Mitaani Hakukaliki . Wananchi walipuka kwa shangwe na Nderemo baada ya Kupitishwa kwa Rais Samia Kugombea Urais

Mitaani Hakukaliki . Wananchi walipuka kwa shangwe na Nderemo baada ya Kupitishwa kwa Rais Samia Kugombea Urais

Kwi Kwi Kwi, Yaani hata fomu hajachukua wala hajaijaza, Ila kapitishwa!
.Aibu hii inaweza kuvunja rekodi ya Dunia
Uzuri n kwamba kila chama kina utaratibu wake, kama nyie mnavyoparuana kisa uenyekiti tuu wakati wenzenu kwenye urais wala ht hatujawahi kusikia kelele
 
Sasa kama wananchi wenyewe ndiyo sisi Kuna haja gani kuja kutusimulia Tena ikiwa tumefanya hayo unayoyasema?
Ndugu zangu Watanzania,

Ni shangwe , Nderemo,vifijo na vigelegele huku mitaaani baada ya kupitishwa kwa jina la Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu.

Wananchi wamejaa raha ,furaha,tabasamu na matumaini makubwa sana mioyoni mwao.Ni chereko chereko tu .ni nyuso za furaha na tabasamu ndizo zimetawaliwa kwa wananchi wengi mitaani. Ni makelele na mirunzi ya furaha ndiyo inayosikika huku mitaaani kushangilia uteuzi wa Rais Samia kugombea Urais.

Mkutano mkuu maalumu wa CCM umekata kiu ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo vifuani pao ya kutaka kuona Rais Samia akirejea Ikulu kwa awamu ya pili.

Hii ni kwa kuwa Mama amegusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,ameleta furaha na tabasamu katika maisha ya watanzania,amebadilisha maisha ya watanzania na kuleta matokeo Chanya kwa watu.

Mama amewaleta pamoja watanzania na kuwafanya wajivunie utanzania wao.kila mtanzania ana amani na matumaini ya kutimiza ndoto zake na kila mmoja analiona Tumaini machoni pake.ndio sababu watu wanashangilia kwa nguvu huku wakiwa vifua wazi bila kujali baridi wala upepo. Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.View attachment 3206839

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Huku nilipo sijaona shangwe wala nderemo kama unavodai ingawaje nimepata taarifa hapa @jf. Ila upande wa pili hata vijiwe vya vibarua wa kuchuma nyanya wako na taarifa. Mark my words alafu fanya research maeneo tofauti. Kwa jinsi unavyomsifu nadhani ungekuwa known sana il ccm iko na wenyewe ila we na wabrash viatu wenzio amjaandikwa japo kwa penseli
 
Alafu unaweza kuta Lucas ni mtu baba na familia!

Tanzania kila kitu kinawezekana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni shangwe , Nderemo,vifijo na vigelegele huku mitaaani baada ya kupitishwa kwa jina la Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu.

Wananchi wamejaa raha ,furaha,tabasamu na matumaini makubwa sana mioyoni mwao.Ni chereko chereko tu .ni nyuso za furaha na tabasamu ndizo zimetawaliwa kwa wananchi wengi mitaani. Ni makelele na mirunzi ya furaha ndiyo inayosikika huku mitaaani kushangilia uteuzi wa Rais Samia kugombea Urais.

Mkutano mkuu maalumu wa CCM umekata kiu ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo vifuani pao ya kutaka kuona Rais Samia akirejea Ikulu kwa awamu ya pili.

Hii ni kwa kuwa Mama amegusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,ameleta furaha na tabasamu katika maisha ya watanzania,amebadilisha maisha ya watanzania na kuleta matokeo Chanya kwa watu.

Mama amewaleta pamoja watanzania na kuwafanya wajivunie utanzania wao.kila mtanzania ana amani na matumaini ya kutimiza ndoto zake na kila mmoja analiona Tumaini machoni pake.ndio sababu watu wanashangilia kwa nguvu huku wakiwa vifua wazi bila kujali baridi wala upepo. Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.View attachment 3206839

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona wamefanya kama saprise? Mbona msimu wa kuchukuwa fomu bado?
 
Unakaa mitaa gani ? Servant quarter ya Ikulu ? Sababu huku nilipo hata hawajui ni nini kinaendelea, wala mimi siwezi diriki kuwaambia wataniponda mawe
 
Huku nilipo sijaona shangwe wala nderemo kama unavodai ingawaje nimepata taarifa hapa @jf. Ila upande wa pili hata vijiwe vya vibarua wa kuchuma nyanya wako na taarifa. Mark my words alafu fanya research maeneo tofauti. Kwa jinsi unavyomsifu nadhani ungekuwa known sana il ccm iko na wenyewe ila we na wabrash viatu wenzio amjaandikwa japo kwa penseli
Amka usingizini ndugu yangu mtanzania maana huku mitaani kumenoga kwelikweli
 
Unakaa mitaa gani ? Servant quarter ya Ikulu ? Sababu huku nilipo hata hawajui ni nini kinaendelea, wala mimi siwezi diriki kuwaambia wataniponda mawe
Wewe inajulikana ni kipofu wa akili na macho
 
Back
Top Bottom