Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
I have voted for Evelyn she is among the beautiful women never seen on the planet
Nakupigiaaaa nakupigia tuongee mara moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I have voted for Evelyn she is among the beautiful women never seen on the planet
Una kijiji chako humu naona wengi wana macho kama yangu babe❤️
Wajumbe watabubujikwa machozi siku wakijua katika hiyo list wanawake ni wawili tu hapo.......
Kuna mtu anatafuta kurogwa.....hanijui mi ni naniKuna mtu amechezea mfumo Evelyn Salt ilibidi awe anaongoza
Piga haraka , wewe ni mzuri sijawahi kuona na Kura nimepiga bila tatizo,
Hahaa matokeo yakitoka tofauti lazima tugomee 😂Ndo maana mfuko wa shati umetuna kumbe umeingia na majina
Tutazichapa kama uchaguzi wa ccm yaniHahaa matokeo yakitoka tofauti lazima tugomee 😂
Kuna mmoja hivi Mshamba fulani, mpenda Sifa na Umaarufu, Godoro la Wengi, anajifanya Mtu wa Info za Ndani, Keshabanduliwa na Njemba kadhaa hapa huku akijifanya Yeye ni JamiiForums na JamiiForums ni Yeye nashangaa katika List yako hayuko.Mpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Huwa tunakutana maeneo ya jengo la posta kwa mbele kidogo karibu.Hivi kwa hizi ID fake unaweza kujua urembo wa mtu na mvuto wa mtu? Au wenzangu wana jf kuna maeneo huwa mnakutana?
4. KasieUzi ni Batili bila ya uwepo wa hawa kwenye list
1. Dada yangu Shadeeya
2. Dada yangu Angel Nylon
3. mawardat Mjukuu wa mzee Shimba ya Buyenze
Uko wapi nikufate leo nmeachiwa mwendo kasi nizurure nalo.Kuna mtu anatafuta kurogwa.....hanijui mi ni nani
Ase we mkorofiKuna mmoja hivi Mshamba fulani, mpenda Sifa na Umaarufu, Godoro la Wengi, anajifanya Mtu wa Info za Ndani, Keshabanduliwa na Njemba kadhaa hapa huku akijifanya Yeye ni JamiiForums na JamiiForums ni Yeye nashangaa katika List yako hayuko.
Hata hivyo kwa Sura yake mbaya, Kukondeana Kwake kama Fidodido, Ushamba alionao kuanzia Kwao / Alikokuwa amepanga Gongo la Mboto sijashangaa kutokuwepo na najua huko aliko Kanuna kweli kweli Kudadadeki zake.
Imeisha hiyo.
My bro Evelyn Salt tunawachabo tu, wangejua wengi hapo ni wana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wajumbe watabubujikwa machozi siku wakijua katika hiyo list wanawake ni wawili tu hapo.......
haswa anafaa kuingia kwenye hiki kinyang'anyiro