴
Inshallah Mungu akipenda na iwe kheri niwahudumie chakula watu wa jf😃😃
Sifa Mojawapo ya Mwanamke mwenye mvuto lazima ajue madikodiko.
Ngoja sitakawia kuleta mpishi bora JF.
Ni muhimu kuandaa biashara yako Watu wataanza Kutoa oda.
😂😂😂Nimecheka aiseeAaliyyah
Kura yangu upo nayo!
mtibeli Robert Heriel Mtibeli
Vigezo cha kujua kupika ni kikubwa saaana. Tako hips Sura wengi wanavyo...
😂😂😂😂😂😂😂😂Nimecheka aisee
Sasa sura na Tako ndio urembo kupika watakula hotelin tu hakuna shida
😃😃😃😃mwache apitwe na gari la mshahara...
Tayari ushapata joto unataka mjegeje ukuparue.. 😹😹Li bro limoja linaitwa BICHWA KOMWE - halipo kwenye list. Lenyewe halijifichi kabisa kuwa ni li bro tofauti na lile liwinga la kariakoo Lamomy linajifanya lisister du
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli
Kapeace to ze mulaahh 😍😍😍Hii haina mjadala
Mshindi ni Kapeace
Ni meme hiyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nkamu ntakubonda ko shangazi wa tukuyu bajaza??
Hadi shangazi wa Tukuyu anatema nyongo za maparachichiKapeace to ze mulaahh 😍😍😍
Hii pisi kushinda must km kumsukuma mlevi