Mitaani Hakukaliki . Wananchi walipuka kwa shangwe na Nderemo baada ya Kupitishwa kwa Rais Samia Kugombea Urais

Kesho ntakupost sura yako watu wakuone kijana kutoka jimbo la mbozi mkoan mbeya kada mtiifu Lucas Mwashambwa
 
Hii Ilikuwa Movie japo kuelewa ilikuwa ni mpaka uwe na degree ya Cuba wakati silinde anaanzisha hii mada na kumuomba mwenyekiti na meza kuu watoke nje ili wajadili kama wajumbe ndo nilishtuka make majibu ya mwenyekiti yalikuwa scripted like kuna kitu anakijua na hata vifungu alivyokuwa anasoma Mwasi kama cjakosea ni kama mtu kamezeshwa mwezi mzima material kuingia nectar yote Tisa mwishoni nimehitimisha kuwa hii script kama haijatoka marvel basi ni Lions gate Mwasi kasoma azimio la kikao afu wakakumbatiana na mwenyekiti kumbatio linalozungumza kwa mnaoelewa lugha ya mwili tupo pamoja
 
Endelea kupiga kazi ipo siku utaonekana maana unachokifanya ndio basic quality ya viongozi wa sasa
 
MUNGU hapendi mtu yeyote apotee ,ipo siku atakujaza roho wake mtakatifu na hautashabikia tena mateso ya watanzania wenzako,na hautasema uongo tena.
 
Hacha uongo mkuu wananchi wengi wetu tunahitaji mabadiliko mboga mboga itoke asee.
 
Wee jamaa nikiona post zako nachekaga sana. Najiulizaga kumbe kuna watu wajinga kiasi hiki na wanasema ni wasomi
 
Uzuri n kwamba kila chama kina utaratibu wake, kama nyie mnavyoparuana kisa uenyekiti tuu wakati wenzenu kwenye urais wala ht hatujawahi kusikia kelele
Nadhani ulikuwa hujaanza kufuatilia siasa siku Nchimbi na Sophia Simba walipoitisha press nje ya ukumbi baada ya jina la Lowassa kukatwa, na ndani ya ukumbi wimbo wa tuna Imani na Lowassa ukiimbwa hadi na waziri mkuu wa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…