namjua vizuri sitti alikua mwanafunzi gift and talented darasani ndio maana alikua anarushwa madarasa ni msichana mwerevu sana ndio maana sikushangaa alipochaguliwa kua tanzania one woman alistahili
Nadhani wabongo tunaongoza kwa uvumi,mie nina ushahidi huyo binti hajafikisha miaka mnayodai.nimemuona binti akiwa mchangq,na hata alivyoenda Us alikuwa kinda 17 or 18.tunashindwa kutofautisha,binti kasoma ktk mazingura yapi nchi ipi?vilevile tuelewe siku hizi beauty and brains ndiyo mpango mzima
namjua vizuri sitti alikua mwanafunzi gift and talented darasani ndio maana alikua anarushwa madarasa ni msichana mwerevu sana ndio maana sikushangaa alipochaguliwa kua tanzania one woman alistahili
Huoni kama huyu binti anakua bullied.?
Sina mda wa kureport abuse.
Tunarepot abuse kwa vichaa. Hawa wanaomuandama huyu dada wote wana akili timamu.
Nadhani wabongo tunaongoza kwa uvumi,mie nina ushahidi huyo binti hajafikisha miaka mnayodai.nimemuona binti akiwa mchangq,na hata alivyoenda Us alikuwa kinda 17 or 18.tunashindwa kutofautisha,binti kasoma ktk mazingura yapi nchi ipi?vilevile tuelewe siku hizi beauty and brains ndiyo mpango mzima
Nachoshindwa kuelewa mimi....hivi kwani Ms. Tanzania ni big deal kiasi hicho mpaka uongope kama inavyodaiwa huyo binti alivyofanya?
Halafu, kama kweli kadanganya umri wake pamoja na hayo mambo mengine basi atakuwa ni bonge moja la mjinga.
Bonge moja la mjinga kwa sababu, katika dunia ya leo ya utandawazi huu, kuna mambo na mambo ambayo huwezi ukadanganya hususan mbele ya umma.
Sasa wewe mtu uko kwenye social media huko, halafu unaenda kwenye national stage na kuongopa taarifa zako mwenyewe, unategemea kweli watu hawatajua kuwa unaongopa?
Binafsi sifuatilii kabisa haya mambo ya mamiss lakini kama hizi habari kumhusu huyu binti ni za kweli basi akili yake itakuwa na hitilafu sehemu fulani.
Na nani anataka kuwakilishwa na mtu zuzu kama huyu?
Hili saga lina kila dalili ya kuja kuwa bonge la kashfa.
What is BEING bullied,.?
Yes, she is being bullied.
Why did you not send ur dada who qualified the age CATEGORY.
TO CONTEST.
mwisho wa siku wote hapa mwaonekana wanafki.
Sitti Abas Mtemvu(Mtoto wa Mwana CCM) + Abas Mtemvu (Mbunge Temeke kupitia CCM) = CCM
Hivi umri wa kushiriki umiss maximum ni miaka mingapi?
Hivi umri wa kushiriki umiss maximum ni miaka mingapi?
Nachoshindwa kuelewa mimi....hivi kwani Ms. Tanzania ni big deal kiasi hicho mpaka uongope kama inavyodaiwa huyo binti alivyofanya?
Halafu, kama kweli kadanganya umri wake pamoja na hayo mambo mengine basi atakuwa ni bonge moja la mjinga.
Bonge moja la mjinga kwa sababu, katika dunia ya leo ya utandawazi huu, kuna mambo na mambo ambayo huwezi ukadanganya hususan mbele ya umma.
Sasa wewe mtu uko kwenye social media huko, halafu unaenda kwenye national stage na kuongopa taarifa zako mwenyewe, unategemea kweli watu hawatajua kuwa unaongopa?
Binafsi sifuatilii kabisa haya mambo ya mamiss lakini kama hizi habari kumhusu huyu binti ni za kweli basi akili yake itakuwa na hitilafu sehemu fulani.
Na nani anataka kuwakilishwa na mtu zuzu kama huyu?
Hili saga lina kila dalili ya kuja kuwa bonge la kashfa.
Nadhani wabongo tunaongoza kwa uvumi,mie nina ushahidi huyo binti hajafikisha miaka mnayodai.nimemuona binti akiwa mchangq,na hata alivyoenda Us alikuwa kinda 17 or 18.tunashindwa kutofautisha,binti kasoma ktk mazingura yapi nchi ipi?vilevile tuelewe siku hizi beauty and brains ndiyo mpango mzima
namjua vizuri sitti alikua mwanafunzi gift and talented darasani ndio maana alikua anarushwa madarasa ni msichana mwerevu sana ndio maana sikushangaa alipochaguliwa kua tanzania one woman alistahili
Hivi umri wa kushiriki umiss maximum ni miaka mingapi?
Lundenga kaombe msamaha wote uliowadhulumu. Hii ni laana na malipo ya uhuni wote uliofanya ukidhani wewe ndio unaijua zaidi Dar es salaam.
Shindano limekufia mkononi rasmi ukitazama kwa macho yako.