Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kukomoana,si mna hela nyinyi😉😉Hivi wanavyotoa bill kubwa wakati hawanufaiki na chochote inawasaidia nini?
Serikali ya wanyonge, ndio watunyonge hadi kwenye maji?kukomoana,si mna hela nyinyi😉😉
😃😃😃Serikali ya wanyonge, ndio watunyonge hadi kwenye maji?
Usiiombee, huku tanga kuna baadhi tuliwekewa kwa ule usumbufu wake wa kununua token mpaka walikuja kuiondoaLitasaidia pia kuepusha visasi. Kuna jamaa wa idara ya maji tulishwahi kuzinguana naye home, atatubandika bill ya laki 6 na maji yakafungwa eti anasema alikuta tumeweka karatasi ndani ya mita, haizunguki.
Tumeshaona faida za hizi mita sasa Wizara ianze kazi mara moja ya kuzifunga, kwa kuanzia na mkoa wa DSM ambao ndio unaongoza kwa kuwa na malalamiko ya kubambikiwa Bili.
Hongera sana Mhe. Waziri Awesu kwa ubunifu.
Tukiwa na Mawaziri wa aina ya Aweso hakika kero za wananchi zitabaki kuwa historia.
Ha ha ha mliingia cha kike. Kwahiyo mkalipa?Litasaidia pia kuepusha visasi. Kuna jamaa wa idara ya maji tulishwahi kuzinguana naye home, atatubandika bill ya laki 6 na maji yakafungwa eti anasema alikuta tumeweka karatasi ndani ya mita, haizunguki.
Bill kubwa wanatoa kwa sababu maji mengi yanapotea kwa uzembe wao au wa wananchi.pale Moshi, mitaa ya shule ya old Moshi kuna bomba hua limepasuka linamwaga maji hata siku 3 mfululizo,hii ndio sababu serikali inabambika bill za maji ili kufidia hasaraHivi wanavyotoa bill kubwa wakati hawanufaiki na chochote inawasaidia nini?
Akizunguka nyumba tano akichoka anaenda kwenye ka-glosari anaagiza safari moja anaanza kupika data za mtaa mzima. Kuna nyuma walisafiri miezi kibao ila wakakuta bili inawasubiri.Wale jamaa waliokuwa wanapaswa kupita mitaaani kusoma mita manually walikuwa wanapika sana data. Unakuta hwajafika hata eneo la tukio wapo kwa mama ntilie wana jaza jaza tu taarifa za bill za uongo,
mimi sina akili kivile, ila nimekusoma vilivyoNi muda sahihi wa kujenga choo cha shimo nje ya nyumba yako!! Wenye akili watanielwa
Hapo kwenye ukungu ndani ya mita ni tatizo sugu ndugu, huwezi kujisomea units zako unaletewa bills za kupikwa tuHawa wasoma mita n wababaishaji sana. Hapa home msoma mita hajaja miez mitatu ilopita. Leo kaja katuambia bili ni 55000 kwa miez yote mitatu. Nimegawanya hyo pesa kwa kila mwez ni kama 18000. Sasa cha ajabu n kwamba hapa home kahamia mama ana watoto watatu mmoja n mdogo wa mgongon. Kila sku huyu mama anafua lakn cha ajabu bill imekuja ile ile sawa na ambapo alikua hajahamia huyu mama. Nmeenda kuangalia kwny mita ya maji nakuta ina ukungu yaan zle namba hazionekan na huwezi kuzisoma lakn jamaa katupa bill.
Nilichojifunza n kwamba hz bill za maji huwa wanakadiria tu hakuna cha kusoma mita wala nn.