Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nipo hapa nasubiri mshindi, naweza bahatisha wa kuoa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani humu ukiwa mchangiaji sana unapewa na urembo wa chap😂😂😂
mmh mshangazi unakimbiza bwana kura 😆
Haha popoma una exclusive news?Kuna mmoja hivi Mshamba fulani, mpenda Sifa na Umaarufu, Godoro la Wengi, anajifanya Mtu wa Info za Ndani, Keshabanduliwa na Njemba kadhaa hapa huku akijifanya Yeye ni JamiiForums na JamiiForums ni Yeye nashangaa katika List yako hayuko.
Hata hivyo kwa Sura yake mbaya, Kukondeana Kwake kama Fidodido, Ushamba alionao kuanzia Kwao / Alikokuwa amepanga Gongo la Mboto sijashangaa kutokuwepo na najua huko aliko Kanuna kweli kweli Kudadadeki zake.
Imeisha hiyo.
Oya msituchanganye vichwa vyetu kubabeki😂My bro Evelyn Salt tunawachabo tu, wangejua wengi hapo ni wana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee baba naona mapema sana umeshatinga kwenye uzi, una hojaHujaweka vigezo mkuu.
Hiyo ya mwaka jana mbona mi sikuiona!, halafu mnapigaje kura urembo ikiwa picha zao hatujaziona..?Mpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Naona unanipamba pamba, sidanganyiki🤣🤣🤣Kwa hiyo tunafanyaje sasa!
Choona ilikuthibitisha hilo wadondoshe picha zao nioneMpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Achana nao mi nipo hapa nje ya nyumbani kwako nimevaa Jezi ya yanga ina alama za tano tano kwani we upo home leo au uko wapi ?Kuna mtu anatafuta kurogwa.....hanijui mi ni nani
Ni sawa japo nasikiaga Jf ina wanawake wawili tu eti. 🤣🤣Uzi ni Batili bila ya uwepo wa hawa kwenye list
1. Dada yangu Shadeeya
2. Dada yangu Angel Nylon
3. mawardat Mjukuu wa mzee Shimba ya Buyenze
Sura inajulikana kupitia muandiko...Ujinga tu sasa watu wenyewe hata sura zao azijulikani unapiga kura za nini
Hehehe tunataka kupiga kura mkuu, ila naona watu wameweka watu wao😅😅Mzee baba naona mapema sana umeshatinga kwenye uzi, una hoja
Usinipopoe shem, si nimeongea ukweli lakini 😅Shem kama Shem.....
Ongeza cocasticMpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.