Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Daah mwanangu chanji hyo? Labda kwa sababu cjafika huko takribani miaka mi4, ila ni uswaz mbayaa
chanji walevi tu kule kdg baada ya kuweka lami naona pamevutia vutia ila sio kwa madoni kule kwa walevi tu.
 
Hivi mkuu kwa DODOMA.
Kuna uzunguni kilimani kule.
Kuna kisasa mwisho .
Kuna image hapa juu huku inapopita reli njoo ushuhudie.
Kuna Irazo aseeh bab kubwa huko
 
Mwanza Isamilo umeiachaje ? Kiseke hakuna kitu bora Nyegezi majengo mapya.
 
KAHAMA - Masaki, Mbulu

Zamani kidogo ilikua Nyahanga, ikaja kuwa sehemu fulani ya Nyasubi (huku ni wafanyabiashara zaidi), sikuhizi ndo naskia huko Masaki (Kati ya vilivyokua vijiji vya Mwamva na Sofi)
 
Unadhan kutoka songea had mbamba bay n umbali gan? Au naul kias gan? Na kinachonpeleka huko kipi?
Hebu waza bas vizuri.
Mzaliwa inabidi uumalize mkoa wako kabla hujaamia mikoa ya wenzako
 
Mangowela na Chuno kuna wakishua gani mkuu?
Au kila mkoa una standard zake za ukishua?
Ndio maana yake unataka ufananishe wa kishua wa dar au arusha na wa tabira au mtwara?? /!
 
Huu ndio uzi wa kujifunza wapi ukanunue eneo la kujenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…