Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu subiri kwanza, hoja gani unaunga shindikana🤣Naunga mkono hoja bro
Napendekeza tupige kampeni na vitaiti tu, kuna hujuma hapa za waziwazi.....Ongeza cocastic
Kuwa shindikana na Makiwendo walimwaga mbege yangu makusudi 🤣Hebu subiri kwanza, hoja gani unaunga shindikana🤣
Namba yako nimeifuta utakula huko kwa afu mbirimmh mshangazi unakimbiza bwana kura 😆
li mjomba nimekukataa nimempa mtoto wa afu mbiri
hio list ni batili bila ya kumshirikisha faiza foxMpo salama Wakuu!
Mwaka Jana FaizaFoxy aliibuka kidedea Kwa kuwa Mrembo zaidi humu JF ingawaje wengine walisema ni mwanaume Wengine wakasema ni Bibi kikongwe. Lakini yôte Kwa yôte yeye ndiye aliibuka kidedea.
Sasa Kwa Mwaka huu tutakuwa na orodha ifuatayo.
1. Midekoo
2. Palina
3. binti kiziwi
4. Kapeace
5. Mamndenyi
6. Evelyn Salt
7. loviesundy
8. To yeye
9. Kalpana
10. Numbisa.
VIGEZO
1. Hisia zako hasa (schema) yàani ubongoni mwako unahisi ni mzuri hata kama hujamwona.
2. Michango Yake inafurahisha na kukufanya uone uwèpo wake JF unakupa Raha.
3. Unahisi anatabia Njema hata kama yeye mwenyewe kiuhalisia huenda ni kichomi😊😊
Hutaki Kúpiga Kura pita kushoto.
Shindano limejaa majentromen kabisa broMy bro Evelyn Salt tunawachabo tu, wangejua wengi hapo ni wana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukitaja tu jina langu weka na namba ya muamala na useme jina litakuja naniiiii.....sina maneno mengi nitakupigaaaa 😀Evelyn Salt uko wapi??
ra-haulah[emoji50]Kuna mmoja hivi Mshamba fulani, mpenda Sifa na Umaarufu, Godoro la Wengi, anajifanya Mtu wa Info za Ndani, Keshabanduliwa na Njemba kadhaa hapa huku akijifanya Yeye ni JamiiForums na JamiiForums ni Yeye nashangaa katika List yako hayuko.
Hata hivyo kwa Sura yake mbaya, Kukondeana Kwake kama Fidodido, Ushamba alionao kuanzia Kwao / Alikokuwa amepanga Gongo la Mboto sijashangaa kutokuwepo na najua huko aliko Kanuna kweli kweli Kudadadeki zake.
Imeisha hiyo.
Huyu Mtibeli ameamua asiniweke roho mbaya tu babe.
Namba yako nimeifuta utakula huko kwa afu mbiri
Uzi umeshakuwa batili huu haufai wifeHuyu Mtibeli ameamua asiniweke roho mbaya tu babe.
Kabisa ni batili hubby❣️Uzi umeshakuwa batili huu haufai wife
Oi oi popoma taratibuKuna mmoja hivi Mshamba fulani, mpenda Sifa na Umaarufu, Godoro la Wengi, anajifanya Mtu wa Info za Ndani, Keshabanduliwa na Njemba kadhaa hapa huku akijifanya Yeye ni JamiiForums na JamiiForums ni Yeye nashangaa katika List yako hayuko.
Hata hivyo kwa Sura yake mbaya, Kukondeana Kwake kama Fidodido, Ushamba alionao kuanzia Kwao / Alikokuwa amepanga Gongo la Mboto sijashangaa kutokuwepo na najua huko aliko Kanuna kweli kweli Kudadadeki zake.
Imeisha hiyo.
HahahahaKuna mmoja hivi Mshamba fulani, mpenda Sifa na Umaarufu, Godoro la Wengi, anajifanya Mtu wa Info za Ndani, Keshabanduliwa na Njemba kadhaa hapa huku akijifanya Yeye ni JamiiForums na JamiiForums ni Yeye nashangaa katika List yako hayuko.
Hata hivyo kwa Sura yake mbaya, Kukondeana Kwake kama Fidodido, Ushamba alionao kuanzia Kwao / Alikokuwa amepanga Gongo la Mboto sijashangaa kutokuwepo na najua huko aliko Kanuna kweli kweli Kudadadeki zake.
Imeisha hiyo.

Mpaka sasa mtu mbabe ndo anaongoza ety 😂😂😂😂