Missing you

Missing you

hebu nendeni pi-emu huko!....

mnanipotezea attention ya kazi zangu

nilitaka niseme kitu lakini sas atujadili jinsi mkesha utavoisha leo na kesho itakuwaje

upo mpwa?
 
nijibu swali langu kwanza.Mie sina wasiwasi na bht nadhani unanifahamu vizuri kuliko mtu mwingine yeyote

sifa kubwa ya mwanamke ni kujiamini bana, ZD hun...sisters forever!!!! BTW nimekumis jamani!!! Iribini haninyemelei wala!!! sema anataka anifunge mdomo nisiwe namsemelea makosa yake kwako!!!
 
sifa kubwa ya mwanamke ni kujiamini bana, ZD hun...sisters forever!!!! BTW nimekumis jamani!!! Iribini haninyemelei wala!!! sema anataka anifunge mdomo nisiwe namsemelea makosa yake kwako!!!

Afu na wewe! Ile kitu ya kizuri kula na nduguyo unaikimbia tena? Sikuelewielewi ujue!
 
hebu nendeni pi-emu huko!....

mnanipotezea attention ya kazi zangu
Hehehehehee! hata wewe Mpwa! the pilar ! of all people I depend on?
sikutegemea. Sasa hii ofutopik yangu wewe imekuboa kitu gani?
Ngoja niende PM milele kwa afya yako.Sitaki kukupoteza shemeji.Mwaka kesho unaweza usinione.
 
sifa kubwa ya mwanamke ni kujiamini bana, ZD hun...sisters forever!!!! BTW nimekumis jamani!!! Iribini haninyemelei wala!!! sema anataka anifunge mdomo nisiwe namsemelea makosa yake kwako!!!
I always love you. Senks!
 
Hehehehehee! hata wewe Mpwa! the pilar ! of all people I depend on?
sikutegemea. Sasa hii ofutopik yangu wewe imekuboa kitu gani?
Ngoja niende PM milele kwa afya yako.Sitaki kukupoteza shemeji.Mwaka kesho unaweza usinione.
hahahaha!sasa jamani mkibishana hapa mambo yenu na HUKO PI-EMU ni wapi pazuri kwa mahusiano yenu?
...........kama mnaona sawa ENDELEENI!....sikuongea kwa ubaya!ofutopic zenu ni PRIVATE ZAIDI,ACCORDING TO ME!

come back bwana!usije ukaondoka milele nikakosa hela za MICHANGO YA HARUSI😀
 
Back
Top Bottom