Miss Tanzania aliyehojiwa Mkasini jana

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
kwani miss Tanganyika si ni yule bibi bomba,sasa mbona Jana kahojiwa mwingine na amesema a naenda,Miss world?

kwani Sitti wamempora chance?
sikuangalia sana kipindi kwani lugha aliyokua anaongea Nina aleji nayo!

mwenye ufahamu wa hili anijuze
 
Huyo ni happiness watimanywa, ndio anawakilisha miss world mwaka huu though alishinda taji la miss TZ mwaka jana. Bibi bomba yeye kutuwakilisha miss world ni mwaka kesho November, Ila hataenda kutuwakilisha mwaka huu tu ana miaka 25, mwaka kesho atakuwa na miaka 26 ni kitu kusichowezekana kabisa
 

kumbe wa mwaka Jana anawakilisha mwaka huu

hivi haya mashindano yamepoteza mvuto kwangu tu,ama?
 
mpaka salama aka chomekea kithungu icho umekitolewa wapi dammh usistarduh ni kazi ya ajabu vibaya mno yani mmmh jana ile na angalia mkasi kiswa ngilishi kile ajipange aiseh. kwaiyo kisa baba ni mgiriki ndo atuongele mixture tape namna ile mmh.
 
alisema they speak english at home wakiongea kiswahili labda na mama tu
 
Nilimpenda,she is so bright anajua nini anafanya na aongee nini...jana Salama na ujanja wake wote uligoma kwa yule mrembo maana alimuuliza maswali ya mitego kama kawaida yake lakini yeye akajibu anachokijua tu!
Ana documentary yake ya kitabu nimeipenda...akijitahidi anaweza kutuwakilisha vyema kama/zaidi ya Nancy Sumari
 
kumbe wa mwaka Jana anawakilisha mwaka huu

hivi haya mashindano yamepoteza mvuto kwangu tu,ama?

Miss world walibadilisha ratiba baada ya washiriki kulalamika kua wanakosa muda wa kujiandaa...kwa hiyo mshindi wa miss tz anakaa mwaka mzima ndio aende miss world..
Yamekosa mvuto kweli na sasa naona yatakufa kabisa kama Sitti asipovua/kuvuliwa taji...
 

Huyo dada niliwahi kumuona zamani kwenye kipindi cha skonga, yuko vizuri mno upstairs.
Dah ila jana tanesco kama kawaida wakafanya yao......jamani mweeeh!!! Ndo nikapitwa hivo sikuiona interview yake
 
Huyo dada niliwahi kumuona zamani kwenye kipindi cha skonga, yuko vizuri mno upstairs.
Dah ila jana tanesco kama kawaida wakafanya yao......jamani mweeeh!!! Ndo nikapitwa hivo sikuiona interview yake

bora hukuona tu. Anaongea VIBAYA. ALINIKERA SANA.

SIJUI KWANINI KUNA BAADHI YA WATU WANDHANI NI UJANJA, KU ACT HAWAJUI KISWAHIL.
 
Kuna mda salama mwenyewe aliblow alitamka presarviour km sikosei
kkaaah kiingereza cha jana bwana shikamoo
 
Huyo dada niliwahi kumuona zamani kwenye kipindi cha skonga, yuko vizuri mno upstairs.
Dah ila jana tanesco kama kawaida wakafanya yao......jamani mweeeh!!! Ndo nikapitwa hivo sikuiona interview yake

Hebu jaribu kuangalia mida hii hua wanarudia...
 
Hii bongo kuwa celeb fasta tu. Sitti kick moja tu maarufu kila kona.
 
bora hukuona tu. Anaongea VIBAYA. ALINIKERA SANA.

SIJUI KWANINI KUNA BAADHI YA WATU WANDHANI NI UJANJA, KU ACT HAWAJUI KISWAHIL.

Lakini wengine huwa ni mazoea tu japokuwa nakubali wengine huwa wanaAct.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…