buswagg
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 728
- 1,352
hawatutaki sie mashangazi eti ni wazee[emoji1]Kwani Mrembo lazima awe Binti mdogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawatutaki sie mashangazi eti ni wazee[emoji1]Kwani Mrembo lazima awe Binti mdogo?
Mi nimeshtuka na hizi habari za urembo, hata huko selfika hamna uhakika km ndo wahusika wa kwenye picha, mi kwanza ni msela flani hivi,Hivi hili shindano lipo?? Hebu acheni masihara basi .. wengine hata visogo tuu hamvijui huo urembo vipi....au ni ze wey mnasoma mwandiko wa mtu hapa Jeifu...😀😀😀😀
Hapo labda sisi wa kule selfika naweza kupiga kura
Bantu Lady
Kapeace
To yeye hao nimeshawaona japo nusu sura...ni warembo inlcuding me...😀😄😄
AAahhh hamna bana...sema ni kweli huwezi kumjua mtu simply kupitia avatar na mwandiko..Mi nimeshtuka na hizi habari za urembo, hata huko selfika hamna uhakika km ndo wahusika wa kwenye picha, mi kwanza ni msela flani hivi,
Napoishi jirani nyumba ya tatu kuna wadada 2 matomboy ukiwaona ni wanaumeee na bangi wanapuliza sasa watu wajichanganye
Msyuuuuu😙😙😙😄😄😄Mi naogopa bana 🙈🙈
Wakija uwadinye bila msalia mtume.Mi nimeshtuka na hizi habari za urembo, hata huko selfika hamna uhakika km ndo wahusika wa kwenye picha, mi kwanza ni msela flani hivi,
Napoishi jirani nyumba ya tatu kuna wadada 2 matomboy ukiwaona ni wanaumeee na bangi wanapuliza sasa watu wajichanganye
Weka picha zao,sio kuuziana mbuzi kwenye gunia.Mpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Kwa hiyo tunafanyaje sasa!Babe mshahara haujatoka🤣🤣🤣🤣🤣
Namimi nimewaona nyinyi watatu hapo mliotajwa kwenye hili shindano. Hawajakosea, ni vifaa haswa halafu akili kubwa. Kusiwe na mshindi mmoja, nitashindwa piga kura wote mnafaa 🥰Hivi hili shindano lipo?? Hebu acheni masihara basi .. wengine hata visogo tuu hamvijui huo urembo vipi....au ni ze wey mnasoma mwandiko wa mtu hapa Jeifu...😀😀😀😀
Hapo labda sisi wa kule selfika naweza kupiga kura
Bantu Lady
Kapeace
To yeye hao nimeshawaona japo nusu sura...ni warembo inlcuding me...😀😄😄
😍😍😍Chama kongwe, wakiongozwa na mjumbe weweSisi wanachama wa uzi wa selfika tayari tuna majina yetu mfukoni tulishapitisha Bantu Lady na Kapeace .
Aaliyyahvigezo vyao ni vipi? na huo urembo tunaangalia avata zao au tunawezaje kuwatofautisha? wapenda misosi tutaegemea kwa @Ailiyah
Haha japo chama kina migogoro ya ndani ila tukija nje tuna majina yetu tayari mfukoni😂😂😍😍😍Chama kongwe, wakiongozwa na mjumbe wewe
Aaaah muamala nitume kwa namba gani jina litakuja nani....papaa Eve namwaga matakrima kwa wajumbeTo yeye you have my vote shoga angu[emoji4]
sasa my vote si itaharibika guys[emoji26] cas si mmoja, wote warembo jamani, Numbisa Nifah To yeye Evelyn Salt aai, ok mmoja kati yao nampa kura, anyone
SHukrani kikiboxer 😘😘😘 kwa niaba ya mrembo wa Kagame Kapeace Tunapokea babe.Sisi wanachama wa uzi wa selfika tayari tuna majina yetu mfukoni tulishapitisha Bantu Lady na Kapeace .
Ndo maana mfuko wa shati umetuna kumbe umeingia na majinaSisi wanachama wa uzi wa selfika tayari tuna majina yetu mfukoni tulishapitisha Bantu Lady na Kapeace .