Mitambo ya Bwawa la Mtera yapata hitilafu, mikoa 14 kukosa umeme

Mitambo ya Bwawa la Mtera yapata hitilafu, mikoa 14 kukosa umeme

Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.

Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.

TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.

View attachment 2339972
Kazi ipo !
 
Kipara ni mwizi na kibaka ni aibu nchi hii kuwapa wizara watu wapuuzi na wezi kama kipara
 
Mimi niko hapa Mkoani Geita umeme unawaka mbona.
 
Basi sawa,,tunashukuru kwa taarifa yenye ukakasi kwa wasaka tonge..
Bila shaka utekelezaji wa hiyo taarifa waanza kesho tar 31/8/2022.
 
Nahisi wametengeneza tatizo kisha watalitatua wenyewe wanavyojua. Tusubiri tuone watalitatua vipi.
 
Mtera linazalisha MW 80 kati ya kama 1000 na ushee hivi. Hatutegemei athari iwe kubwa. K
 
Kwani matumizi ya Dar yote ni megawatt ngapi na hiyo Mtera inachangia ngapi kwenye Gridi?
 
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.

Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.

TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.

View attachment 2339972
Kwamba Nchi iingie GIZANI Ili kuzima kelele za TOZO!!!!

December ni mbaaaal Ukiwa na mawaziri vijana wanne, pena, mwigu, marope na mtoto wa nanii!!!

Linazama JAHAZI. Utachukiwa Hadi na bornbabies.
 
Ila mkuu tusiwe to much negativity nadhani pia Kuna hitlafu ngoja tusubiri tuone

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu hata kama ni negativity, sio kihivyo.

Wananchi wanaojua mambo ya waya waya wapo, kama wameamua kutoa taarifa, waseme; Plant yetu ya mtera imepatwa na hitilafu, itakuwa chini kwa muda usiojulikana. Mtera inazalisha kiasi kadhaa cha umeme, mkoa fulani una matumizi kadhaa, ule kadhaa, hivyo mkoa A,B,C wana jumla ya matumizi sawa na uzalishwaji wa Mtera. Hivyo basi, mikoa hiyo tajwa itaingia kwenye Load shed ya masaa kadhaa kwa siku.

Mtera ina turbines ngapi? Nini kilichozima kituo? Transparency, waseme, wananchi wanaweza kupeleka taaluma zao pale kutatua tatizo.

Unaorodhesha mikoa 14, husemi umeme umepungua kiasi gani na utafanyaje kupunguza makali. Dar yenye wakazi zaidi ya 6m na maviwanda kibao, matumizi yao no kiasi gani kwa saa 24?

Huu sio mpango?
 
Mtera linazalisha MW 80 kati ya kama 1000 na ushee hivi. Hatutegemei athari iwe kubwa. K
Boss, ebu funguka kidogo, MW 80 ndo zisabanishe mikoa 14 kukaa gizani? Installed capacity ya Mtera ni kiasi gani, 205MW?

Kiwanda kimoja tu cha kawaida kinaweza kumeza 6MW.
 
Boss, ebu funguka kidogo, MW 80 ndo zisabanishe mikoa 14 kukaa gizani? Installed capacity ya Mtera ni kiasi gani, 205MW?

Kiwanda kimoja tu cha kawaida kinaweza kumeza 6MW.
Mtera wanazalisha umeme kidogo sana. capacity yao ni 80MW. wanaozalisha mwingi ni Kidatu na Kihansi. Mtera hasa ni kutunza maji yanayotumika hadi Kidatu
 
Temeke, mbagala na viunga vyake umeme hakuna naona wameamua kuanza na wachovu kwanza
 
Hivi kweli Mungu akaruhusu jpm akafa kweli jamani. Yaani walianza kufa akina mkapa,mahiga,yaani Ile kampani yake mpaka mfugale baadaye ndio korona imeisha baada ya wao kufa. Yaani watu wametumia kivuli Cha korona kufanya yao.
Mana Kama mkapa alikuwa anamkubali mno jpm. Wote tutakuwa mavumbi yaani hakuna jiwe kubaki juu ya jiwe , we've to answer all this fuckin shits
 
Back
Top Bottom