Tena ya rangi.Ukiwauliza hao viongozi wa serikali wakubwa ni kina nani?Hutajibiwa.Ni udaku tu.Chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ya rangi.Ukiwauliza hao viongozi wa serikali wakubwa ni kina nani?Hutajibiwa.Ni udaku tu.Chai
Relax kwanza,Naona haupo kwanza mkuu,uwezo wako wa kufikiri naujua siyo huo.Tatizo ni lipi kiuongozi. Tujulishe tusiojua na ulete source ya kuaminika.Au unataka tuamini tu udaku.Sababu za Barbara kujiuzulu kazianisha .Au kujiuzulu mtu na kutafuta changamoto zingine ni tatizo?Alipojiuzulu CEO wa kwanza kulikuwa na tatizo la uongozi au alipata dili lingine Yanga?
Hamna hata uwanja wa mazoezi mmebakia ku comment mambo ya Simba.Relax kwanza,Naona haupo kwanza mkuu,uwezo wako wa kufikiri naujua siyo huo.
Mzee Rage aliona mbali sana.Hamna hata uwanja wa mazoezi mmebakia ku comment mambo ya Simba.
Inferiority complex inawasumbua.Jaribuni hata kuwa na uwanja wa mazoezi wa uzio wa mabua ndio muanze kuongea.
Mna boriti kwenye jicho mnazungumzia ubanzi kwenye jicho la mwingine.
Hoja zimekushinda umeanza matusi.Ndio tabia za gongo wazi.Mzee Rage aliona mbali sana.
Ninyi mnao uwanja upi wa mazoezi? Ni lini Simba imejenga kiwanja chake???Hamna hata uwanja wa mazoezi mmebakia ku comment mambo ya Simba.
Inferiority complex inawasumbua.Jaribuni hata kuwa na uwanja wa mazoezi wa uzio wa mabua ndio muanze kuongea.
Mna boriti kwenye jicho mnazungumzia ubanzi kwenye jicho la mwingine.
Naona umetoa povu na unajua hesabu za ujenzi wa Mo Arena.Mara ohh Mo anainyonya Simba mara ohh yeye ndio kajenga Uwanja.Uwanja una hati.Na hati imeandikwa Simba Sports Club.Hupendi nunua kamba kwa mangi unajua unajua cha kufanya.Ninyi mnao uwanja upi wa mazoezi? Ni lini Simba imejenga kiwanja chake???
Mo arena ni uwanja wa mwamedi Dewji kajenga kwa fedha zake na Wala Simba haijawahi kutoa hata mia kwenye ujenzi wa uwanja ule acha upotoshaji mbumbumbu wewe
Unachekesha sana wewe mbumbumbu, nimekueleza ni lini Simba imejenga kiwanja chake? Umekosa jibu, hivi haujiulizi kwanini kiwanja kinaitwa Mo arena na kiaiitwe Simba arena???Naona umetoa povu na unajua hesabu za ujenzi wa Mo Arena.Mara ohh Mo anainyonya Simba mara ohh yeye ndio kajenga Uwanja.Uwanja una hati.Na hati imeandikwa Simba Sports Club.Hupendi nunua kamba kwa mangi unajua unajua cha kufanya.