Miss World na uhalisia, Kamati ya miss Tanzania wanacho cha kujifunza?

Miss World na uhalisia, Kamati ya miss Tanzania wanacho cha kujifunza?

kule walitiririka kwasababu alilike comment ya mbuta nanga kwasababu mbuta alikua na bifu na mange.lakini hatujui kama ni kweli.huenda ni chuki binafsi.ukitofautiana tu na mange anakuandika mule na wale wachangiaji wanatiririka which to me is so awkward.

Kuhusu nyumba chafu ni kweli nimeona Instagram picha zake. Nyumba haina hadhi ya miss, mindoo ya maji michafu, viti ni old school.
 
mi labda niko tofauti...mbona kama sioni wanachofanya?...labda hoyce kidogo lakini wengine sijajua nahitaji kueleweshwa.
inategemeana unamaanisha ni unaposema huoni wanachofanya... kwanza, wote hao maisha yao binafsi yanaenda vema... kama ni kwenye masuala ya kijamii, Kiwia na Faraja wote hao wana-deal na community orgs; nisiye na uhakika kuhusu nini anafanya ni Nancy... Huyu Hoyce mara kibao nilikuwa nakutana nae pale Standard Chartered HQ kwahiyo anaweza asiwe na za kujenga ghorofa lakini pia si wa hadi ajidhalilishe ili apate mahitaji yake muhimu kama mrembo.
 
Nimeangalia profile za hawa kamiss wengi wao ni wasomi ndo maana hata utirio unashuka na kazi wamepiga. Happy amefreeze masomo.
Sure, ni wasomi lakini Faraja nilimfanya exceptional to others coz' hata kwenye matokeo yake ya kidato cha sita, alipiga paper vibaya sana... kama kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani alinyuka point sita!
 
Sure, ni wasomi lakini Faraja nilimfanya exceptional to others coz' hata kwenye matokeo yake ya kidato cha sita, alipiga paper vibaya sana... kama kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani alinyuka point sita!

na si ya kidato cha sita tu,hata huko juzi alivyograduate masters nimeona kwa page yake yeye ndiye amepiga first class tena yenye GPA kubwa kabisa
 
na si ya kidato cha sita tu,hata huko juzi alivyograduate masters nimeona kwa page yake yeye ndiye amepiga first class tena yenye GPA kubwa kabisa
Hapo ndipo ninapomtofautisha na wengine... Faraja kichwa chake darasani kipo njema sana na wala sitashangaa nikisikia hayo uliyosema ingawaje nilikuwa bado sijayapata.
 
Haha hata sikuwaza kwenye Gari. Nargis bwana wanadai wenyewe ni miss alofulia kuliko wote kwa sasa kiasi kwamba yuko tandale uzuri full uswazi

Mmh lakini Nargis yuko kawaida tu na maisha yake.. yuko CRDB muda tu hajiusishi tu na media sana sikuiz
 
Miss World ni Talent Nancy Sumari pekee aluonyesha vipaji vyake ndio maana akawa top 5
 
E bhana eh... halafu sijamsikia kabisa miaka ya hivi karibuni! mara yangu ya mwisho kumsikia ni wakati anataka kuolewa... na wala sifahamu ndoa yenyewe kama ilifungwa, au lah!

Aliolewa ana mtoto nasasa yuko CRDB kitengo cha Bima
 
jf kama wewe ni sijui mnawaita celebrity una moyo wa plastic usiingie humu! watu wanatiririka kama na maandiko ya vitabu vitakatifu tungekuwa tunayajua kiasi hiki tanzania ingekuwa ni mahala pa mfano.
 
miss tz inabid wanze kuchukua wasomi zaidi lyk waliopo chuo kikuu maana profile za mamiss wengi ni wasomi tena univeristy nahc mtu msomi anauwezo na uelewa mkubwa compared na walioishia form 4
 
pale asee hakuna chai kwa kifupi. happy alikuwa bright ila naye mle mle chai nyingi kuliko matendo. eti nimeongoza class /international cambridge alafu ukafanya nini in relation to ur kuongozaring hehe

Hahahaa ni shida ngoja nijipange pange mwaka ujao nikashiriki
 
Ila Happy was good jamani japo kutwaa taji ilikuwa ngumu kidogo. Halafu kamati ya miss Tz nao hata hawajali kabisa route za mamiss wao kuelekea miss world, huyu binti alikuwa na support ndogo sana toka kwa viongozi wake zaidi amejitangaza yeye mwenyewe na mpakaa kufikia watz na baadhi ya media kumpa support ikiwemo blogs tofauti tofauti na pages binafsi za watu.

Kweli kama viongozi wa miss tz wangekuwa wanashughulika ipasavyo hakika huyu binti angetuandikia historia nzuri kama ya Nancy Sumari ama zaidi!
 
Back
Top Bottom