Baadhi ya wapumbavu wamegawa na kuuza au kujigawia swhemu zote za mapumziko, unafikiri kulikuwa hakuna?
Sehemu zingine zilikuwa ni garden kabisa ila ndio hivyo tena
Maeneo ya shule zote kulikuwa na viwanja mpaka vya mipira tena kuanzia football, volleyball lakini leo hakuna tena
Wazee wengine wana laana sana
Hao ni wazee sasa waliotoa viwanja wakiwa serikalini
Wazungu enzi hizo kabla ya Uhuru waliweka maeneo makubwa kuanzia Shule, Mahospitali yote, magereza na polisi wote walikuwa na maeneo makubwa sana hata Makanisa na Misikiti
Leo wengi walioviuza wamekufa wametuachia mtihani huu