Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
- Thread starter
- #41
Muanzisha mada ni debe tupu mkuu..
Nimemuuliza kwann Gamondi alimtoa Dube na kumuingiza Mzize analeta porojo niende youtube sijui jitazame nin yani kwa kifupi jamaa ni mtupu mno kwenye mpira na nashangaa kwann anaendelea kuongelea kitu asichokijua..
this means huna akili. striker for cf and wing
this is small football talk. get educated ndo uludi hapa.
hizi story za vijiweni