Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
huyo mshangazi mtoe hapo ni mwanaume huyo, hao wengine sukuma ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo mshangazi mtoe hapo ni mwanaume huyo, hao wengine sukuma ndani
Bichwa komwe awe mrembo mashuhuri wa week.Mpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
KIJANA WA KIKE UWEZ MKUTA INTERNATIONAL FORUM ANACHAMBUA AD ZA RUSSIA NA HYPERSONIC MISSILES ZA IRAN, USDANGANYKE NA MIANDKO NA WENGNE WANAUME HAPO PIA WANAJFANYA MABINTwote vijana hapo, hata miandiko yao tu inaonyesha, unajua kwa mwandiko unaweza kujua huyu mtu ni wa namna gani, sura umbo na rangi unaweza kukisia hata usipopatia ila unaweza kwa asilimia kadhaa kuwa karibu na ukweli
Oya mzazi hapa mwanangu umenikumbusha wakati Niko Chuo 😂nilichukua Namba ya demu Facebook bas Sauti yake mtoto ilikua kali kichizi oya babu siku nakutananae live nilikimbia mzeeMpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Ahsante BUSH BIN LADEN muiba picha yangu 😅😅😅😅😅Niliwahi kuangukia sehemu picha ya Bantu Lady. Kwa ile picha japo ilikuwa nusu ana deserve kuwa Miss Jf na ni bantu lady kiuhalisia.
Ahsante enzo1988 😘😘😘 kwa hapa, acha tuwaachie watoto wa 2000's. Dada zao tutawapigia kura 😄😄😄
kweli huyo ni chombo haswa na nyashi lake la uchokoziNiliwahi kuangukia sehemu picha ya Bantu Lady. Kwa ile picha japo ilikuwa nusu ana deserve kuwa Miss Jf na ni bantu lady kiuhalisia.
Mada ya kitoto kutoka kwa mtoto hakika JF imepoteza ubora aisee
Mjumbe naomba tuonane tuonaneee pale runway pub.....😀
Tuonane pale simba kapatwa pub, nna jambo na wewe.....Evelyn Salt akiwa anashangilia goli la Pacome.