Maana yanashuka bei wiki ijayoWaliohodhi mafuta washaanza yao.
The Msogas.
Babu kafa bwana linakuwaje hai?Hivi bwawa la babu ndo limekufa nae
Mzilankende AtakumbukwaJenerata zishike hatamu.Pole kwa wote walioathirika.
Dhambi ni nini?Hivi makamba haogopi dhambi jameni?
Mzilankende Alisema Wazi Nita ~Deal Na Wanaomwaga Maji Pale Mtera Ili Kupunguza Kina Wauze JeneretaAliposema hao ni wapigadili, alionekana mtu wa propaganda tu. Sasa natumai kila mtu ubongo utamkaa sawa! Msoga Empire is evil
Tumeliwa Sana Ndugu ZanguWaliohodhi mafuta washaanza yao.
The Msogas.
Kutenda kinyume na maelekezo ya mola wako.Dhambi ni nini?
Mzilankende Atakumbukwa
Muda Huu Angefuta Kazi Watu Tele
Mama Yetu Akalitazame Hilo Na Watu Wake
Mama Atachezewa Sana, MudaNgoja wafanye kazi kwa ari ya kutoka mioyoni mwao,hataki eti kuwapa hofu,anataka wasiwe na NIDHAMU ya uoga,ngoja wamnyooshe nasisi tujute.