Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayesamehe bure ni MUNGU MKUU wewe una mamlaka gani ya kusamehe bure?Umesamehewa bure kabisa
Ushasema nje ya ukumbi lkn haikuwa public.Nadhani ulikuwa hujaanza kufuatilia siasa siku Nchimbi na Sophia Simba walipoitisha press nje ya ukumbi baada ya jina la Lowassa kukatwa, na ndani ya ukumbi wimbo wa tuna Imani na Lowassa ukiimbwa hadi na waziri mkuu wa sasa
Upuuzi mtupuNdugu zangu Watanzania,
Ni shangwe , Nderemo,vifijo na vigelegele huku mitaaani baada ya kupitishwa kwa jina la Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu.
Wananchi wamejaa raha ,furaha,tabasamu na matumaini makubwa sana mioyoni mwao.Ni chereko chereko tu .ni nyuso za furaha na tabasamu ndizo zimetawaliwa kwa wananchi wengi mitaani. Ni makelele na mirunzi ya furaha ndiyo inayosikika huku mitaaani kushangilia uteuzi wa Rais Samia kugombea Urais.
Mkutano mkuu maalumu wa CCM umekata kiu ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo vifuani pao ya kutaka kuona Rais Samia akirejea Ikulu kwa awamu ya pili.
Hii ni kwa kuwa Mama amegusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,ameleta furaha na tabasamu katika maisha ya watanzania,amebadilisha maisha ya watanzania na kuleta matokeo Chanya kwa watu.
Mama amewaleta pamoja watanzania na kuwafanya wajivunie utanzania wao.kila mtanzania ana amani na matumaini ya kutimiza ndoto zake na kila mmoja analiona Tumaini machoni pake.ndio sababu watu wanashangilia kwa nguvu huku wakiwa vifua wazi bila kujali baridi wala upepo. Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.View attachment 3206839
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ndiye badilika akili yakoHacha uongo mkuu wananchi wengi wetu tunahitaji mabadiliko mboga mboga itoke asee.
Utaratibu umefuatwa na kuzingatiwaHivi huoni utaratibu umekiukwa aisee janauari kutangazwa mgombea. Haya machozi yanakububujika mwenyewe.
Umesamehewa makosa yako yoteWee jamaa nikiona post zako nachekaga sana. Najiulizaga kumbe kuna watu wajinga kiasi hiki na wanasema ni wasomi
Lililo fungwa Duniani limefungwa na mbinguniAnayesamehe bure ni MUNGU MKUU wewe una mamlaka gani ya kusamehe bure?
Kuna press ya vyombo vyote vya habari ambayo sio public?Ushasema nje ya ukumbi lkn haikuwa public.
Wewe jamaa ni mtu hatari sana kwa usalama wa taifa hili, hufai hata kidogo! Ajabu iliyoje ni kwamba viongozi wengi wa kiafrika wamezungukwa na watu wa namna Yako wakiwaita eti washauri wao. Viongozi wengi wanaingia madarakani wakiwa wazuri sana lkn nilichogundua wanakuja kuharibiwa na hawa machawa" wenye kivuri Cha washauri wa Rais"Ndugu zangu Watanzania,
Ni shangwe , Nderemo,vifijo na vigelegele huku mitaaani baada ya kupitishwa kwa jina la Rais Samia kugombea Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika hapo baadaye mwishoni mwa mwaka huu.
Wananchi wamejaa raha ,furaha,tabasamu na matumaini makubwa sana mioyoni mwao.Ni chereko chereko tu .ni nyuso za furaha na tabasamu ndizo zimetawaliwa kwa wananchi wengi mitaani. Ni makelele na mirunzi ya furaha ndiyo inayosikika huku mitaaani kushangilia uteuzi wa Rais Samia kugombea Urais.
Mkutano mkuu maalumu wa CCM umekata kiu ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania waliyokuwa nayo vifuani pao ya kutaka kuona Rais Samia akirejea Ikulu kwa awamu ya pili.
Hii ni kwa kuwa Mama amegusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,ameleta furaha na tabasamu katika maisha ya watanzania,amebadilisha maisha ya watanzania na kuleta matokeo Chanya kwa watu.
Mama amewaleta pamoja watanzania na kuwafanya wajivunie utanzania wao.kila mtanzania ana amani na matumaini ya kutimiza ndoto zake na kila mmoja analiona Tumaini machoni pake.ndio sababu watu wanashangilia kwa nguvu huku wakiwa vifua wazi bila kujali baridi wala upepo. Kwa hakika Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe.View attachment 3206839
ta
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi ni mzalendo wa kweli wa Taifa na mwenye uchungu mkubwa sana.Wewe jamaa ni mtu hatari sana kwa usalama wa taifa hili, hufai hata kidogo! Ajabu iliyoje ni kwamba viongozi wengi wa kiafrika wamezungukwa na watu wa namna Yako wakiwaita eti washauri wao. Viongozi wengi wanaingia madarakani wakiwa wazuri sana lkn nilichogundua wanakuja kuharibiwa na hawa machawa" wenye kivuri Cha washauri wa Rais"
Ingekuwa uwezo wangu wewe hupaswi kumsogelea Rais hata kilometer 1
Unaumia ukiwa wapi huko kusiko na sumu ili unywe na kufa