Miss Tanzania namba 2 (Lilian Kamazima) ''ana tatizo la uraia''

Miss Tanzania namba 2 (Lilian Kamazima) ''ana tatizo la uraia''

Mkuu. kuna muingiliano mkubwa sana wa majina kati ya waganda, wanyarwanda na wahaya. mfano watu wa kabila la kalinjin uganda, watutsi wa rwanda na wanyambo wa bukoba wanafanana kuanzia sura, maumbo na majina, Hilo jina la kamazima hata rwanda lipo.. Nawajua sana hawa watu.

We mpuuzi unajifanya unajua sana. Nani kakuambia kuna wanyambo Wa Bukoba?
 
Mkuu R.B, hili haliwezi kuwepo, Generali Pascal Kamazima, ametumia jeshi letu maisha yake yote!, kama issue ni uasili, hiyo sio issue kabisa kwa sababu kwa mujibu wa sheria yetu ya uraia, watu wote walikuwa ndani ya ardhi ya Tanganyika kuanzia saa 6:00 usiku wa Dec, 1961, watahesabika ni raia halali wa Tanganyika huru, regarless asili zao!.

Tukianza na chimba chimba za nani alitoka wapi na asili yake ni wapi, mtakuja kukuta Watanzania Halisi ni Wasukuma na Wagogo na makabila mengine machache!.

Tkianzia na Mkombozi wetu, inasemekani huyu baba yake ambaye ni Chifu, alitoka Rwanda, uchifu wakati ule ukitolewa kwa mwenye ng'ombe wengi!, bila kuuliza alikotoka!.

Tukija kwa yule wa Zanzibar, alitokea Malawi, na wanae wote wamesomea kwa babu yao tangu shele ya msingi!.

Hata "Che Nka!", kwanza hilo jina ni la kikeni!, na alikuja nchini akiwa na miaka 6 huku akitembea mwenyewe kwa miguu yake miwili!.

Wangoni wanajulikana walikotoka, wakiongozwa na Zongendamba!. Wamasai na Wachaga wanajulikana walikotoka!. Wahaya na Wahangaza wanajulikana fika ni sehemu ya dola ya Bunyoro!. Musoma karibu wote wametokea kule!. Kigoma karibu wote wametokea kule!.

Wanyasa ni jina tuu, kiukweli ni Wamalawi!. Wamakonde hakuna siri wote wanatoka "nchumbiji!.

Tusifikishane huko tukaanza kunyoosheane vidole kila mmoja arudi kwenye asili yake!.

Pasco

Musoma unamaanisha wilaya? Kama ni makabila ya mkoa wa Mara asili zao za aina 2 wapo walioyoka Ethiopia na Sudan kama wakurya, waikoma, wanata, wajaruo, wazanaki nk, wapo waliotoka Kameroon wanasili moja na wanyamkole hawa ni wajita, waruli nk.
 
Wanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda.

Uchunguzi uanze upya
Mi nadhani Tz ni nchi mojawapo ambayo wananchi wake ni wapika MAJUNGU sana halafu WAVIVU
 
Chineke sasa ninaamini mbali na sitti kuwa kikongwe kuna watu walitumwa kuvuruga hadi Jihan apite. Acheni kutuvuruga
 
Kweli kabisa.. ni vigumu sana kuwatofautisha wahaya wa karagwe na wanyarwanda. wanafanana sana.

Yaani wewe ni juha kabisa unajiandikia ujinga wako na unataka na sisi tukubaliane nao! Sikujua na jadili na mtu was aina gani. Karagwe kuna Wahaya na wanafanana na Wanyarwanda?? Mnafunzwa historia na wajinga gani?!
 
Wanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda.

Uchunguzi uanze upya

Kikwete mwenyewe mrundi na juzi kawapa warundi wenzie uraia mbona hamsemi acheni ukuda.
 
Wanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda.

Uchunguzi uanze upya

Mimi nimeanza kuchoka
 
Back
Top Bottom