Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Nani amekuambia anauza hisa?Umeziona kwenye soko gani la hisa?Udaku ni full time job kwa watanzania. Punguzeni uzushi njooni na facts na source za kuaminika.
Lisemwalo lipo mkuu
 
Simba aiwezi pitisha bakuli kama jamaa wale eti Simba Leo iwe kama mlimani fc hapana izo za mlimani fc za kupitisha bakuli wale jamaa ndio yaliwakuta Simba ilishapita na ukata lakini aikufika level ya mlimani fc kupitisha bakuli la kubwa kuliko no no Mambo ya mlimani fc kule ndio wanaweza.
 
Mwenye Akili azingatie haya Maneno yenye Hekima !!
 
Kenge huwa hasikii hadi aone damu inatoka masikioni.

MBUMBUMBU FC kwaheri yao..!!
 
Kweli kabisa ! Wabongo ni hodari wa maneno maneno tu lakini vitendo ni sufur bin sufur = zero !!
 
Muda ni mwalimu mzuri
 
Kuna wachina wanataka
Ndio tatizo la wabongo kuamini udaku na vi blog feki.
Eti timu atauuziwa Mchina huku inajulikana wazi timu hizi huwezi kuwa na hisa za kuimiliki kama sio mtanzania.
Halafu hao makanjanja wanaoleta hii habari hawana source ya maana bali uzushi na ramli chonganishi.Na hata hawaulizwi.Inashangaza na kuogopesha tumekubali kuwa hivi.
 
Simba wanamkata na Mbet wa 26B, hizi ni pesa nyingi kuendesha timu!! Hofu je ni kweli hizo pesa zipo au ndio ilikuwa janjajanja yakuonesha Simba imepanda thamani au lah!!. Wacha iendeleee kunyesha....
Pesa za MBET ni za kulipwa kwa awamu, usikute hizi pesa zinazama kwa wajanja, wameipeleka timu ktk mikataba mingi kisha sasa hivi wanasepa.
 
Sasa ndo muda wa wale Wazee wa "Tuachie Team yetu, Simba ni kubwa kuliko Mtu" kuisaidia Simba kwa hari na Mali.
 
Pesa za MBET ni za kulipwa kwa awamu, usikute hizi pesa zinazama kwa wajanja, wameipeleka timu ktk mikataba mingi kisha sasa hivi wanasepa.
Huo ndo ukweli.Wahuni si watu wazuri
 
Ndio tatizo la wabongo kuamini udaku na vi blog feki Eti mo anataka kuuza hisa
Alafu hao makanjanja wanaoleta hii habari hawana source ya maana Bali uzushi na ramli chonganishi na hata awaulizi inashangaza na kuogopesha tumekubali kuwa ivi. Je we unayo source kamilifu Kwamba mo katamka kua anauza hisa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…