TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Boss, inatoka rohoni hii?Poleni sana watanzania....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss, inatoka rohoni hii?Poleni sana watanzania....
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake ....kuna bibi alisikika .Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.
Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.
TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.
View attachment 2339972
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.
Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.
TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.
View attachment 2339972
Ndo michezo Yao hiyo [emoji4]Hapo anatafutwa mtoto wa Tony Blair afungue Symbion Season 2 kwa ajili ya kufidia ukosefu wa umeme [emoji23][emoji23][emoji23] kwa hio mikoa ambapo bwana Februari Marope atajitwalia billion 5 kila siku kama gharama za kuendesha mtambo huku billion 2 zikiishia mfukoni mwake kila iitwapo leo kupitia kampuni hio ya mchongo.
Unguja na pemba haziko kwenye mgao huu? Nimeuliza tuShirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.
Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.
TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.
View attachment 2339972
Unazungumziaje hiyo mikoa 14 iliyotajwa kwenye taarifaMtera linazalisha MW 80 kati ya kama 1000 na ushee hivi. Hatutegemei athari iwe kubwa. K
Hivi bwawa la babu ndo limekufa nae
Hahahahaaa... Mkuu.. Nimecheka kinoma aseeIdadi ya kukatika umeme kwa mwaka inakimbizana na idadi ya Makamba anavyo nyoa kipara chake
Watakuja hapa akina The Sunk Cost Fallacy na CM 1774858Wanaomtetea makamba waje Hapa,
Tulipewa mgao tukiambiwa mitambo inafanyiwa service, Sasa service gan ilifanyika na umeme unakatia Tena tunaambuwa mitambo mibovu
Wewe, mbowe, lissu, mnyika, sugu na halima?Ninachojua tutalinda kura zetu usiku na mchana........
Mkuu: I'm only responsible for what I say, not what you understand......Boss, inatoka rohoni hii?
Hiv hawa watu hawajawahi kutembea nchi za ulaya wakaona nchi zao zilivyojengwa kila mahali?Hapo anatafutwa mtoto wa Tony Blair afungue Symbion Season 2 kwa ajili ya kufidia ukosefu wa umeme [emoji23][emoji23][emoji23] kwa hio mikoa ambapo bwana Februari Marope atajitwalia billion 5 kila siku kama gharama za kuendesha mtambo huku billion 2 zikiishia mfukoni mwake kila iitwapo leo kupitia kampuni hio ya mchongo.