mbona ulishindwa xmas. umekabwa kisawasawa!!!! ngoja tuone
hebu nendeni pi-emu huko!....nijibu swali langu kwanza.Mie sina wasiwasi na bht nadhani unanifahamu vizuri kuliko mtu mwingine yeyote
hebu nendeni pi-emu huko!....
mnanipotezea attention ya kazi zangu
ngoja nikupigie!................nilitaka niseme kitu lakini sas atujadili jinsi mkesha utavoisha leo na kesho itakuwaje
upo mpwa?
nijibu swali langu kwanza.Mie sina wasiwasi na bht nadhani unanifahamu vizuri kuliko mtu mwingine yeyote
nilitaka niseme kitu lakini sas atujadili jinsi mkesha utavoisha leo na kesho itakuwaje
upo mpwa?
sinimesema na ukapigia mstari B baha ahhhhhhhhhhB bwana hebu sema excatly ulichotaka kusema apo!?π
sinimesema na ukapigia mstari B baha ahhhhhhhhhh
sifa kubwa ya mwanamke ni kujiamini bana, ZD hun...sisters forever!!!! BTW nimekumis jamani!!! Iribini haninyemelei wala!!! sema anataka anifunge mdomo nisiwe namsemelea makosa yake kwako!!!
Na wewe! si umesema kanisani! Au umebadilika kinyemela!
Hehehehehee! hata wewe Mpwa! the pilar ! of all people I depend on?hebu nendeni pi-emu huko!....
mnanipotezea attention ya kazi zangu
I always love you. Senks!sifa kubwa ya mwanamke ni kujiamini bana, ZD hun...sisters forever!!!! BTW nimekumis jamani!!! Iribini haninyemelei wala!!! sema anataka anifunge mdomo nisiwe namsemelea makosa yake kwako!!!
I always love you. Senks!
I always love you. Senks!
hahahaha!sasa jamani mkibishana hapa mambo yenu na HUKO PI-EMU ni wapi pazuri kwa mahusiano yenu?Hehehehehee! hata wewe Mpwa! the pilar ! of all people I depend on?
sikutegemea. Sasa hii ofutopik yangu wewe imekuboa kitu gani?
Ngoja niende PM milele kwa afya yako.Sitaki kukupoteza shemeji.Mwaka kesho unaweza usinione.
love u!!!
khaaa!!!! tanguliaMe too darling! Twende PM basi tukadumishe mila!
umeona eeeeeh!!!!!!!!!!Mbutana....π
DAH!The Following User Says Thank You to Geoff For This Useful Post: Ziondaughter (Today)
The Following User Says Thank You to Geoff For This Useful Post: Ziondaughter (Today)