Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

namjua vizuri sitti alikua mwanafunzi gift and talented darasani ndio maana alikua anarushwa madarasa ni msichana mwerevu sana ndio maana sikushangaa alipochaguliwa kua tanzania one woman alistahili

Kuanzia mkiwa darasa la ngapi aluanza kuruashwa darasa?

Je hamuoni kuwa vitambulishobna miaka iliyoandikwa au?

Haya sema shule gani, alirushwa mkiwa darasa la ngapi etc

Wengi wamesoma bongo akili za A nyingi mbona hawadai kurushwa wote
 
Namsifu Huyu miss Kwa kudanganya halaiki. Kwani Tz nini hakiendi kiujanja ujanja
 
Nimegundua kuna watu mnaingia kwenye huu mjadala bila kusoma au kujua kinacho jadiliwa!

Unasema una ushahidi lakini haujauweka lakini wenzio wenye ushahidi wame uweka hadharani!

Mwanzo Mwasiti ilisemekana ana miaka 18 na ana Masters!

Kamati ya Miss Tanzania imesema Mwasiti ana miaka 23 na amezaliwa 1993 na hana Masters!

Ushahidi unaonesha amezaliwa 1989!

Weka ushahidi kupinga ushahidi wa wenzio!

mkuu safi sana kubwabwaja bila ushaidi siyo vizuri
 

Attachments

  • 1413481475399.jpg
    1413481475399.jpg
    56.2 KB · Views: 436
namjua vizuri sitti alikua mwanafunzi gift and talented darasani ndio maana alikua anarushwa madarasa ni msichana mwerevu sana ndio maana sikushangaa alipochaguliwa kua tanzania one woman alistahili

Bado hujaonesha una simama sehemu gani hasa kwenye swala la umri!

Kurushwa madarasa linaweza lisiwe swala la msingi labda ujaribu kuonesha alirushwa vipi na alirusha hadi level gani na sasa ana elimu gani!

Mwasiti ana miaka mingapi kati ya hii kama unamjua vyema na Una pinga ushahidi ulio tolewa hapa?

Miaka 18?
Miaka 23?
Miaka 25?
Naomba utupigie mahesabu ukionesha jinsi alivyo rushwa darasa!
 
Nadhani wabongo tunaongoza kwa uvumi,mie nina ushahidi huyo binti hajafikisha miaka mnayodai.nimemuona binti akiwa mchangq,na hata alivyoenda Us alikuwa kinda 17 or 18.tunashindwa kutofautisha,binti kasoma ktk mazingura yapi nchi ipi?vilevile tuelewe siku hizi beauty and brains ndiyo mpango mzima

Kwa hiyo alifoji passport na driving licence?
 
Kuanzia mkiwa darasa la ngapi aluanza kuruashwa darasa?

Je hamuoni kuwa vitambulishobna miaka iliyoandikwa au?

Haya sema shule gani, alirushwa mkiwa darasa la ngapi etc

Wengi wamesoma bongo akili za A nyingi mbona hawadai kurushwa wote

majibu yako yatakuja kupatikana kwenye thread ninayoifungua soon
 
Ukiona kila mtu analalamika ujue kuna jambo, huyu hakustahili kabisa kuwa Miss Tanzania, aliyestahili ni yule dada aliyejibu swali la family planning alikuwa wa mwisho kujibu kuulizwa na kujibu maswali.

hata mi nlihisi hvyo kwa uzoefu wangu wa mamiss hawa walijibu vizuri
nancy sumari
richa adhia
genevive
salha israel
brigite
 
Hivi umri wa kushiriki umiss maximum ni miaka mingapi?

mpka mwaka 2013 miss world.
THE ENTRANT MUST NOT BE 25 YEARS OLD BEFORE THEIR NATIONAL PAGEANT.SHE MUST BE 24 YEARS OLD BEFORE HER NATIONAL PAGEANT AND MUST NOT EXCEED 25 YEARS OF AGE BEFORE THE MISS WORLD BEAUTY PAGEANT IS HELD....BUT THERE ARE EXCEPTIONS, IF THE ENTRANT BIRTHDAY IS AFTER HER NATIONAL PAEANT BUT SHE IS STILL 25 THEN YES SHE CAN ENTER.
 
Kwanini humuwaiti dada na wadogo zenu kushiriki ktk mashindano haya.
Wana vigezo mnawaficha.

Binti wa watu kajitokeza, mwaanza maneno.
Ivi ufake ktk TZ ndo unaanza leo.
Everbody is fake somwhre /somehw.
Au mlikua na mtu wenu wa kushinda.

Wengine kwetu vidume tupu.Ndio sasa watu tumeamka sasa kuumaliza ufeki wowote.Watu hawana shida na ushindi shida kudanganya umri wake.
 
Back
Top Bottom