Mkuu. kuna muingiliano mkubwa sana wa majina kati ya waganda, wanyarwanda na wahaya. mfano watu wa kabila la kalinjin uganda, watutsi wa rwanda na wanyambo wa bukoba wanafanana kuanzia sura, maumbo na majina, Hilo jina la kamazima hata rwanda lipo.. Nawajua sana hawa watu.
We mpuuzi unajifanya unajua sana. Nani kakuambia kuna wanyambo Wa Bukoba?
Mkuu R.B, hili haliwezi kuwepo, Generali Pascal Kamazima, ametumia jeshi letu maisha yake yote!, kama issue ni uasili, hiyo sio issue kabisa kwa sababu kwa mujibu wa sheria yetu ya uraia, watu wote walikuwa ndani ya ardhi ya Tanganyika kuanzia saa 6:00 usiku wa Dec, 1961, watahesabika ni raia halali wa Tanganyika huru, regarless asili zao!.
Tukianza na chimba chimba za nani alitoka wapi na asili yake ni wapi, mtakuja kukuta Watanzania Halisi ni Wasukuma na Wagogo na makabila mengine machache!.
Tkianzia na Mkombozi wetu, inasemekani huyu baba yake ambaye ni Chifu, alitoka Rwanda, uchifu wakati ule ukitolewa kwa mwenye ng'ombe wengi!, bila kuuliza alikotoka!.
Tukija kwa yule wa Zanzibar, alitokea Malawi, na wanae wote wamesomea kwa babu yao tangu shele ya msingi!.
Hata "Che Nka!", kwanza hilo jina ni la kikeni!, na alikuja nchini akiwa na miaka 6 huku akitembea mwenyewe kwa miguu yake miwili!.
Wangoni wanajulikana walikotoka, wakiongozwa na Zongendamba!. Wamasai na Wachaga wanajulikana walikotoka!. Wahaya na Wahangaza wanajulikana fika ni sehemu ya dola ya Bunyoro!. Musoma karibu wote wametokea kule!. Kigoma karibu wote wametokea kule!.
Wanyasa ni jina tuu, kiukweli ni Wamalawi!. Wamakonde hakuna siri wote wanatoka "nchumbiji!.
Tusifikishane huko tukaanza kunyoosheane vidole kila mmoja arudi kwenye asili yake!.
Pasco
Mi nadhani Tz ni nchi mojawapo ambayo wananchi wake ni wapika MAJUNGU sana halafu WAVIVUWanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda.
Uchunguzi uanze upya
Kweli kabisa.. ni vigumu sana kuwatofautisha wahaya wa karagwe na wanyarwanda. wanafanana sana.
Rwanda ina mamiss wawili sasa. Miss Rwanda na Miss Tanzania.
Wekeni picha ya lilian tumtathimin
Bukoba Karagwe kumejaa wanyarwanda wanajifanya wahaya... huyu ni mmojawapo
Ha ha ha hao walionekana ni hasara kuwapeleka sokoni
na bagamoyo ni masalia ya watumwa dhaifu walioshinwdwa kuendelea na msafara!! ha ha ha ha!
Wanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda.
Uchunguzi uanze upya
Wanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda.
Uchunguzi uanze upya
hahahaha.. Wanyambo ni wa wapi?