Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

ndio nilishawai ila mahusiano yalivunjika baada ya siku mbili.
changamoto kubwa ilikuwa ni kiserengeti kilikuwa na wivu sana,kinataka tuchati kila saa.kinione kila saa yaani hatulii. pia nilikuwa sijibu sms zake maana nilikuwa sizielewi ,maneno kama bae? lmfao,xaxa,coco . hadi niombe kutafsiriwa akaona kama namchunia namdharau .tukashindwana tu.ila alikuwa ananipenda sana just imagine alikuwa anataka ndoa tu kwangu


nimecheka had mafua yamekuja jaman espy njoo huku uwiiiii !jaman kudate na le serengeti kwanza inahitaj upako mtakatifu heheheheheheheh
 
ndio nilishawai ila mahusiano yalivunjika baada ya siku mbili.
changamoto kubwa ilikuwa ni kiserengeti kilikuwa na wivu sana,kinataka tuchati kila saa.kinione kila saa yaani hatulii. pia nilikuwa sijibu sms zake maana nilikuwa sizielewi ,maneno kama bae? lmfao,xaxa,coco . hadi niombe kutafsiriwa akaona kama namchunia namdharau .tukashindwana tu.ila alikuwa ananipenda sana just imagine alikuwa anataka ndoa tu kwangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ndio nilishawai ila mahusiano yalivunjika baada ya siku mbili.
changamoto kubwa ilikuwa ni kiserengeti kilikuwa na wivu sana,kinataka tuchati kila saa.kinione kila saa yaani hatulii. pia nilikuwa sijibu sms zake maana nilikuwa sizielewi ,maneno kama bae? lmfao,xaxa,coco . hadi niombe kutafsiriwa akaona kama namchunia namdharau .tukashindwana tu.ila alikuwa ananipenda sana just imagine alikuwa anataka ndoa tu kwangu
hehehe mwaya bahati haziji mara mbili ndoa hio bibie ukaikosa hivi hivi....follow ua heart bt take ua brains with u
 
uliza tu mpendwa
Umejieleza about ur age, nikaona kama upo katikati ki umri na uliisha-"date" kwa sana.
Swali: Kati ya uliodate nao na walioko kitaa, wanaokutamani wenye kuonesha nia ya dhati, hakuna hata mmoja uliyempima na kuona kuwa kweli ana nia ya dhati kabisa ya kuweza kujenga familia na wewe, "l mean marriage"?
Swali la pili linakuja ivii?
Ni "age" gani "maximum" ya mwanaume unayeona anafaa kuwa mmeo, ukiachana na sifa zingine?
Ukinibu haya, ndiyo nitakomentia majibu yako hayo.
 
Umejieleza about ur age, nikaona kama upo katikati ki umri na uliisha-"date" kwa sana.
Swali: Kati ya uliodate nao na walioko kitaa, wanaokutamani wenye kuonesha nia ya dhati, hakuna hata mmoja uliyempima na kuona kuwa kweli ana nia ya dhati kabisa ya kuweza kujenga familia na wewe, "l mean marriage"?
Swali la pili linakuja ivii?
Ni "age" gani "maximum" ya mwanaume unayeona anafaa kuwa mmeo, ukiachana na sifa zingine?
Ukinibu haya, ndiyo nitakomentia majibu yako hayo.
sijawai kudate sana mkuu .mahusiano yangu hayazidi matatu
natamani mwanaume yoyote like miaka 40-55 hivi hawa vijana sitaki .kusumbuana tu
 
ndio nilishawai ila mahusiano yalivunjika baada ya siku mbili.
changamoto kubwa ilikuwa ni kiserengeti kilikuwa na wivu sana,kinataka tuchati kila saa.kinione kila saa yaani hatulii. pia nilikuwa sijibu sms zake maana nilikuwa sizielewi ,maneno kama bae? lmfao,xaxa,coco . hadi niombe kutafsiriwa akaona kama namchunia namdharau .tukashindwana tu.ila alikuwa ananipenda sana just imagine alikuwa anataka ndoa tu kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ndio nilishawai ila mahusiano yalivunjika baada ya siku mbili.
changamoto kubwa ilikuwa ni kiserengeti kilikuwa na wivu sana,kinataka tuchati kila saa.kinione kila saa yaani hatulii. pia nilikuwa sijibu sms zake maana nilikuwa sizielewi ,maneno kama bae? lmfao,xaxa,coco . hadi niombe kutafsiriwa akaona kama namchunia namdharau .tukashindwana tu.ila alikuwa ananipenda sana just imagine alikuwa anataka ndoa tu kwangu

Asante kwa majibu mazuri je mlikuwa na tofauti ya umri gani?ushawahi au una tumia sigara,shisha or weed na ulianza kutumia kwa kupenda mwenyewe au kwa ushawishi wa mpenzi au marafiki?
 
Back
Top Bottom