Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Wewe kaoshe vyombo kwa Mwamba.Kwi Kwi Kwi, Yaani hata fomu hajachukua wala hajaijaza, Ila kapitishwa!
.Aibu hii inaweza kuvunja rekodi ya Dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kaoshe vyombo kwa Mwamba.Kwi Kwi Kwi, Yaani hata fomu hajachukua wala hajaijaza, Ila kapitishwa!
.Aibu hii inaweza kuvunja rekodi ya Dunia
Kama mwenzio Erythrocyte wote nyie hamna akili timamuUmesamehewa bure kabisa maana leo ni siku ya furaha na shangwe tu na wala hakuna muda wa kujibizana na vichaa na wendawazimu.
Toka chumbani kwako uone mitaani kulivyo noga.Mitaa gani hiyo bwana Lukasi? Isije ikawa ulisikia kelele za goli la Kibu Denis ukadhani wanamshangilia mama
Uzuri n kwamba kila chama kina utaratibu wake, kama nyie mnavyoparuana kisa uenyekiti tuu wakati wenzenu kwenye urais wala ht hatujawahi kusikia keleleKwi Kwi Kwi, Yaani hata fomu hajachukua wala hajaijaza, Ila kapitishwa!
.Aibu hii inaweza kuvunja rekodi ya Dunia
Ndugu zangu Watanzania,
Ni shangwe , Nderemo,vifijo na vigelegele huku mitaaani baada ya kupitishwa kwa jina la Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu.
Wananchi wamejaa raha ,furaha,tabasamu na matumaini makubwa sana mioyoni mwao.Ni chereko chereko tu .ni nyuso za furaha na tabasamu ndizo zimetawaliwa kwa wananchi wengi mitaani. Ni makelele na mirunzi ya furaha ndiyo inayosikika huku mitaaani kushangilia uteuzi wa Rais Samia kugombea Urais.
Mkutano mkuu maalumu wa CCM umekata kiu ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo vifuani pao ya kutaka kuona Rais Samia akirejea Ikulu kwa awamu ya pili.
Hii ni kwa kuwa Mama amegusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,ameleta furaha na tabasamu katika maisha ya watanzania,amebadilisha maisha ya watanzania na kuleta matokeo Chanya kwa watu.
Mama amewaleta pamoja watanzania na kuwafanya wajivunie utanzania wao.kila mtanzania ana amani na matumaini ya kutimiza ndoto zake na kila mmoja analiona Tumaini machoni pake.ndio sababu watu wanashangilia kwa nguvu huku wakiwa vifua wazi bila kujali baridi wala upepo. Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.View attachment 3206839
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naona unaumia sanaSasa kama wananchi wenyewe ndiyo sisi Kuna haja gani kuja kutusimulia Tena ikiwa tumefanya hayo unayoyasema?
Mbona wamefanya kama saprise? Mbona msimu wa kuchukuwa fomu bado?Ndugu zangu Watanzania,
Ni shangwe , Nderemo,vifijo na vigelegele huku mitaaani baada ya kupitishwa kwa jina la Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu.
Wananchi wamejaa raha ,furaha,tabasamu na matumaini makubwa sana mioyoni mwao.Ni chereko chereko tu .ni nyuso za furaha na tabasamu ndizo zimetawaliwa kwa wananchi wengi mitaani. Ni makelele na mirunzi ya furaha ndiyo inayosikika huku mitaaani kushangilia uteuzi wa Rais Samia kugombea Urais.
Mkutano mkuu maalumu wa CCM umekata kiu ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo vifuani pao ya kutaka kuona Rais Samia akirejea Ikulu kwa awamu ya pili.
Hii ni kwa kuwa Mama amegusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,ameleta furaha na tabasamu katika maisha ya watanzania,amebadilisha maisha ya watanzania na kuleta matokeo Chanya kwa watu.
Mama amewaleta pamoja watanzania na kuwafanya wajivunie utanzania wao.kila mtanzania ana amani na matumaini ya kutimiza ndoto zake na kila mmoja analiona Tumaini machoni pake.ndio sababu watu wanashangilia kwa nguvu huku wakiwa vifua wazi bila kujali baridi wala upepo. Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.View attachment 3206839
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Amka usingizini ndugu yangu mtanzania maana huku mitaani kumenoga kwelikweliHuku nilipo sijaona shangwe wala nderemo kama unavodai ingawaje nimepata taarifa hapa @jf. Ila upande wa pili hata vijiwe vya vibarua wa kuchuma nyanya wako na taarifa. Mark my words alafu fanya research maeneo tofauti. Kwa jinsi unavyomsifu nadhani ungekuwa known sana il ccm iko na wenyewe ila we na wabrash viatu wenzio amjaandikwa japo kwa penseli
Wewe inajulikana ni kipofu wa akili na machoUnakaa mitaa gani ? Servant quarter ya Ikulu ? Sababu huku nilipo hata hawajui ni nini kinaendelea, wala mimi siwezi diriki kuwaambia wataniponda mawe
Kwenu wapi huko na Sehemu gani hapo.Huku kwetu kimya mbona aisee
Pika kwanza mdogo wangu maana ukitoka nje utatamani usirejee tena jikoni.na hivyo utakuta sufuria limeungulia motoni.Uongo 😹😹