Mitambo ya Bwawa la Mtera yapata hitilafu, mikoa 14 kukosa umeme

Mitambo ya Bwawa la Mtera yapata hitilafu, mikoa 14 kukosa umeme

Hapo kipara February ameshafanya kazi yake ya udalali wa gesi. Kesho au keshokutwa EWURA wanaongeza bei ya mafuta alafu huku mgao wa umeme, mtanunua tu gesi
 
Ujinga ndio unakusumbua huwezi hata ku reason..

Kwa hiyo kama Chanzo au njia/line kuu ya kupeleka umeme huko imepata shida Kwa nini mikoa isiathirike?

Ujinga ni mzigo Sana ndio unakusumbua.
Tuliambiwa kipindi cha Magufuli kulikuwa hakuna maintainance inafanyika, baada ya kuingia Makamba hizo maintance zinafanyika na bado mitambo inapata hitilafu

Makamba ni mpiga dili tu
 
Hapo anatafutwa mtoto wa Tony Blair afungue Symbion Season 2 kwa ajili ya kufidia ukosefu wa umeme [emoji23][emoji23][emoji23] kwa hio mikoa ambapo bwana Februari Marope atajitwalia billion 5 kila siku kama gharama za kuendesha mtambo huku billion 2 zikiishia mfukoni mwake kila iitwapo leo kupitia kampuni hio ya mchongo.
Aiseeeee haya mambo yanatia hasira natamani ningekuwa king Kong nikachakaze kila mbuzi ya kijani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Acheni legacy yake ijitete .........."

Sijui alizani legacy mzimu, mda unaongea.

Wana badilisha magoli mara schedule maintenance, mara vituo vya ukozi vimechakaa, mara crane la tani 25 halipo ndio lina chelewesha ujenzi, mara Mwendazake alikuwa mkali ana wakoromea wafanyakazi. Leo kaja nyimbo nyingine, kesho sijui atasemaje manake kuna siku atakosa cha kusema na ndipo tuna rudi kwa kina Richmond.
Watasema tanesco iliachwa na madeni makubwa ambayo riba yake imekuwa kubwa
 
Hapo anatafutwa mtoto wa Tony Blair afungue Symbion Season 2 kwa ajili ya kufidia ukosefu wa umeme 😂😂😂 kwa hio mikoa ambapo bwana Februari Marope atajitwalia billion 5 kila siku kama gharama za kuendesha mtambo huku billion 2 zikiishia mfukoni mwake kila iitwapo leo kupitia kampuni hio ya mchongo.
We Jamaa eti Februari Marope 😂😂😂 nimecheka nusu kufa ungekumbwa na murder case
 
Tuliambiwa kipindi cha Magufuli kulikuwa hakuna maintainance inafanyika, baada ya kuingia Makamba hizo maintance zinafanyika na bado mitambo inapata hitilafu

Makamba ni mpiga dili tu
Ni kawaida,wewe kirikuu yako huwa haiharibiki?

Harafu saizi mahitaji ya umeme ni makubwa Sana tofauti na kipindi kile..

Ukiwa Waziri wewe umeme hautakatika?
 
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.

Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.

TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.

View attachment 2339972
Hii nchi imepitia mengi
20220830_165950.jpg
 
Ujinga tuu huu hapa, kuna mitambo isiyoharibika?

Hicho ki kirikuu chako huwa hakiharibiki?
Wewe ni wa kupuuzwa tu huna hoja, watu wanazungumzia mambo yanayowasibu wewe unaleta uchawa wako tu kwa vile ni kula kulala kwa dadako hujui hata bei ya sukari

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.

Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.

TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.

View attachment 2339972

Mbona kama mkakati wenye nia ovu?
Inawezekanaje Mkoa wa Dodoma ambao uko karibu na Mtera usiathirike hata kwa mbali? Au kwa sababu kuna Rais mahala hapo mnaogopa kelele mnaona muwanyooshe walio mbali ili dili za mafuta ziende fresh??

Msogalino maiti zenu zitachapwa viboko
 
Back
Top Bottom