Mitaani Hakukaliki . Wananchi walipuka kwa shangwe na Nderemo baada ya Kupitishwa kwa Rais Samia Kugombea Urais

bwana luka unafaa sana kuwa mshereheshaji katika matamasha,warsha,mikutano na ziara za ndani ya nchi za rais hongera kwa kuwa na talanta hiyo ila teuzi hupati.
 
Was this suppose to be a surprise, mbona tulishaiona hii movie tayari?
 
Hii CCM ya sasa hivi inarudisha nchi kwenye ujinga tena tena.
 
Nadhani ulikuwa hujaanza kufuatilia siasa siku Nchimbi na Sophia Simba walipoitisha press nje ya ukumbi baada ya jina la Lowassa kukatwa, na ndani ya ukumbi wimbo wa tuna Imani na Lowassa ukiimbwa hadi na waziri mkuu wa sasa
Ushasema nje ya ukumbi lkn haikuwa public.
 
Upuuzi mtupu
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
 
Marburg Inasambazwa Na Wajumbe Muda Huu
 
Hivi huoni utaratibu umekiukwa aisee janauari kutangazwa mgombea. Haya machozi yanakububujika mwenyewe.
 
Wewe jamaa ni mtu hatari sana kwa usalama wa taifa hili, hufai hata kidogo! Ajabu iliyoje ni kwamba viongozi wengi wa kiafrika wamezungukwa na watu wa namna Yako wakiwaita eti washauri wao. Viongozi wengi wanaingia madarakani wakiwa wazuri sana lkn nilichogundua wanakuja kuharibiwa na hawa machawa" wenye kivuri Cha washauri wa Rais"
Ingekuwa uwezo wangu wewe hupaswi kumsogelea Rais hata kilometer 1
 
Mimi ni mzalendo wa kweli wa Taifa na mwenye uchungu mkubwa sana.
 
😩😩
 

Attachments

  • IMG_4986.jpeg
    124.3 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…